King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).
Angalia hii then unitofautishie kati ya Idd Amin Dada na deshi deshi. My self I can't tell. Kulingana na kinachoendelea
https://youtube.com/shorts/I37o60xwIYE?si=tIJ8dUV13hfkSZ_h
Yani siku hizi mtu kutekwa na kuuwawa au kupotezwa imekuwa kitu cha kawaida. Watanzania wanajazana kwenye comment section kutiana mwoga na kushangaa tu. Hii inadhihirisha hile kauli ya "Tutakupoteza na Watanzania watapiga kelele siku 2 kisha watakusahau".
Kila mtu sasa hivi Tanzania ni victim...
Angalizo:
Video hizi zinatisha na zinaweza kukuletea msongo wa mawazo au kuku traumatize. Kuwa makini. Pole nyingi kwa watanzania wote.
Google drive link: Samia Massacre Oct 2025 – Google Drive
NCHI YANGU KWA SASA INASIKITISHA SANA!
Kuona kauli kama hii ya kishetwani ikipita tu bila kuchukuliwa hatua?
Inashangaza sana, mpaka muda huu kwa aliyetamka wazi wazi tena mbele ya makamera kwamba atakatakata mapanga watu, bado yupo uraiani
Je, nini tafsiri ya kauli hiyo inapoachwa tu na...
Tafadhali sikilizeni hii.
Na huu ndio uhalisia wa maisha mtaani Tanzania yote.
Nb: Viongozi wa Kiislam jitafakarini sana.
Kama ni bahasha na uchawa basi mnajidhalilisha.
"This battle is going on everywhere on the continent, if not the whole earth. Tanzanians have just realised they were behind. It's the Tanzanians who maintained a rotten system and are responsible for this mess, not CCM. Tanzanians, in general, were not significantly affected by the fall of the...
Bonus: Mgodi wa GGML kufungwa December 05. Mwanakulitafuta...
Nitamrekebisha shekh aliesema watu watakatwa (vichwa) na kuzungumzia wakristo kama ndio njia ya ukosefu wa amani
Hakuna shekhe, kiongozi, au mtu yeyote aliyepewa ruhusa na Allah kusimamisha uhai wa mtu au kukataza jambo kwa kutumia...
Je hii tume itaenda muuliza Mh Tundu Lissu aliposema tutakinukisha alikuwa na maana Gani?
Je, itaenda kumuuliza aliposema kitanuka alikuwa na maana Gani?
Je, wataitwa wakina Lissu kumuuliza Nini maana no election no reform?
Wataenda muuliza ana shida Gani na tume ya uchaguzi?
Je itawapata...
Nchi hii, pamoja na mapungufu mengi, hatujawahi kuwa na ugomvi au uhasama wa kidini. Ndiyo maana kuna watu utasikia anaitwa Abel Abdalah, wengine utamsikia akiitwa Petro mume wake Khadija, au Abdallah mumewe Rozaria. Nilipoenda kumtembelea rafiki yangu bruda Peramiho, nilishuhudia shekhe...
LIST NZIMA YA WASHINDI WA TUZO ZA CAF 2025
✅Mshambuliaji wa Pyramids na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Kalala Mayele ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2025 barani Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka ndani ya bara la Afrika.
✅Beki wa Timu ya Taifa ya Morocco na PSG Achraf Hakimi ndiye...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Mawaziri wa Wizara mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025.
Haijalishi wewe ulikuwa chawa au ulikuwa nani kinachotafutwa na tukio la mtu maarufu mwenye jina apate tukio mitandao ije imzungumzie wamejaribu kwa mwenzenu hapo juzi mmeona kijana mpole ila wamepita naye sasa kazi kwenu D9 tokeni acheni ushamba
Itambue Namba Iliyofichwa Katika Vyumba Hivyo.
‘Karibu kwenye Macho Makali Challenge!’
‘Anatafutwa mtu mwenye macho makali zaidi!’
‘Kwenye picha hii kuna jedwali lenye vyumba 16…’
‘Namba moja kati ya 1 hadi 16 imefichwa Kwenye Chumba Fulani.’
‘Je, unaweza kuitambua?’
‘Taja namba unayoona...
hata chatgp imekataa kwa nguvu zote
mimi pia naungana na CHATGPT kukataa,
nchi ya Tanzania imejaaliwa rasilimali nyingi sana mpaka baadhi ya nchi wanatamani wawe kama sisi
tumejaaliwa kila aina ya utajiri baadhi naorodhesha hapa chini
Tukianza na rasilimali tulizojaariwa hifadhi na mbuga...
Wakuu, Amani iwe NANYI.
Nimetafakari kwa kina, Sijapata majibu.
Kwa nini hawa viongozi wanao semwa sio wazawa hivyo wapishe nafasi zao, Utendaji kazi wao ulionekana hauna mawaa, Hawana skendo za ufisadi, Matumizi mabaya ya madaraka nk.
Ni viongozi ambao wamekua wakikubakika katika jamii hata...
Ni dharau
Kiburi
Ulimbukeni
Kukosa maarifa?
Au uhuni?
Mama Rais mtoto waziri
Hii sikumbuki ilitokea nchi gani duniani yenye democrasia
Toka nimezaliwa sijawai kusikia Wala kuona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.