JUKWAA LA SIASA NA "BIRTJDAY" YA MCHUNGAJI KIMARO WAPI na WAPI?Heri ya Kuzaliwa Mtumishi wa Mungu Dr Rev Kimaro. Mungu azidi kukupa miaka mingi ya Neema na baraka uzidi kutimiza kusudi lake hapa duniani.
HahahahahHuyo kimaro ni mtendaji wa kijiji gani...?
Una utani na "Ofisa Mtendaji" teacher?Nimuite akufokee?😁Huyo kimaro ni mtendaji wa kijiji gani...?
Kongole zake.Heri ya Kuzaliwa Mtumishi wa Mungu Dr Rev Kimaro. Mungu azidi kukupa miaka mingi ya Neema na baraka uzidi kutimiza kusudi lake hapa duniani.
Hakika tunajivuniaKongole zake.
Huyu ni mchungaji wa mafundisho ya maisha.
Miaka??Heri ya Kuzaliwa Mtumishi wa Mungu Dr Rev Kimaro. Mungu azidi kukupa miaka mingi ya Neema na baraka uzidi kutimiza kusudi lake hapa duniani.
Ukishajua itakufaa nn?Miaka??
Ninayo diary; wewe huna?Ukishajua itakufaa nn?