hela

  1. DR SANTOS

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawajumbiwa ku provide, tutafute hela

    Natumai ni wazima na sikukuu imeenda poa kwenu. Moja Kwa moja kwenye mada,unapotafuta mwenza either Kwa kuoa au ile sogea tukae lengo ni kuukacha ukapela na kupata msaidizi. Inatokea maisha yanakua vizuri tu mwanaume una uwezo wa kulisha familia na ABC zingn hazipigi chenga. Lakini katika...
  2. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Je, ni madhara gani nitayapata endapo nikiamua kutotuma hela ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Emmanuel?

    Nina wazazi wawili Bibi mmoja(Grand-mother) sina mke Wala mtoto Je nikiamua sikukuu hii ipite kimya kimya na Baada ya hapo kitanipata Nini?
  3. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

    Rais aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi. Wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Uchawi gani umetumika kuiba hela zangu kwenye kibubu?

    Nimevunja kibubu muda huu, kibubu nilichodunduliza 20% ya kila nilicho kipata kwa miezi nane (nilianza pasaka) nimekuta shilingi 4'500/ kweli? Dah
  5. C

    JamiiForums Tanzania Je, ni wizara gani kubwa inayotengewa hela nyingi?

    Salaam wakuu, Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwamba je ni wizara gani ni kubwa kati ya hizi wizara tulizo nazo na ambayo imekuwa ikitengewa pesa nyingi ukilinganisha na zingine? Naomba wajuzi wa mambo mnifahamishe.
  6. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna wanawake wa makabila mengine wanaowazidi waluguru na wazigua kuomba hela kwenye mapenzi?

    Hehehehee yaani nimekoma nimekomesheka, pamoja na ulevi wangu wa mauno, kuna umuhimu wa kujiuzuru haraka kwenye penzi la mluguru na Mzigua , sijui wana kibubu cha mufilisi kupitia mapenzi, kama jini hilo ni jini kipepeo kila dakika beby, mume, nikwambie kitu, mara sijui mara sijui shughuli a, b...
  7. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Tafuta hela, kutafuta taarifa za watu ni umaskini

    Watu wako busy sana na kufuatilia maisha na taarifa za watu. Muda ni rasilimali adhimu tena adimu. Muda ukikuacha huwezi kuupata tena. Kwanini unahangaika na maisha ya watu? Jali muda wako na uuheshimu. Muda unaourumia kwa umbea, majungu, na uzandiki , utumie kuzalisha mali na kuboresha maisha...
  8. Notorious thug

    JamiiForums Tanzania Viongozi hawa wamepiga hela sana 2022

    Kwema ndugu zangu Watanzania? Leo sina mengi zaidi ya kuwapa list yangu hapa ya Viongozi waliopiga hela nyingi kwa mwaka huu. Najua wote hapa mna akili timamu sitawaambia wamepiga vipi hela ila najua kwa kufungua akili zenu mtajiongeza. 1- January Makamba: Waziri wa Nishati baada...
  9. MK254

    JamiiForums Tanzania Hela ya Iran yapoteza thamani huku maandamano yakiwa pale pale

    Hela ya Iran, Rial, haijawahi kuanguka kiasi hiki, huku maandamo yakiendelea ya kupinga mauaji yanayofanywa na maaskari wa serikali wanaomlinda "mungu" wa waislamu... Iran’s currency fell to a record low against the dollar on Sunday, with nationwide anti-government protests now in their third...
  10. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Nifundisheni misemo mipya ya kukwepea vizinga(kuombwa Hela Hovyo😅😅)

    Zaidi ya kusema niko Juu Ya mawe sijui msemo mwingine unaomaanisha nimeishiwa Hela. Hebu nipeni msemo mkali zaidi ili nizidi kukwepa Vizinga wazee😅😅😂😂😂 Sikukuu ndio hizo zinakuja kwa kasi sana😎
  11. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Huu msemo wa Tafuta Hela . Unawahusu KE, na ME

    Mwanamke Jobless na mwenye harakati zake thamani Yao kwa Ground hazifanani. So uwa nachekaga hawa KE wanavyojiwekaga Nyuma katika mapambano . Demu mwenye Maisha mazuri hata Kama ana sura mbaya wanaume lazima wamuwinde . So Demu mwenye mkwanja usitegemee thamani yake ikafanana na mtu ambaye...
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga: Tumewapa hela na point wamechukua

    Hii sio habari mpya kabisa. Ni jambo linalofahamika. Ila tu kwa siku ya jana imetokea utapeli. Mtoa rushwa kalizwa. Wakati mwingine Uto mkiona hali kama ya jana, kwenye dakika ya 80 kamateni mpira kisha kapteni akahoji mbona mnaenda kinyume na bahasha?
  13. Sambinyakwe kitololo

    JamiiForums Tanzania Hizi pesa za chaguzi kwa matumizi haya huwa zinatoka wapi?

    Habari za muda huu watu Nauliza hivi hizi hela za chaguzi huwa zinatoka wapi je Kuna wadhamini au? Mana ukiangalia pesa zinavotumika hupati majibu. Nakumbuka miaka kadhaa nikiwa chuo zile chaguzi za serikali ya chuo sijui rais wa chuo form ilikuwa Kati ya 100k to 200k nadhani alafu mtu anaanza...
  14. BestOfMyKind

    JamiiForums Tanzania Hivi unafahamu pesa ya Tanzania inachapishwa Ujerumani?

    Pesa, noti za Tanzania zina printiwa Ujerumani. Nchi mbili tu Afrika Mashariki ndo zinachapa fedha nchini mwao ( Kenya na Congo), pia ni nchi tisa tu kiujumla Afrika ndio zinachapa fedha zao ndani ya nchi zao. Chanzo: DW Nchi za afrika na chapa za fedha
  15. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu tutafte hela, huyu dingi anakula mali safi, anaendesha Range Rover.

    Mzee anasukuma hii mali safi kabisa.
  16. system hacker

    JamiiForums Tanzania Hili ndio eneo linalopigwa hela ndefu pale RITA

    1. Ku reprint vyeti. 2. Vyeti vilivyokosewa. Nadhani kila cheti kitachokosewa kina dau lake refu sana. Bila shaka lile dustbin la vyeti vilivyokosewa ukilitandika from Dar laweza kufika hadi Zimbabwe na kurudi. Huu mchongo ni wa miaka na miaka no more no less.
  17. U

    JamiiForums Tanzania Shujaa wetu wamuache apige hela za matangazo, Januari aende kambini

    Sasa hivi shujaa wetu Majaliwa apewe muda apige pesa na matangazo ili sasa Januari aende kupiga kwata, si vema kumuwahisha sasa hivi. Hata hivyo, nina wasiwasi na wale watu wa majeshi huko anapoenda watampiga mizinga sana. Yote kwa yote, ufanyike mpango namba zake za simu ziwekwe na chimbo...
  18. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU ichungezeni Posta wanapokea hela za fomu za watoto za Bodi ya mikopo wakilipwa hawapeleki kwa wakati

    TAKUKURU ichungezeni Posta wanapokea hela za fomu za watoto za Bodi ya mikopo wakilipwa hawapeleki fomi kwa wakati bodi ya mikopo zingine wakashikilia hadi muda upite. Vamieni ofisi za posta mfanye uchunguzi
  19. crome20

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyesaidia kuokoa abiria ajali ya Precision Air asipewe hela

    Nimeona mkono wa Pongezi kutoka kwa RC Chalamila kwa ushupavu wa kijana mmoja aliyepiga kasia na kuingia ndani ya maji na kufungua mlango jambo lililosadia kuokoa abiria 24. Ni jambo zuri, USHAURI wangu, huyo kijana aingizwe katika jeshi kitengo cha uokozi wa majini. Itakuwa ni kumbukumbu nzuri...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mna uhakika Hela mliyompa 'Mtu' wenu aifikishe kwa 'Refa' wa Leo ili mshinde 'nyingi' ameifikisha kweli?

    Kilichonifanya GENTAMYCINE niulize hili ni kwamba Gari yake ina miezi Mitatu sasa ni Mbovu ila leo iko Mtaani anapiga nayo Misele na Rangi kaibadilisha pia. Pia kuna Viwanja Vinauzwa huko Chanika cha Kushangaza kanipigia anasema Kesho Alhamisi nimsindikize akanunue Vitatu. Na sijui ni kwanini...
Back
Top Bottom