google

  1. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Korea Kusini: Google na Meta zapigwa faini kwa kuuza taarifa binafsi za watu kwa matangazo

    Serikali ya Korea Kusini imetoza faini ya jumla ya dola milioni 72 dhidi ya Google na Meta kwa kukusanya na kutumia taarifa binafsi kinyume cha sheria. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi iliyo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu iliamua kutoza faini ya bilioni 69.2 na bilioni 30.8 dhidi ya Google na...
  2. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Google inajaribu kuweka mfumo wa kuchuja kelele kwenye calls

    Katika Android 13, kuna kipengele kipya kinaitwa “Clear Calling”. Kipengele hicho kinawezesha kuchuja na kuondoa kelele ambazo zinasikika kwenye calls. Mtumiaji wa Android 13 akiiwasha option hiyo, inaonekana inachuja kelele za background na inasaidia kama mtumiaji akiwa anaongea na simu katika...
  3. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya ku-search kupitia google kwa mtindo huu?

    Habari zenu wataalam Naomba kujua jinsi yakusachi ilikupata taarifa kutoka mtandao mmoja pekee. Mfano: Nataka kusachi neno fulani tuseme "ushonaji". Matokeo nataka yatokee kutoka katika mtandao mmoja pekee. Na sii mchanganyiko mchanganyiko kama ambavyo inatokea mtu akisachi kupitia...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupima kiwanja/shamba kwa google earth.

    1. Kwanza unasearch mji/ mtaa au sehemu kiliko kiwanja. Labda Arusha. 2. Kisha unazoom kukipata hicho kiwanja. Labda kiwanja pembeni na uwanja wa Sheikh Amri Abeid. 3. Unaclick kwenye hiyo alama ya pili toka kulia. Iliyo kama alama ya rula. Itakuletea hako kaduara kama ka kulenga. Utakaweka...
  5. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Andrew Tate, mtu anayetafutwa sana duniani kupitia Google

    Andrew Tate ni kati ya watu wanatajwa sana kwa hivi sasa, bila shaka. Ikiwa hii ni mara yako ya kwanza kusikia kuhusu jamaa huyo, fuatilia hapa. Mtumiaji huyu wa mitandao ya kijamii aliye na kipawa kikubwa cha ufasaha, Mmarekani mwenye asili ya Uingereza mwenye umri wa miaka 35 ambaye anaishi...
  6. D

    JamiiForums Tanzania update mpya za google for bloggers!! asee njooni hapa ni dharula

    wazee wa kazi nimesikia google wanafaya mabresho yao kwenye searching engine algorithm, mwenye kuelewa vizuri hii issuee, maana wanasema wale wanaoblog kachumbari, wanakula ban, wanaopost maelezo yasioeleweka kisa kuvutia watu wanakula ban na mengine mengi tu... nakaribisha hoja
  7. D

    JamiiForums Tanzania google indexing issues

    Wakuu mambo vip? wataalam wa mambo ya blogging na website naomba msaada kwa hizi issue hapa.
  8. Nicolaus Trac

    JamiiForums Tanzania Elon Musk Akana Tuhuma za Kutoka Kimapenzi na Nicole Mke wa Mwanzilishi Wa Google

    Bilionea namba moja duniani, Elon Musk amekana uhusiano wowote na Nicole Shanahan, ambaye ni mke wa mwanzilishi wa Google, Sergey Brin. Kauli ya mmiliki huyo wa kampuni ya magari ya uneme ya Tesla, imekuja baada ya ripoti katika Jarida la Wall Street kieleza kwamba urafiki wa Musk na Brin...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Uchunguzi: Google ina mchezo wa kupuuzia maneno unayoandika na kukupa matokeo ya search zinazo-trend

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata kama haviendani na ulichokitaka. Henk van Ess, ameonesha mfano wa search aliyoifanya ambayo...
  10. Replica

    JamiiForums Tanzania Google yatuhumiwa kuuza taarifa za watumiaji wake kama mitazamo yao ya kisiasa na jinsi wanazopenda

    Google na kampuni nyingine za teknolojia zimeshutumiwa kukiuka kanuni za ulinzi wa taarifa za Ulaya(GDPR) ambapo wanatoa taarifa za watumiaji kwa mamia ya watangazaji. Wadai wamefungua madai hayo kwa mamlaka za Uingereza na Ireland kwa niaba ya Brave na Open Rights Group. Brave inadai...
  11. hyle master

    JamiiForums Tanzania Nawezaje ku-remove Google Deceptive Site ahead

    Habari Wakuu, Kuna mwenye idea ya kuweza kutoa hii kitu my website uki acess via chrome browser / google search engine ina display hio message msaada tafadhali.
  12. mbinda_smartphones

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  13. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Google finalises first phase of mapping Kisumu businesses

    Kisumu County has completed the first phase of mapping and assigning homes, businesses and social amenities in the lake city online addresses. The county carried out the mapping exercise in partnership with Google Plus Codes, which has created a comprehensive system of locating properties to...
  14. beth

    JamiiForums Tanzania Lugha 10 za Afrika zaongezwa Jukwaa la Google Translate

    Google imeongeza Lugha mpya 24 zinazozungumzwa na watu zaidi ya Milioni 300 katika Jukwaa lake la Tafsiri za Lugha 'Google Translate'. Idadi hiyo itafanya Lugha zilizopo ikiwemo Kiswahili kufikia 133 Inaelezwa kuwa kati ya Lugha zinazoongezwa, 10 zinatokea Barani Afrika. Kampuni hiyo imesema...
  15. Kang

    JamiiForums Tanzania Google imeanza kuajiri ofisi yao mpya ya Nairobi

    Mda si mrefu uliopita Google walitangaza kufungua ofisi yao ya kwanza ya product development Africa jijini Nairobi, kazi ndo hizo engineers, UX experts, researchers mnaweza mkakamata! Google to set up first Africa product development centre in Nairobi Build for Everyone - Google Careers
  16. S

    JamiiForums Tanzania Google Doodle wameuweka Mlima Kilimanjaro leo

    Leo kama ilivyokatika miaka yote ni siku ya Dunia. Huwa siku hii inaadhimishwa kwa kujadiliana namna gani tunaweza kuifanya dunia iendelee kuwa sehemu salama ya kuishi. Changamoto zote na namna ya kuzitatua kufuatia mabadiliko ya tabia nchi. Nimefarijika kuona mlima Kilimanjaro leo utafahamiaka...
  17. Influenza

    JamiiForums Tanzania Kenya inatuzidi wapi Tanzania? Baada ya Microsoft na Visa kufungua vituo vyao Nairobi, Google nayo yasema inafungua kituo chake nchini humo

    Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1...
  18. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania App za Mange Kimambi na Yerricko Nyerere zinawezaje kuvuka vikwazo vya google?

    Google wanataka kama una app inayofanya in app purchases, kama kulipia subscription au digital goods zingine basi ni lazima kulipa kulipia kwa google play billing system. Walitoa deadline mwezi wa 9 2021. Hawaruhusu malipo kufanyika nje ya app. Kwenye huu mfumo wao wanakata 30% Huu mfumo siyo...
  19. Flowerpot

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani naweza kulipia developer fee google play console?

    NImejaribu na NMB debit card lakini napata "Your card’s issuer declined this request. Contact your bank or use a different payment method. Learn more [OR-CCSEH-26]". Nimeenda bank wananiambia tayari card imewezeshwa kufanya malipo mtandaoni. NIme-google naona wahindi pia linawasumbua hili...
  20. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Google Adsence Special Thread: Tupeane Maoni, ushauri na Ujanja

    Hello mates kwenye jukwaa hili la Tech, Kwa wale wenye uhitaji wa kujua au kushea ideas Juu ya Google Google Adsence Tukutane hapa. Je, unamiliki Blogu, tovuti au Channel ya YouTube ungependa kujua mengi kuhusu Google Adsence au una Google Adsence account tayari ungependa kushea ushauri au...
Back
Top Bottom