google

  1. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuthibitisha PIN Google Adsense

    Habari zenu Sina hakika kama hili ni jukwaa sahihi kwa hii mada, lakini Naomba kuiwasilisha humu kwa mwenye kufahamu basi anifahamishe. Nimekuwa nikijihusisha na Blogging kwa miaka 4 sasa na nimepata uzoefu mkubwa sana kuanzia kwenye kutengeneza blog, kuendesha blog na ku-brand. Kufikia mwezi...
  2. beth

    JamiiForums Tanzania Google, Twitter na Facebook zatishia kuacha kutoa huduma Hong Kong

    Kiongozi wa Hong Kong amepuuza onyo na Kampuni kubwa za Teknolojia zikiwemo Google, Facebook na Twitter zilizosema zinaweza kuacha kutoa huduma katika Jiji hilo ikiwa Mamlaka zitaendelea na Sheria mpya ya faragha. Mamlaka zimeainisha mipango ya kupitisha Sheria mpya inayolenga kitendo cha...
  3. racka98

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Google Pixel 4

    Google Pixel 4 panda white in perfect condition. No major scratches or dents. Phone cover included. 4GB RAM. 64GB Internal. 90hz high refresh rate screen. CPU: Qualcomm Snapdragon 855 Android 11 (guaranteed upgrade to Android 12 & 13) Amazing Camera quality. Dual Camera: 12.2MP normal...
  4. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mpesa hawajaweka sytem ya kuweza kulipia kwenye app za google play?

    Nimecheki nimeona wenzetu Kenya, safaricom wanaruhusu hili jambo, tena muda mrefu sana. Hii inarahisisha sana malipo. Si kila mtu ana mastercard au visa card. Kwanini Mpesa na wenzake hawaliangalii hili?
  5. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Ufaransa yaipiga Google faini ya Tsh bilioni 621 kwa kujipendelea katika mfumo wa matangazo ya Kidigitali

    Kampuni ya Google imepigwa faini ya Euro milioni 220, sawa na zaidi ya Tsh. bilioni 621 na kutakiwa kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wake wa matangazo ya mtandaoni nchini Ufaransa. Mamlaka za Ushindani wa Kibiashara nchini Ufaransa zimesema faini ya Google inatokana na kutumia nafasi...
  6. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kutoa google FLP kwenye simu ya android Tecno

    Wakuu kwa anaejua maujanja maana nimeingiza email yangu kama mara nyingi inavyofanyika lakini nikifika mwisho inaandika try again hivyo naomba nipewe njia nyingine ili niweze kutoa flp kwenye hii Tecno.
  7. Living Pablo

    JamiiForums Tanzania Msaada wadau nahisi kuingiliwa kwenye Google account yangu

    Wadau habari za saa hizinatumai wazima wa afya kama kuna mgonjwa augue pole. Niende niende moja kwa moja kwenye mada yangu Ni hivi yaani kila nkiingia kwenye Gmail yangu upande wa social naona sms kibao kutoka Facebook ya mtu mwingine tena kila siku mwanzo nilikuwa nafuta nikiziona lakini now...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa google support customer service

    Wakuu habari zeno, Ninashida na jinsi yakuwasiliana na Google support service nimepoteza keys za Google authenticator nimejalibu kutafuta mawasiliano nao nimeshindw najua umu siatakosa mwanga karibuni. CHIEF MKWAWA
  9. beth

    JamiiForums Tanzania Urusi yatishia kupunguza kasi ya Google

    Urusi imetishia kupunguza kasi ya Google ikiwa itashindwa kufuta kile ambacho Taifa hilo linaita ni maudhui yanayovunja Sheria huku Mamlaka ikitoa saa 24 kwa video zinazohusiana na Dawa za Kulevya na vurugu kuondolewa. Kampuni hiyo pia umeshutumiwa kuminya Mtandao wa YouTube kwa Vyombo vya...
  10. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Sasa unaweza kuifundisha Google Assistant kutamka majina kwenye simu yako

    Kama umekuwa mtumiaji mzuri wa huduma ya Google Assistant, utakuwa unafahamu ni kwa ainsi gani huduma hii ilivyorahisisha utafutaji kwenye simu yako. Ni rahisi kutafuta kuhusu hali ya hewa, matokeo ya mechi, mgahawa ulio jirani, nk., vyote kwa njia rahisi tu ya kuzungumza kwenye simu yako...
  11. Jimido

    JamiiForums Tanzania Computer and google map experts

    Kuna mtu nimempipia simu ikapokelewa lakin hakuongea nikakata simu,baada ya kukata simu ikaingia text inayoonesha. Connected,A,EXPW:ON,[URL="http://maps.google.com/maps?q=-3.379723,36.669060&t=m Nikahisi kuna mtu ametumia google map kufanya tracking ni njia ipi atakayoitumia...
  12. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa jinsi ya kupakua notes zilizo katika mfumo wa google drive

    Mwenye ujuzi anifahamishe tafadhari. Nawasilisha
  13. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Google decomissioned Loon project as poor Kenyans couldn't afford its services

  14. R

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali kufanya back up ya contacts zangu toka kwenye simu kwenda google akaunti

    Simu yangu ni Tecno K9. Nataka kufanya back up ya contacts zangu kwenye google akaunti yangu. Nisaidie nafanyaje. Nimesoma google hainipi ninachokitaka. Please assist.
  15. FWBTZ

    JamiiForums Tanzania Waliopata mafanikio na Adsense, tunaomba ushuhuda na ushauri wenu

    Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January. Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani kwenye habari za Technology kumekuwepo na wimbi kubwa la watu wakisema wanatengeneza pesa nzuri kwa Ads...
  16. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Google yatishia kusitisha huduma zake Australia ikiwa Serikali haitabadili sheria mpya ya malipo ya maudhui, Facebook yafuata mkumbo

    Kampuni ya Google imetishia kufunga huduma zake nchini Australia ikiwa Serikali ya nchi hiyo haitabadili muswada unaoitaka kampuni hiyo kulipia maudhui yanayotoka nchini humo. Mkurugenzi Mtendaji wa huduma za Google Australia, Mel Silva aliiambia kamati ya Senate kuwa hatua hiyo ya serikali...
  17. racka98

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia Google Lens kutambua vitu

    Google Lens ni teknolojia ya kutambua vitu mbali mbali katika picha. Hii inahusisha maneno, tafsiri, wanyama, aina za matunda, aina za miti, picha zilizopo mtandaoni zinazofanana na picha yako, nk. Hii teknolojia ipo kwenye simu nyingi za Android kupitia Camera application, Google Photos app na...
  18. Badmantebwe

    JamiiForums Tanzania Sehemu nne za kunasa wateja mtandaoni 2021

    Hii ni kwa wafanyabiashara,wamiliki wa blogs na wamiliki wa mitandao(tovuti) makala hii inakupa vyanzo vinne vya kupata watembeleaji na wateja mtandaoni na mbinu za kunasa watembeleaji kutoka vyanzo husikia. Vyanzo vyenyewe ni kama vifuatavyo 1. Google search 2. Facebook 3. Youtube 4...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Google yakataa kufunga channel ya YouTube kwa maombi ya Serikali

    Tume ya Mawasiliano ya #Uganda (UCC) iliitaka Google ifunge YouTube Channels 17 ikiwemo Ghetto TV inayomilikiwa na Bobi Wine kwa madai kuwa zilitumika kueneza machafuko yaliyotokea hivi karibuni Google wamesema huwa wanafuata sheria za nchi lakini ni lazima iwe amri ya mahakama. Maombi...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Huduma za Google, kama Gmail na YouTube zimeonekana kusumbua kwa baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania na India

    Mtandao wa TechCrunch umeripoti kuwa huduma zinazotolewa na google kusumbua kwa baadhi ya nchi hasa nchi za Ulaya, Uingereza na India. Huduma za kampuni ya Google kama Gmail na Youtube zimeonekana kutofanya kazi. Hata hivyo imeripotiwa kuwa google wapo katika harakati za kurudisha mtandao huo...
Back
Top Bottom