group

  1. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia mtu kuona kama nimesoma text yake kwenye WhatsApp group

    Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu najibu kama si muhimu nataka niwe busy. Sasa tatizo ni ile hali ya mtu aliyetuma text yeye kujua kuwa...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Clouds Media wafungiwa kwa siku 7, kwa kutangaza Takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi. TCRA imesema kosa walilolifanya ni...
  3. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Kama dunia ingekuwa ni Whatsapp Group, Admin angekuwa nani?

    Hebu tuachane na mambo ya uchaguzi na corona kwanza. Tu refresh ubongo kidogo Kama dunia yetu hii tunayoishi ingekuwa ni kama vile KIKUNDI CHA WHATSAPP (WHATSAPP GROUP) je ni nani (anapaswa/angepaswa )kuwa admin wetu? Angalizo: Mambo ya dini yasihusishwe Tujadili sisi kama sisi ambao tupo...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hadi Kesho nisipoona Clouds Media Group, MCT, TCRA na Serikali ( Wizara ) husika vimemchukulia hatua Kali Mtangazaji Adam Mchomvu nitawadharau mno

    Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Forensic Investigations Manager at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa Impala Group of Hotels/Companies washinda kesi dhidi ya Management ya Hotel/late Mrema

    Impala Group of Companies/Hotel ni Muunganiko wa Impala Hotel, Naura Springs Hotels, Classic Tours, Ngurdoto Mountain Lodge, Moshi Hotel, Impala Shuttle, na Ngurdoto Shuttle. Kama Mtakumbuka, kipindi cha miezi ya nyuma, kuliriportiwa migogoro ya Management ya Impala Kushindwa kulipa wafanyakazi...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Market Risk Manager at Absa Group Limited

    About Us Truly African We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on...
  8. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ni lini CCM itainunua Clouds Media Group kuwa Chombo chake cha Propaganda au ni lini Clouds Media Group itakuwa Msaidizi wa TBC1 na Taifa?

    Najua Wahusika muhimu wa Chama na Serikali wapo sana hapa Jamvini JamiForums hivyo Mzukulu nitapata Mrejesho wangu hasa na niridhike.
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Content Writer at NileMart Group Company Ltd

    Company: NileMart Group Company Ltd Location: Tanzania State: Zanzibar Jobs Job type: Full-Time Job category: IT/Telecom Jobs in Tanzania NileMart Group Company Ltd The ideal candidates possesses a passion for writing and an innovative ability to create successful marketing campaigns and aid in...
  10. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Kama waTanzania wasingekuwa na unafiki, nadhani hii dance group ingeitwa kuja kushiriki maziko hapa nchini

    Maana unabaki kushangaa jinsi Tanzia zinavyoletwa jukwaani kwa bashasha , nderemo na vifijo fijo kila aina, inashangaza sana. Tena kuna baadhi wamefanya kama mashindano ya kutafuta sifa kwamba nani kaleta Tanzia wa kwanza na kwa wingi. Ona video
  11. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Msaada; AKO Group Ltd wanaohusika na kupika wanapatikana wapi?

    Nimejaribu google lakini sijaelewa walipo. Me natokea Mbezi Kimara. Kwa anayejua msaada wa kuelekeza.
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi AKO Group Ltd

    AKO Group Ltd inayofanya kazi zake Barrick Gold Mine (Bulyanhulu) inakaribisha maombi ya watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 5 za kazi katika idara ya Usafi (Housekeepers) kutoka katika vijiji/maeneo yanayouzunguka mgodi MAJUKUMU MUHIMU USAFI(HOUSEKEEPER) Kusafisha vyumba vya...
  13. mayowela

    JamiiForums Tanzania Jinsi "Tone Radio" ilivoibomoa "Sahara Media Group" mpaka leo inachechemea

    Wanasema zubaa uchekwe na Ujanja ni kupata/kuwahi, Unaweza ukawa uliisha isikia redio inaitwa TONE RADIO (TONE MEDIA COMPANY) Hawa jamaa waliibuka mnamo mwaka 2012 wakiwa na namna ya urushaji wao wa matangazo kwa njia ya mtandao (online), hawa walikuwa wanapatikana Kijitonyama Tone House Umoja...
  14. M

    JamiiForums Tanzania South Africa angrily attack China after a leaked messages from a chat Group..

    On the 18th of April, Saturday evening, A lot happened on twitter between Chinese and south Africans after a screenshot emerged of a secret social media group of racist Chinese People. A screenshot from the group had leaked out. The screenshot was filled with hate messages from Chinese People...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mgogoro wa Impala group hotels na wafanyakazi kutua bungeni

    Mgogoro kati ya management na wafanyakazi wa Impala group of Hotels unatarajiwa kutua bungeni. Idara ya kazi Arusha imeshindwa kabisa kushughullikia na kumaliza mgogoro. Pia NSSF wameshindwa kukusanya michango tangu 2017. Ilipofika January, Naibu Waziri alikutana na makundi yote 2 pale idara...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Lukuvi atekeleza agizo la Rais Magufuli, aikabidhi Halmashauri ya Kigamboni ekari 715 za ardhi

    Waziri wa ardhi mh Lukuvi leo ametekeleza agizo la Rais Magufuli kwa kuikabidhi halmashauri ya Kigamboni ekari 715 zilizokuwa za Quality group iliyozimiliki kupitia International Village ltd. Rais Magufuli alitoa siku 7 kwa Waziri Lukuvi awe ameikabidhi ardhi hiyo kwa halmashauri ya Kigamboni...
  17. mayowela

    JamiiForums Tanzania Wasafi FM's Block 89: A group of noise makers

    Hawa jamaa wa Block 89 ya Wasafi wanaongeaga vitu vingi sana hawavijui! Too much lies! Story za Kobe (wao wanamuita Kobe na sio Kobi) zimepotoshwa sana kuhusu basketball. Most of them are overrated. Who's the Program Manager?
  18. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Vine yageuka Byte, imesaini mkataba na WEPLAY Group

    Mtandao uliokuwa maarufu duniani kote Vine umefanya mabadiliko na sasa utatambulika kama Byte. Vine kwa miaka kadhaa ilisimama imara kabla ya kupigwa vikumbo na magwiji Instagram, Snapchat na hata kusogezwa mbali zaidi na Tiktok. Vine imekuwa ikifanya tafiti na kutengeneza mbinu wezeshi za...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Group Legal & Human resources manager at Exodus Group Limited

    Position: Group Legal & Human resources manager Job Summary: Exodus Group Limited with Head Offices at Chang’ombe Temeke Dar es salaam is looking for a Group Legal & Human Resources Manager. Job description Managing the administration of the Human Resources policies and procedures and also...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Japo ' Wanachukiwa ' na wengi ila hadi hivi leo bado sijaona Baba wa ' Promo ' Tanzania nzima kama Clouds Media Group

    Hawa Jamaa kila ' Promo ' yako lazima itakuwa na Kishindo Kikubwa. Hongera sana Kwao Clouds Media Group kwani inaonyesha kuwa wana Vichwa hatari katika Masuala mazima ya ' Promo ' na sishangai Kuona kila Tamasha ambalo huwa wanaliandaa Wao basi ni lazima tu ' Nyomi ' lake litakuwa Kubwa na...
Back
Top Bottom