Ni hivi wakuu, jana kuna mahali nilikuwa nipo kwenye mishe zangu tu za maisha ya kawaida........pale nilipokuwepo jamaa mmoja akanistua hebu cheki kule.....ilikuwapo tv nas ilikuwa inaonesha habari live kutoka india........eti askari wanawachapa watu fimbo hadharani nilishangaa sana.......
Hivi kumbe hadi uko dunia ya pili viboko ni kama kawaida tu.....sasa uku kwetu mbona inakuwa ni balaa sana .......vipi mawazo yako hapo je ni sa hihi kuchapana hadharani wakati kira mtu ana moyo na figo yake......??
Hivi kumbe hadi uko dunia ya pili viboko ni kama kawaida tu.....sasa uku kwetu mbona inakuwa ni balaa sana .......vipi mawazo yako hapo je ni sa hihi kuchapana hadharani wakati kira mtu ana moyo na figo yake......??