Video: Jinsi vyombo vya habari vya wazungu vilivyosherehekea kuingia kwa Corona Africa,”The virus finally hits Africa!”

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,052
40,715
Hapo chini ni video yenye title “....Corona virus FINALLY HITS Africa” , kwa wanaoelewa hasa maudhui ya lugha ya kiingereza, ni kwamba neno FINALLY hutumika pale ambapo unakua unasubiria jambo flani kwa hamu na shauku kubwa lakini linakuwa linachelewa kutokea, na pale linapotokea ndio sasa unashangilia na kusema “....FINALLY....” , shuhudia mwenyewe.

 
Anakwambia ugonjwa umeanza mdogo mdogo lakini kwakuwa Afrika ni Very Flagile tutakiona cha moto maaana kamwe hatuwez kuhimili kamwe kutokana na kutokuwa na Vifaa tiba vya Kutosha. Lkn tutavuka tu kigumu gumu
Yaani jinsi anavyoongea (kama umemsikiliza kwa makini) ni kwamba anaona ilikuwa sio fair kwa wao kuteseka na Corona ilihali sisi tunakula bata tu, na kwamba sasa na sisi wacha tuonje joto ya jiwe kama wao ambavyo wamekuwa wakikiona cha moto, this was a month ago, na kwa sasa watakuwa wanajipiga vichwa ukutani kwanini Africa hatufi kwa kasi ya watu buku 10 kwa siku na kuokotwa maiti hovyo barabarani kama walivyobashiri na kutamani iwe, hahahahah, yaani hawa nguruwe hawa,sijui tumewakosea nini, Mungu mbariki JPM
 
1BDED3B3-F6E3-49C2-89BE-6883EBC082DD.png
048165BB-BBE2-4657-82A0-DA6471F0595A.png
CC839BC0-7112-4880-8F53-D58C64BE15E9.png
AF6C115C-8D03-4C92-8564-C326BC37B8D9.png
 
Mjuba, hivi haujui huko sehemu kama Marekani, corona tayari inawaathiri watu wenye asili ya Afrika kwa kiwango kikubwa kuliko wengine? Mind you, nao mwanzoni mwa janga hili walikuwa wanashangilia kama wewe kuwa corona ni ‘the great equalizer’.

If anything, unatakiwa uwe alarmed sana kuhusu corona na kuwaza jinsi ya kukabiliana nayo badala ya kuja na hizi mada za kuchambua neno moja moja zilizosemwa na mtu baki.

Tayari wanasema corona haiondoki leo wala kesho. Tafakari kwa uchumi huu tulionao, hii ngoma tutaihimili vipi miezi 6 kutoka sasa. This is serious.

Think brother!
 
Mjuba, hivi haujui huko sehemu kama Marekani, corona tayari inawaathiri watu wenye asili ya Afrika kwa kiwango kikubwa kuliko wengine? Mind you, nao mwanzoni mwa janga hili walikuwa wanashangilia kama wewe kuwa corona ni ‘the great equalizer’.

If anything, unatakiwa uwe alarmed sana kuhusu corona na kuwaza jinsi ya kukabiliana nayo badala ya kuja na hizi mada za kuchambua neno moja moja zilizosemwa na mtu baki.

Tayari wanasema corona haiondoki leo wala kesho. Tafakari kwa uchumi huu tulionao, hii ngoma tutaihimili vipi miezi 6 kutoka sasa. This is serious.

Think brother!
Probably wanapuliziwa virusi vya Corona kwa kisingizio cha fummigation, wazungu sio watu, au la wanapika data ili kunyong’onyesha blacks, siamini hizo data zao kamwe
 
Mjuba, hivi haujui huko sehemu kama Marekani, corona tayari inawaathiri watu wenye asili ya Afrika kwa kiwango kikubwa kuliko wengine? Mind you, nao mwanzoni mwa janga hili walikuwa wanashangilia kama wewe kuwa corona ni ‘the great equalizer’.

If anything, unatakiwa uwe alarmed sana kuhusu corona na kuwaza jinsi ya kukabiliana nayo badala ya kuja na hizi mada za kuchambua neno moja moja zilizosemwa na mtu baki.

Tayari wanasema corona haiondoki leo wala kesho. Tafakari kwa uchumi huu tulionao, hii ngoma tutaihimili vipi miezi 6 kutoka sasa. This is serious.

Think brother!
Pia tutahimili kwa kutoweka lockdown
 
Probably wanapuliziwa virusi vya Corona kwa kisingizio cha fummigation, wazungu sio watu, au la wanapika data ili kunyong’onyesha blacks, siamini hizo data zao kamwe

Hapo ndiyo tunapokwama. Hatutaki kuchukua wajibu wetu tunakaa kulalamikia wengine tu. Kama kuna hatua za kuelimisha na kujilinda basi tuambiane lakini haya mambo ya sijui wazungu yamepitwa na wakati. Acheni kuwajaza watu ujinga.
 
Pia tutahimili kwa kutoweka lockdown

Namba hazidanganyi mkuu. Muda ukifika unaumbuka tu. Nchi inahitaji fedha za kigeni, unadhani kuuziana chapati ndiyo kutaenda kulipia madeni ya SGR? Na huo utalii uliosimama, kipi kitafanyika kufidia hilo gap? Na huduma za jamii zilizosimama kama michezo na elimu, unadhani zitafunguliwa lini na kwa utaratibu gani?

Kuwa serious kidogo basi.
 
Hapo ndiyo tunapokwama. Hatutaki kuchukua wajibu wetu tunakaa kulalamikia wengine tu. Kama kuna hatua za kuelimisha na kujilinda basi tuambiane lakini haya mambo ya sijui wazungu yamepitwa na wakati. Acheni kuwajaza watu ujinga.
Historia inaongea, fuatilia “The Tuskegee Syphilis experiment” halafu rudi hapa uendelee kuharisha kama bata aliyelawitiwa, watu kama nyie mnatia hasira sana, hata babu yako wa kizazi cha 20 nyuma anakuangalia na anatamani hata akucharange mapanga na akuchemshe supu akunywe, hujui jinsi mababu wa hao nguruwe walivyowafanyia wazee wetu, hujui tu, ngoja niishie hapa, endelea kutetea hao wazibuliwa makalio, endelea tu, na laana ya mababu zako walionyongwa kama mbwa ikushukie...
 
Back
Top Bottom