Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,890
Katika maisha hasa ya ndoa mambo Mengi hutokea...Kama kupishana maneno , kutofautiana kifamilia Kwa mke na mume ila yote ni maisha Mtu anayapitia .
Ili mtu Aishi Kwa Raha lazima aweje?? Kwa maana mtu ambaye amezoea kudekezwa kweli hajazoea visa vya mama mkwe . Na mengineyo kama ndugu wa bwana hii mnamshaurije?? Maana unawapokea Kwa Raha Tena watakuja siku za ijumamosi na ijumapili.
Ambapo mnatulia mpate hata kanyama choma mnasikia hodi??
Kwa waliooa au walioana hii mnaichukuliaje humu wapo ndugu wa Mume nyie mnajisikiaje kuja Kwa mtu kila weekend hadi inaboa .
Sio hamtakiwi but punguzeni hodi . Wapenzi watu hata waweke watoto ndio maana watu wanaoana .
Hii ni keroo. Kuna hii jingine mwanadada kaolewa halafu Hana heshima na ndoa yake . Humjibu mume vibaya huona amefika na Hana usaidizi wowote mwanaume akipunguza attention ni maneno maneno.
Jingine mwanaume Hana shukurani anakuta wife amefanya usafi wote , kampikia chakula apendacho na nikitamu ila yeye Hana shukurani . Hana heshima anamwita mke wake maneno ya ajabu wewe Malaya , kwanz animekutoa bar, sijui unawanaume wangapi Leo nilipotoka umeliwa nawangapi hadi kero. Halafu anapiga kelele watu wote wanamsikia .
Watu wengi wamechoka na maisha ila wanaume wahawachoki kunawanaume hawana misimamo hawajijui wanapenda Nini??? Nawao hawaoni mbele Yao Kuna Nini hawajajenga na Wala hawana nyumba Wala hawajui kwanini wanafanya kazi kila kitu kwao ni miujiza .
Maisha ya ndoa ni magumu kama huna uzoefu nao unahitaji moyo nakumchagua wakufa naye nayo nikazi .
Mtu mnaanza fresh mbeleni ni mlevii . Kingine mtu alikuwa mnavumiliana mambo mengi na mkoo poa baada ya Muda anaanza vipigio ukiangalia hakuna ulilomkosea. Au kusema Mimi nimechoka na nindoa takatifu .
Maisha ya ndoa ni magumu. Kwa maana Mtu hajapikiwa tambi tu usiku anakunyima unyumba miezi mitatu .Mwingine na mmeoana eti tupumzike tu kama wiki tutaona .
Mtu kupewa unyumba ni haki yake ila hata kulala kitandani kwake nope . Au anaambiwa nimechoka . So hawezi kupewa akitoka nje anawekwa vikao nananyimwa haki yake kila siku kapewa tu siku ndoa ...
Kuna mengi kwenye hizi ndoa kabisa .Sijui nanyie mjazilishie?? Maana mtu kuishi na mtoto wa mtu kerooo
Ili mtu Aishi Kwa Raha lazima aweje?? Kwa maana mtu ambaye amezoea kudekezwa kweli hajazoea visa vya mama mkwe . Na mengineyo kama ndugu wa bwana hii mnamshaurije?? Maana unawapokea Kwa Raha Tena watakuja siku za ijumamosi na ijumapili.
Ambapo mnatulia mpate hata kanyama choma mnasikia hodi??
Kwa waliooa au walioana hii mnaichukuliaje humu wapo ndugu wa Mume nyie mnajisikiaje kuja Kwa mtu kila weekend hadi inaboa .
Sio hamtakiwi but punguzeni hodi . Wapenzi watu hata waweke watoto ndio maana watu wanaoana .
Hii ni keroo. Kuna hii jingine mwanadada kaolewa halafu Hana heshima na ndoa yake . Humjibu mume vibaya huona amefika na Hana usaidizi wowote mwanaume akipunguza attention ni maneno maneno.
Jingine mwanaume Hana shukurani anakuta wife amefanya usafi wote , kampikia chakula apendacho na nikitamu ila yeye Hana shukurani . Hana heshima anamwita mke wake maneno ya ajabu wewe Malaya , kwanz animekutoa bar, sijui unawanaume wangapi Leo nilipotoka umeliwa nawangapi hadi kero. Halafu anapiga kelele watu wote wanamsikia .
Watu wengi wamechoka na maisha ila wanaume wahawachoki kunawanaume hawana misimamo hawajijui wanapenda Nini??? Nawao hawaoni mbele Yao Kuna Nini hawajajenga na Wala hawana nyumba Wala hawajui kwanini wanafanya kazi kila kitu kwao ni miujiza .
Maisha ya ndoa ni magumu kama huna uzoefu nao unahitaji moyo nakumchagua wakufa naye nayo nikazi .
Mtu mnaanza fresh mbeleni ni mlevii . Kingine mtu alikuwa mnavumiliana mambo mengi na mkoo poa baada ya Muda anaanza vipigio ukiangalia hakuna ulilomkosea. Au kusema Mimi nimechoka na nindoa takatifu .
Maisha ya ndoa ni magumu. Kwa maana Mtu hajapikiwa tambi tu usiku anakunyima unyumba miezi mitatu .Mwingine na mmeoana eti tupumzike tu kama wiki tutaona .
Mtu kupewa unyumba ni haki yake ila hata kulala kitandani kwake nope . Au anaambiwa nimechoka . So hawezi kupewa akitoka nje anawekwa vikao nananyimwa haki yake kila siku kapewa tu siku ndoa ...
Kuna mengi kwenye hizi ndoa kabisa .Sijui nanyie mjazilishie?? Maana mtu kuishi na mtoto wa mtu kerooo