group

  1. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Ajenda ya Corona na Wazee wa Dar es Salaam; Usizunguke zunguke, nyooka kama rula

    WAZEE WATATULIWE CHANGAMOTO ZAO, WASITUMIKE KUHALALISHA MATAKWA YA WATAWALA Jana Rais Samia Suluhu Hassan alikutana na wanaoitwa "wazee wa Dar es Salaam" katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City. Kama kawaida, wazee walipigwa "sound", wakapiga makofi, wakapiga picha, wakala FUTARI wakarejea...
  2. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Barrick Group (64 vacancies)

    BARRICK GROUP EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Humble beginnings fuelled by burgeoning aspirations led to the inception of Barrick Group’s first commercial venture in 2003 – a general trading company solely specialising in food and consumable products for the UAE and African markets. A move that set...
  3. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Al Ahly 2-2 AS Vita | CAFCL

    24' ASC 0 - 0 ASV Mpira ni mkali kinoma ======== FT: Al Ahly 2-2 Vita Club
  4. Joseverest

    JamiiForums Tanzania Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

    Naaaaam Barabara kabisa, Ndugu wadau wa Michezo wa hapa Jamiiforums na kwingineko karibuni katika Live updates(Matukio Mubashara) kutokea hapa Kinshasa katika Dimba la Stade De Martyrs, uwanja wa nyumbani wa Timu ya AS VITA CLUB ambapo kuna "patashika nguo kuchanika" au unaweza kusema kipute...
  5. Twenty Twenty One

    JamiiForums Tanzania Nini Simba ifanye kuvuka group stage ya CAF CL

    Ijumaa hii Simba ataanza kampeni yake ya kutinga robo fainali ya CAF CL kwa kumenyana na AS Vita Club ya DRC katika uwanja wa mashujaa pale Kinshasa. Pambano la mwisho uwanjani hapo alipoteza kwa 5–0 lakini mambo mengi yamebadilika katika vikosi vya timu zote mbili. Vita Club waliuza wachezaji...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Post write off Recoveries Officer at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on the...
  7. tyc

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa kanuni, Chikwende hatocheza mechi yoyote CAF group stage akiwa na Simba

    Inasikitisha Simba tumesajili mchezaji mwenye kiwango kizuri, uzoefu wa kutosha katika mashindano ya kimataifa ngazi ya klabu lakini hatoweza kuichezea Simba katika hatua ya CAF group stage (16 round) Hii ni kutokana na kanuni ya CAF kwamba timu yoyote ikifuzu kuingia group stage basi...
  8. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nawezaje kupata emails za member wenzangu kwa yahoo group?

    Habari zenu wakuu, Maguru wa I.T Nilikuwa yahoo group na wenzangu, ambapo december 15 2020 .Yahoo wamefunga groups. Nawezaje ona (kupata) emails za wale members niwatumie jumbe mmoja mmoja? Nicheki kwa 0713-039875 , kama ushauri mrefu, tupange wikiend ,ntakulipa kwa usumbufu mkuu
  9. GIRITA

    JamiiForums Tanzania Wasafi TV inabidi mkajifunze kwa Clouds TV namna ya kurusha vipindi mubashara

    Hii media imekuja kwa kasi sana, kweli mmeweza kukamata pakubwa kwenye tasnia ya habari mawasiliano na burudani. Lakini bado mnasafari ndefu sana kufikia media zilizotangulia, msijione mnaweza kufika 10 kabla ya kuanza 1, ni vema kujifua zaidi kupata maujuzi kabla ya kuanza kufanya mambo ambayo...
  10. Sinister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KCB Group to acquire more banks in Tanzania and Rwanda

    KCB Group CEO Joshua Oigara NAIROBI, KENYA: KCB Group Plc (KCB) and Atlas Mara (ATMA) have signed a definitive agreement which will see the bank increase its footprint within the region. This is through the acquisition of a 62.06 per cent stake in Banque Populaire du Rwanda Plc (BPR) and a 100...
  11. Airmanula

    JamiiForums Tanzania Jackson Group na wadau wengine tunaomba tumuandalie kijana wetu Mwakinyo mapambano haya

    Nitoe pongezi kwa wadau wa masumbwi nchini kwa kuendelea kutupa furaha tena sisi wapenda masumbwi nchini. Kwa kipindi fulani unaweza kudhani kua mchezo wa masumbwi kama vile ulikua umesahaulika kama si kutokua na amsha amsha tena. Pongezi ziwafikie Jackson Group na wadau wengine ambao...
  12. kayanda01

    JamiiForums Tanzania Nahitaji pressure washer plunger pump. Manufacturer awe INTERPUMP GROUP

    Nahitaji 'pressure washer plunger pump' mpya original made in Italy by INTERPUMP GROUP. Pump kama hii: Kwa jijini Mwanza, zinapatikana maduka gani? Nahitaji Genuine kabisa interpump og. Sitaki kanyaboya ya kichina!
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia mtu kuona kama nimesoma text yake kwenye WhatsApp group

    Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu najibu kama si muhimu nataka niwe busy. Sasa tatizo ni ile hali ya mtu aliyetuma text yeye kujua kuwa...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Clouds Media wafungiwa kwa siku 7, kwa kutangaza Takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi. TCRA imesema kosa walilolifanya ni...
  15. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Kama dunia ingekuwa ni Whatsapp Group, Admin angekuwa nani?

    Hebu tuachane na mambo ya uchaguzi na corona kwanza. Tu refresh ubongo kidogo Kama dunia yetu hii tunayoishi ingekuwa ni kama vile KIKUNDI CHA WHATSAPP (WHATSAPP GROUP) je ni nani (anapaswa/angepaswa )kuwa admin wetu? Angalizo: Mambo ya dini yasihusishwe Tujadili sisi kama sisi ambao tupo...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hadi Kesho nisipoona Clouds Media Group, MCT, TCRA na Serikali ( Wizara ) husika vimemchukulia hatua Kali Mtangazaji Adam Mchomvu nitawadharau mno

    Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Forensic Investigations Manager at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa Impala Group of Hotels/Companies washinda kesi dhidi ya Management ya Hotel/late Mrema

    Impala Group of Companies/Hotel ni Muunganiko wa Impala Hotel, Naura Springs Hotels, Classic Tours, Ngurdoto Mountain Lodge, Moshi Hotel, Impala Shuttle, na Ngurdoto Shuttle. Kama Mtakumbuka, kipindi cha miezi ya nyuma, kuliriportiwa migogoro ya Management ya Impala Kushindwa kulipa wafanyakazi...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Market Risk Manager at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on...
  20. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ni lini CCM itainunua Clouds Media Group kuwa Chombo chake cha Propaganda au ni lini Clouds Media Group itakuwa Msaidizi wa TBC1 na Taifa?

    Najua Wahusika muhimu wa Chama na Serikali wapo sana hapa Jamvini JamiForums hivyo Mzukulu nitapata Mrejesho wangu hasa na niridhike.
Back
Top Bottom