humphrey polepole

Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district

View More On Wikipedia.org
  1. W

    PreGE2025 POTOSHI Polepole amesema ACT ni mali CCM na CHAUMMA inafadhiliwa na CCM

    Wakuu ni kwamba mimi kuna kipande kilinipita ama vipi? Je ni kweli Humphrey Polepole alitamka maneno haya?
  2. 888I

    Deep State: Dhana Yake, Namna Inavyofanya Kazi

    Hivi karibuni, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amezua mjadala baada ya kudai kuwa ndani ya CCM kuna “mtandao” unaodhibiti mchakato wa uteuzi wa wagombea urais. Anasema mtandao huu umekuwa ukijitokeza mara kwa mara tangu mwaka 1995, na mara nyingine hufanikisha...
  3. H

    Polepole Amuonya Chalamila. Asema Amemtukana Rais

    Polepole amemuonya Chalamila kuwa hana mamlaka wala uwezo wa kujibu hoja zake. Yeye Polepole alikuwa mjumbe wa kamati kuu akiwa na majukumu maalum, anayejua mambo mengi. Kaeleza kuwa Chalamila indirectly amemtukana Rais aliposema kuwa eti yeye Chalamila anaenda kufuata mafaili ya Polepole huko...
  4. Kabende Msakila

    Humphrey Polepole, Rais akihitaji muongee ana kwa ana Ikulu upo tayari?

    Ndugu Polepole, Salaam! Tangu ujihuzuru nafasi ya Balozi huko Cuba umekuwa na mlolongo wa ushauri kwa Rais wa Tanzania na watanzania. Ushauri huo umefuatana na baadhi ya malalamiko ktk maeneo kadhaa, ikiwemo:- (a). Uchaguzi ndani ya CCM; (b). Haki za kibinadamu; (c). Kalenda ya Uchaguzi...
  5. Just Pray

    Humphrey Polepole atazungumza na umma leo Agosti 08, 2025 saa sita mchana

    Wakuu, Taarifa kutoka ukurasa wa Polepole Instagram == Usikose itakuwa saa 6:00 Mchana tutakuwa LIVE Facebook, YouTube, Instagram na TikTok. Nitasema jambo moja kubwa! Wale Vijana wakata swichi tambueni mnawatengenezea chuki Viongozi wetu, washaurini kwa unyenyekevu na kitaalam waambieni...
  6. chiembe

    "wazee" wa Humphrey Polepole walalamika kwa nini anawataja majina yao wakati walikuwa wanaisengenya na kuihujumu CCM na serikali sirini

    Katika duru za wazee kuna malalamiko kwamba kwa nini anawataja hadharani wakati walikuwa wakifanya vikao sirini. Wengine wanahisi kwamba Pole pole ametumwa kuwafitinisha baada ya kuwaingiza katika mtego wa kusengenya na kufanya uzandiki.
  7. A

    Polepole na press conference. Nini hatma ya makundi makubwa mawili ndani ya CCM?

    Kufuatia press conference za Polepole na yale anazungumza kwa umma kuhusu CCM na viongozi wa nchi, ni ipi itakuwa hatma ya makundi makubwa mawili ndani ya CCM? Kwa maoni yangu, CCM ina makundi makubwa mawili yasio kubaliana ni namna gani nchi inatakiwa kuongozwa! licha ya kuwa wapo ktk chama...
  8. B

    Polepole: Sina Taarifa ya Warioba kushikiliwa nyumbani kwake, jambo hilo siyo factual

    Mwenyezi Mungu atangulie. Amani ya Bwana iwe nanyi, na rehema za Allah ziwe juu yenu nyote. Katika mahojiano ya moja kwa moja usiku wa leo, aliyekuwa mbunge na mwanasiasa machachari, Mhe. Humphrey Polepole, alipokea swali kutoka kwa mmoja wa Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora). Swali hilo...
  9. McLaren

    Polepole: Sitaki kuitwa Balozi. Nilishaikataa hiyo hadhi

    Wakuu, Polepole kakataa rasmi kuitwa Balozi
  10. Just Pray

    GE2025 Polepole: Kuongea na watanzania Agost 6, saa 2:00 kuhusu mustakabali wa taifa

    Huu ni ujumbe wa Humphrey Polepole kupitia ukurasa wa Instagram asubuhi hii. Leo Jumatano saa 2:00 Usiku saa za Afrika Mashariki nitasema nanyi kwa Habari ya Mambo mawili;- 1. Mustakabali wa mbele wa Nchi yetu na Taifa katikati ya Mkwamo tulionao, na, 2. Nitatumia muda huo kumjibu Mwana CCM...
  11. L

    CCM imvue Uanachama na Kumfukuza Kabisa Humphrey Polepole ili Asiendelee kutumia Jina la Chama Kwa Maslahi yake

    Ndugu zangu Watanzania Kama kuna kitu CCM inapaswa kuchukua hatua za haraka kwa kipindi na wakati huu. Ni kumvua uanachama pamoja na kumfukuza au kumtimua haraka sana Humphrey Polepole kutoka ndani ya CCM. Anapaswa kufurushwa bila huruma wala subira wala ngoja ngoja. Kwa sababu huyu mtu hana...
  12. Nyankurungu2020

    Ombi kwa Humphrey Polepole. Kwa kuwa unafahamu hujuma zote alizofanyiwa hayati Magufuli, ziweke wazi na uwataje waliomhujumu

    Nimesikia kwa umakini ukieleza namna hayati alivyokuwa akikueleza juu ya hujuma alizokuwa anafanyiwa. Ikiwemo ile ya watu kutaka kumchafua kuwa anataka kuongeza muda wa kukaa madarakani. Kwa mantiki hii ni wazi kuwa kuna hujuma nzito alifanyiwa na wewe unazijua. Tuweke wazi...
  13. Waufukweni

    GE2025 Steve Nyerere: Polepole kumsema Rais vibaya siyo Miiko wa Maadili

    Msanii na mwanaharakati maarufu, Steve Nyerere, amemjibu aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia matamshi yake ya kumkosoa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Steve Nyerere amesema kauli za Polepole hazioneshi...
  14. L

    Nimefurahishwa sana na Uamuzi wa Chama changu cha Mapinduzi na Serikali yake Kutomjibu Humphrey Polepole

    Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli CCM itabakia kuwa chama kiongozi Barani Afrika, itabakia kuwa chama chenye heshima na kuheshimika Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake. CCM itabakia kuwa chama cha kuigwa Barani Afrika,itabakia kuwa chama kisichoyumbishwa wala kuyumba. Uimara...
  15. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Albanie: Polepole anataka kuharibu Uchaguzi, apuuzwe

    Aliyekuwa mtia nia wa ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Mvomero mkoani Morogoro, Dkt. Albanie Marcossy, amejitokeza na kumtaka hadharani mwanachama wa chama hicho, Humphrey Polepole, kupuuzwa na wanachama wengine kwa madai kuwa kauli zake za hivi karibuni zimejaa "vihoja...
  16. tonicimmobility

    GE2025 Je, wimbo mpya wa Zuchu ni njia ya kufifisha mjadala wa kauli za Polepole?

    Wadau watia shaka mwingiliano wa matukio ya kisiasa na burudani nchini Dar es Salaam, 1 Agosti 2025 – Kuzinduliwa kwa wimbo mpya wa msanii maarufu wa Bongo Fleva, Zuchu, umeibua mjadala mitandaoni huku baadhi ya wachambuzi wakitafsiri tukio hilo kama njia ya kufifisha taharuki ya kisiasa...
  17. Waufukweni

    GE2025 Humphrey Polepole: Kuna majaribio ya kutaka kucheza na Haki yangu, watu wabaya wananitafuta

    Humphrey Polepole: Kuna majaribio yakutaka kucheza na Haki yangu, watu wabaya wananitafuta
  18. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Haipendezi kwenye mchakato wa Ubunge ni Watu wa Familia za Viongozi

    Humphrey Polepole amesema "Leo kinachoendelea kwenye Uchaguzi wa Chama huko chini...ni kudhihirisha ni namna gani Chama kimedhohofika kwenye kusimamia Misingi, Nidhamu ya Wanachama, Maadili, Rushwa" "Ni Haki kila Mtu kugombea lakini kwenye Chama ambacho tuna Kamkate kadogo ka fursa za Uongozi...
  19. Waufukweni

    Polepole: Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya Zimamoto 'Fire'

    Humphrey Polepole amesema "Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya 'Fire', tunataka mtu ambaye anchukizwa na ulegelege huu"
  20. Bromensa

    Humphrey Polepole ni mtanzania pekee ambaye akitangaza press conference mitandao yote inafungwa

    Nyie hamuogopi nguvu ya huyu mtu?
Back
Top Bottom