Great thinkers naomba ufafanuzi juu ya haya maswali machache kuhusu biblia takatifu.
1. Hesabu 23:19 "inasema Mungu si mtu, aseme uongo, wala si mwanadamu ajute Iwapo amesema hatalitenda? Iwapo amenena hatalifikiliza?"
1 Samweli 15:10 "Ndipo neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,
[11]Najuta...