Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,933
- 31,178
Sasa ni wazi kila mtu anakula kulingana na urefu wa Kamba yake.
Askari wa usalama barabarani eneo la Bomang’ombe kuelekea daraja la kikavu wamekuwa wakikwapua fedha za maderava bila uoga wa aibu.
Wamekuwa wakiendeleza tabia mbovu na mbaya kama wale jamaa waliofungua Account China.
Ukifika eneo husika unasomamishwa Askari anakuonyesha speed kutoka simu yake binafsi wala hujui eneo ulipopigwa picha.
Baada ya hapo wanakuzingua uwape rushwa !.
Huu utaratibu wa kupiga toach sehemu isiyojulikana bado unaendelea ?.Askari anatumia simu yake ambayo anaweza ku edit huu ni wizi kama wizi mwingine.
WaTanzania tunapigwa mfumuko wa bei na Trafic wanatupiga sijui tutaponea wapi !.
Ni kwanini tunaendelea kuubeba huu mfumo wa kuwaneemesha trafic wakati tunaweza kutumia technology kuondokana na hizi kero za kujitakia !.
Askari wa usalama barabarani eneo la Bomang’ombe kuelekea daraja la kikavu wamekuwa wakikwapua fedha za maderava bila uoga wa aibu.
Wamekuwa wakiendeleza tabia mbovu na mbaya kama wale jamaa waliofungua Account China.
Ukifika eneo husika unasomamishwa Askari anakuonyesha speed kutoka simu yake binafsi wala hujui eneo ulipopigwa picha.
Baada ya hapo wanakuzingua uwape rushwa !.
Huu utaratibu wa kupiga toach sehemu isiyojulikana bado unaendelea ?.Askari anatumia simu yake ambayo anaweza ku edit huu ni wizi kama wizi mwingine.
WaTanzania tunapigwa mfumuko wa bei na Trafic wanatupiga sijui tutaponea wapi !.
Ni kwanini tunaendelea kuubeba huu mfumo wa kuwaneemesha trafic wakati tunaweza kutumia technology kuondokana na hizi kero za kujitakia !.