Aliyekuwa mke wa Manara, Rushyna asema "Kwani Haji Manara ana hela? Hana pesa, sikwaziki na mambo ya kijinga"

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Untitled-1_1.jpg
Rushyna wakati akitambulishwa kuwa Balozi wa Emish Beauty jijini Dar es Salaam amezungumzia pia kuhusu ndoa yake iliyovunjika kati yake na Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara.

Rushyna amesema kama unaona haupati amani sehemu using’ang’anie, mtangulize Mungu mbele kisha endelea kupambana.

SWALI: Uliwahi kukosa amani katika ndoa yako?
JIBU: Somehow

Umewahi kupitia vipigo katika ndoa yako?
JIBU: Kawaida

Unajutia kuoana na Manara
JIBU: 50-50

Umepewa talaka ngapi na Manara?
JIBU: Moja

Hiyo ina maanisha anaweza kurejea kwako?
JIBU: No, kwa sababu hata kuachana kwetu hatukuachana kisheria, ningefuata sheria inamaanisha ningekuwa kwenye eda.

Kwa nini haujadai talaka zote ili uwe huru?
JIBU: Sihitaji hata hiyo ndoa kwa sasa

Una uhusiano na mtu kwa sasa?
JIBU: 50-50

Ni kweli kuwa ulifuata hela kwa Haji Manara?
JIBU: Kwani Haji ana hela? Hana pesa, ana pesa ya kawaida

Haji alikupa kazi kama msaidizi wake, unaendelea na hiyo kazi?
JIBU: HAPANA

Siku ya birthday yake alikupost kisha akafuta, ilikukwaza?

JIBU: Huwa sikwazikagi na mambo ya kijinga

Kuna mtu au watu wamejaribu kuwapatanisha?
JIBU: Nikiamua kitu change siwezi kushauriwa, nikisema nimechoka basi ujue nimechoka

Ukaribu wako na Harmonie upoje?
JIBU: Ni rafiki tu, nina marafiki wengi maarufu, ninawapost pale ninapojisikia

Watu wanasema wewe haujatulia na wewe ndio una matatizo na haukuwa unamsikiliza mume?
JIBU: Siyo kweli, yanayozungumzwa kuhusu mimi ni stori za kutungwa, sitetereki kujibu kwa kuwa habari zote ni za uwongo. Suala la kutulia kila mtu ana muono wake, huwezi kumridhisha kila mtu.

Ni kweli ulimnyima Haji perfume?
JIBU: Kwanza hilo jambo hata ukilisikia unaona halina maana

Ni kweli utarudi Shinyanga?
JIBU: Nitarudi (anacheka)
 
Huwa nasemaga Mara kwa Mara,mwanaume hapaswi kuwa goigoi Kama Haji manara.

Haji anaachwa na mwanamke analialia mitandaoni na kuanguka anguka na kuzimia Kama kuku mwenye kifadulo na anaishia kuwapa kazi ya kumpepea,kisa? Huyu Mwanamke.

Mwanaume unapaswa kuwa ndiyo king of the territory Kisha mwanamke anaingia kwenye ufalme wako. Kwa majibu hayo Ni wazi kabisa hiyo ndoa hata kabla hawajaachana, mwanamke alikuwa anampelekesha Sana Haji.

Men,

Odds are too tough to us,usisubiri mwanamke akuchanie mkeka Kisha unaanza kulialia. Kama mwanamke wako akigundua wewe ni weak man,you are finished !! Hawanaga huruma hawa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
S
Rushyna wakati akitambulishwa kuwa Balozi wa Emish Beauty jijini Dar es Salaam amezungumzia pia kuhusu ndoa yake iliyovunjika kati yake na Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara.

Rushyna amesema kama unaona haupati amani sehemu using’ang’anie, mtangulize Mungu mbele kisha endelea kupambana.

SWALI: Uliwahi kukosa amani katika ndoa yako?
JIBU: Somehow

Umewahi kupitia vipigo katika ndoa yako?
JIBU: Kawaida

Unajutia kuoana na Manara
JIBU: 50-50

Umepewa talaka ngapi na Manara?
JIBU: Moja

Hiyo ina maanisha anaweza kurejea kwako?
JIBU: No, kwa sababu hata kuachana kwetu hatukuachana kisheria, ningefuata sheria inamaanisha ningekuwa kwenye eda.

Kwa nini haujadai talaka zote ili uwe huru?
JIBU: Sihitaji hata hiyo ndoa kwa sasa

Una uhusiano na mtu kwa sasa?
JIBU: 50-50

Ni kweli kuwa ulifuata hela kwa Haji Manara?
JIBU: Kwani Haji ana hela? Hana pesa, ana pesa ya kawaida

Haji alikupa kazi kama msaidizi wake, unaendelea na hiyo kazi?
JIBU: HAPANA

Siku ya birthday yake alikupost kisha akafuta, ilikukwaza?

JIBU: Huwa sikwazikagi na mambo ya kijinga

Kuna mtu au watu wamejaribu kuwapatanisha?
JIBU: Nikiamua kitu change siwezi kushauriwa, nikisema nimechoka basi ujue nimechoka

Ukaribu wako na Harmonie upoje?
JIBU: Ni rafiki tu, nina marafiki wengi maarufu, ninawapost pale ninapojisikia

Watu wanasema wewe haujatulia na wewe ndio una matatizo na haukuwa unamsikiliza mume?
JIBU: Siyo kweli, yanayozungumzwa kuhusu mimi ni stori za kutungwa, sitetereki kujibu kwa kuwa habari zote ni za uwongo. Suala la kutulia kila mtu ana muono wake, huwezi kumridhisha kila mtu.

Ni kweli ulimnyima Haji perfume?
JIBU: Kwanza hilo jambo hata ukilisikia unaona halina maana

Ni kweli utarudi Shinyanga?
JIBU: Nitarudi (anacheka)
Suali! Kwanza hata sijui nimefikaje hapa, nadhani kichwa cha habari kilinivutia. Hivi huyu binti alikuwa anafanya kazi gani kabla ya kukutana na Manara? Kuna yeyote amabae alikuwa akimjua huyu binti kabla ya kuolewa na manara?
 
Huwa nasemaga Mara kwa Mara,mwanaume hapaswi kuwa goigoi Kama Haji manara.

Haji anaachwa na mwanamke analialia mitandaoni na kuanguka anguka na kuzimia Kama kuku mwenye kifadulo na anaishia kuwapa kazi ya kumpepea,kisa? Huyu Mwanamke.

Mwanaume unapaswa kuwa ndiyo king of the territory Kisha mwanamke anaingia kwenye ufalme wako. Kwa majibu hayo Ni wazi kabisa hiyo ndoa hata kabla hawajaachana, mwanamke alikuwa anampelekesha Sana Haji.

Men,

Odds is too tough to us,usisubiri mwanamke akuchanie mkeka Kisha unaanza kulialia. Kama mwanamke wako akigundua wewe ni weak man,you are finished !! Hawanaga huruma hawa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Si kweli jamani uwiii 🥲
 
Siku hizi kua Balozi wa Brand imekua rahisi sana kama kumsukuma mlevi tu! Ndio maana hata Dr Shika alikua balozi kwa umaarufu alioupata kwa kuharibu mnada wa Nyumba za Lugumi!

Mtu ana kesi Mahakamani ila akawa anatumika kama Balozi!

Huyo Mwanamke ameongea utoto na ujinga na inaonekana alikua kamtawala Haji,umaarufu wake ni kama harufu tu,utapita na atasahaulika.
 
Kama ana akili kila swali aliloulizwa angejibu "NO COMMENT"

Sasa hiyo press conference ilikuwa ni ya kutangaza ambassador mpya wa hiyo kampuni au ilikuwa sehemu ya kujibu maswali ambayo hayahusiani na biashara kwa 100%

Nina uhakika hata waandishi wa habari hawajauliza maswali ya msingi kuhusu hiyo kampuni na bidhaa zao kwasababu umbea ndiyo unauza bongo.
 
Rushyna wakati akitambulishwa kuwa Balozi wa Emish Beauty jijini Dar es Salaam amezungumzia pia kuhusu ndoa yake iliyovunjika kati yake na Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara.

Rushyna amesema kama unaona haupati amani sehemu using’ang’anie, mtangulize Mungu mbele kisha endelea kupambana.

SWALI: Uliwahi kukosa amani katika ndoa yako?
JIBU: Somehow

Umewahi kupitia vipigo katika ndoa yako?
JIBU: Kawaida

Unajutia kuoana na Manara
JIBU: 50-50

Umepewa talaka ngapi na Manara?
JIBU: Moja

Hiyo ina maanisha anaweza kurejea kwako?
JIBU: No, kwa sababu hata kuachana kwetu hatukuachana kisheria, ningefuata sheria inamaanisha ningekuwa kwenye eda.

Kwa nini haujadai talaka zote ili uwe huru?
JIBU: Sihitaji hata hiyo ndoa kwa sasa

Una uhusiano na mtu kwa sasa?
JIBU: 50-50

Ni kweli kuwa ulifuata hela kwa Haji Manara?
JIBU: Kwani Haji ana hela? Hana pesa, ana pesa ya kawaida

Haji alikupa kazi kama msaidizi wake, unaendelea na hiyo kazi?
JIBU: HAPANA

Siku ya birthday yake alikupost kisha akafuta, ilikukwaza?

JIBU: Huwa sikwazikagi na mambo ya kijinga

Kuna mtu au watu wamejaribu kuwapatanisha?
JIBU: Nikiamua kitu change siwezi kushauriwa, nikisema nimechoka basi ujue nimechoka

Ukaribu wako na Harmonie upoje?
JIBU: Ni rafiki tu, nina marafiki wengi maarufu, ninawapost pale ninapojisikia

Watu wanasema wewe haujatulia na wewe ndio una matatizo na haukuwa unamsikiliza mume?
JIBU: Siyo kweli, yanayozungumzwa kuhusu mimi ni stori za kutungwa, sitetereki kujibu kwa kuwa habari zote ni za uwongo. Suala la kutulia kila mtu ana muono wake, huwezi kumridhisha kila mtu.

Ni kweli ulimnyima Haji perfume?
JIBU: Kwanza hilo jambo hata ukilisikia unaona halina maana

Ni kweli utarudi Shinyanga?
JIBU: Nitarudi (anacheka)
Msema kweli mpenzi wa Mungu
 
Back
Top Bottom