2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,425
Hello.
Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?
Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.
Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.
Mbadilike.
Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?
Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.
Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.
Mbadilike.
Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni