group

  1. Dr. Zaganza

    Msaada: Nawezaje kupata emails za member wenzangu kwa yahoo group?

    Habari zenu wakuu, Maguru wa I.T Nilikuwa yahoo group na wenzangu, ambapo december 15 2020 .Yahoo wamefunga groups. Nawezaje ona (kupata) emails za wale members niwatumie jumbe mmoja mmoja? Nicheki kwa 0713-039875 , kama ushauri mrefu, tupange wikiend ,ntakulipa kwa usumbufu mkuu
  2. GIRITA

    Wasafi TV inabidi mkajifunze kwa Clouds TV namna ya kurusha vipindi mubashara

    Hii media imekuja kwa kasi sana, kweli mmeweza kukamata pakubwa kwenye tasnia ya habari mawasiliano na burudani. Lakini bado mnasafari ndefu sana kufikia media zilizotangulia, msijione mnaweza kufika 10 kabla ya kuanza 1, ni vema kujifua zaidi kupata maujuzi kabla ya kuanza kufanya mambo ambayo...
  3. Sinister

    KCB Group to acquire more banks in Tanzania and Rwanda

    KCB Group CEO Joshua Oigara NAIROBI, KENYA: KCB Group Plc (KCB) and Atlas Mara (ATMA) have signed a definitive agreement which will see the bank increase its footprint within the region. This is through the acquisition of a 62.06 per cent stake in Banque Populaire du Rwanda Plc (BPR) and a 100...
  4. Airmanula

    Jackson Group na wadau wengine tunaomba tumuandalie kijana wetu Mwakinyo mapambano haya

    Nitoe pongezi kwa wadau wa masumbwi nchini kwa kuendelea kutupa furaha tena sisi wapenda masumbwi nchini. Kwa kipindi fulani unaweza kudhani kua mchezo wa masumbwi kama vile ulikua umesahaulika kama si kutokua na amsha amsha tena. Pongezi ziwafikie Jackson Group na wadau wengine ambao...
  5. kayanda01

    Nahitaji pressure washer plunger pump. Manufacturer awe INTERPUMP GROUP

    Nahitaji 'pressure washer plunger pump' mpya original made in Italy by INTERPUMP GROUP. Pump kama hii: Kwa jijini Mwanza, zinapatikana maduka gani? Nahitaji Genuine kabisa interpump og. Sitaki kanyaboya ya kichina!
  6. Komeo Lachuma

    Jinsi ya kuzuia mtu kuona kama nimesoma text yake kwenye WhatsApp group

    Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu najibu kama si muhimu nataka niwe busy. Sasa tatizo ni ile hali ya mtu aliyetuma text yeye kujua kuwa...
  7. Roving Journalist

    Clouds Media wafungiwa kwa siku 7, kwa kutangaza Takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi. TCRA imesema kosa walilolifanya ni...
  8. Deejay nasmile

    Kama dunia ingekuwa ni Whatsapp Group, Admin angekuwa nani?

    Hebu tuachane na mambo ya uchaguzi na corona kwanza. Tu refresh ubongo kidogo Kama dunia yetu hii tunayoishi ingekuwa ni kama vile KIKUNDI CHA WHATSAPP (WHATSAPP GROUP) je ni nani (anapaswa/angepaswa )kuwa admin wetu? Angalizo: Mambo ya dini yasihusishwe Tujadili sisi kama sisi ambao tupo...
  9. GENTAMYCINE

    Hadi Kesho nisipoona Clouds Media Group, MCT, TCRA na Serikali ( Wizara ) husika vimemchukulia hatua Kali Mtangazaji Adam Mchomvu nitawadharau mno

    Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
  10. Jamii Opportunities

    Forensic Investigations Manager at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on...
  11. M

    Wafanyakazi wa Impala Group of Hotels/Companies washinda kesi dhidi ya Management ya Hotel/late Mrema

    Impala Group of Companies/Hotel ni Muunganiko wa Impala Hotel, Naura Springs Hotels, Classic Tours, Ngurdoto Mountain Lodge, Moshi Hotel, Impala Shuttle, na Ngurdoto Shuttle. Kama Mtakumbuka, kipindi cha miezi ya nyuma, kuliriportiwa migogoro ya Management ya Impala Kushindwa kulipa wafanyakazi...
  12. Jamii Opportunities

    Market Risk Manager at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on...
  13. Mzukulu

    Ni lini CCM itainunua Clouds Media Group kuwa Chombo chake cha Propaganda au ni lini Clouds Media Group itakuwa Msaidizi wa TBC1 na Taifa?

    Najua Wahusika muhimu wa Chama na Serikali wapo sana hapa Jamvini JamiForums hivyo Mzukulu nitapata Mrejesho wangu hasa na niridhike.
  14. Jamii Opportunities

    Content Writer at NileMart Group Company Ltd

    Company: NileMart Group Company Ltd Location: Tanzania State: Zanzibar Jobs Job type: Full-Time Job category: IT/Telecom Jobs in Tanzania NileMart Group Company Ltd The ideal candidates possesses a passion for writing and an innovative ability to create successful marketing campaigns and aid in...
  15. FRANCIS DA DON

    Kama waTanzania wasingekuwa na unafiki, nadhani hii dance group ingeitwa kuja kushiriki maziko hapa nchini

    Maana unabaki kushangaa jinsi Tanzia zinavyoletwa jukwaani kwa bashasha , nderemo na vifijo fijo kila aina, inashangaza sana. Tena kuna baadhi wamefanya kama mashindano ya kutafuta sifa kwamba nani kaleta Tanzia wa kwanza na kwa wingi. Ona video
  16. RAKI BIG

    Msaada; AKO Group Ltd wanaohusika na kupika wanapatikana wapi?

    Nimejaribu google lakini sijaelewa walipo. Me natokea Mbezi Kimara. Kwa anayejua msaada wa kuelekeza.
  17. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi AKO Group Ltd

    AKO Group Ltd inayofanya kazi zake Barrick Gold Mine (Bulyanhulu) inakaribisha maombi ya watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 5 za kazi katika idara ya Usafi (Housekeepers) kutoka katika vijiji/maeneo yanayouzunguka mgodi MAJUKUMU MUHIMU USAFI(HOUSEKEEPER) Kusafisha vyumba vya...
  18. mayowela

    Jinsi "Tone Radio" ilivoibomoa "Sahara Media Group" mpaka leo inachechemea

    Wanasema zubaa uchekwe na Ujanja ni kupata/kuwahi, Unaweza ukawa uliisha isikia redio inaitwa TONE RADIO (TONE MEDIA COMPANY) Hawa jamaa waliibuka mnamo mwaka 2012 wakiwa na namna ya urushaji wao wa matangazo kwa njia ya mtandao (online), hawa walikuwa wanapatikana Kijitonyama Tone House Umoja...
  19. M

    South Africa angrily attack China after a leaked messages from a chat Group..

    On the 18th of April, Saturday evening, A lot happened on twitter between Chinese and south Africans after a screenshot emerged of a secret social media group of racist Chinese People. A screenshot from the group had leaked out. The screenshot was filled with hate messages from Chinese People...
  20. M

    Tetesi: Mgogoro wa Impala group hotels na wafanyakazi kutua bungeni

    Mgogoro kati ya management na wafanyakazi wa Impala group of Hotels unatarajiwa kutua bungeni. Idara ya kazi Arusha imeshindwa kabisa kushughullikia na kumaliza mgogoro. Pia NSSF wameshindwa kukusanya michango tangu 2017. Ilipofika January, Naibu Waziri alikutana na makundi yote 2 pale idara...
Back
Top Bottom