Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,402
Katika kujikinga na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa #COVID19, Serikali imesema kuanzia leo mikutano ya Waandishi wa Habari na shughuli nyingine zitakazowafanya waandishi wa habari kukusanyika zinasitishwa
Hivyo, taarifa za Waziri wa Afya kuhusiana na ugonjwa huo zitatolewa kwa njia ya ‘Press Releases’, kurushwa moja kwa moja kupitia Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) au kurekodiwa na kisha kusambazwa
Aidha, Taasisi zote zitakazokuwa na shughuli zinazowajumuisha Waandishi wa Habari wameombwa kutumia njia zilizoelezwa na kwa namna yoyote ile kuepusha kuwaita Waandishi wa Habari kwenye shughuli zao
Hivyo, taarifa za Waziri wa Afya kuhusiana na ugonjwa huo zitatolewa kwa njia ya ‘Press Releases’, kurushwa moja kwa moja kupitia Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) au kurekodiwa na kisha kusambazwa
Aidha, Taasisi zote zitakazokuwa na shughuli zinazowajumuisha Waandishi wa Habari wameombwa kutumia njia zilizoelezwa na kwa namna yoyote ile kuepusha kuwaita Waandishi wa Habari kwenye shughuli zao