Nashangaa sana kuona vijana wengi tunaendelea kuwa maskini katika Karne hii ambayo imejaa fursa kibao just imagine watu kama kiboko ya wachawi , na manabii kibao
Akina chif godlove wanatajirika kwa ujinga ujinga tu akina mwijaku na wengine wengi kibao alafu kuna akina sisi ambao tunaendelea kutafuta pesa kwa njia halali 😀😃😄 ndo maana tunakuwa maskini
Just imagine mtu anafungua group lake la betting anakuwa anatoza watu kwa kupata preduction ambazo mara nyingi ni za uongo cha ajabu anapata pesa , mtu anaanzisha sijui vikoba , sijui kundi la dada poa sijui nini alafu unashangaa wanapata pesa kibao
ZAmani tulikuwa tunajua produits ni vitu
Ila kwasasa produits ni watu
Kila nikiwaza yote haya najiuiliza kwanini naendelea kuwa maskini kabisa na wakati mimi nina nyota ya unabii 😀😃😄
Akina chif godlove wanatajirika kwa ujinga ujinga tu akina mwijaku na wengine wengi kibao alafu kuna akina sisi ambao tunaendelea kutafuta pesa kwa njia halali 😀😃😄 ndo maana tunakuwa maskini
Just imagine mtu anafungua group lake la betting anakuwa anatoza watu kwa kupata preduction ambazo mara nyingi ni za uongo cha ajabu anapata pesa , mtu anaanzisha sijui vikoba , sijui kundi la dada poa sijui nini alafu unashangaa wanapata pesa kibao
ZAmani tulikuwa tunajua produits ni vitu
Ila kwasasa produits ni watu
Kila nikiwaza yote haya najiuiliza kwanini naendelea kuwa maskini kabisa na wakati mimi nina nyota ya unabii 😀😃😄