google

  1. Nicolaus Trac

    Elon Musk Akana Tuhuma za Kutoka Kimapenzi na Nicole Mke wa Mwanzilishi Wa Google

    Bilionea namba moja duniani, Elon Musk amekana uhusiano wowote na Nicole Shanahan, ambaye ni mke wa mwanzilishi wa Google, Sergey Brin. Kauli ya mmiliki huyo wa kampuni ya magari ya uneme ya Tesla, imekuja baada ya ripoti katika Jarida la Wall Street kieleza kwamba urafiki wa Musk na Brin...
  2. Analogia Malenga

    Uchunguzi: Google ina mchezo wa kupuuzia maneno unayoandika na kukupa matokeo ya search zinazo-trend

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata kama haviendani na ulichokitaka. Henk van Ess, ameonesha mfano wa search aliyoifanya ambayo...
  3. Replica

    Google yatuhumiwa kuuza taarifa za watumiaji wake kama mitazamo yao ya kisiasa na jinsi wanazopenda

    Google na kampuni nyingine za teknolojia zimeshutumiwa kukiuka kanuni za ulinzi wa taarifa za Ulaya(GDPR) ambapo wanatoa taarifa za watumiaji kwa mamia ya watangazaji. Wadai wamefungua madai hayo kwa mamlaka za Uingereza na Ireland kwa niaba ya Brave na Open Rights Group. Brave inadai...
  4. hyle master

    Nawezaje ku-remove Google Deceptive Site ahead

    Habari Wakuu, Kuna mwenye idea ya kuweza kutoa hii kitu my website uki acess via chrome browser / google search engine ina display hio message msaada tafadhali.
  5. mbinda_smartphones

    Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  6. MK254

    Google finalises first phase of mapping Kisumu businesses

    Kisumu County has completed the first phase of mapping and assigning homes, businesses and social amenities in the lake city online addresses. The county carried out the mapping exercise in partnership with Google Plus Codes, which has created a comprehensive system of locating properties to...
  7. beth

    Lugha 10 za Afrika zaongezwa Jukwaa la Google Translate

    Google imeongeza Lugha mpya 24 zinazozungumzwa na watu zaidi ya Milioni 300 katika Jukwaa lake la Tafsiri za Lugha 'Google Translate'. Idadi hiyo itafanya Lugha zilizopo ikiwemo Kiswahili kufikia 133 Inaelezwa kuwa kati ya Lugha zinazoongezwa, 10 zinatokea Barani Afrika. Kampuni hiyo imesema...
  8. Kang

    Google imeanza kuajiri ofisi yao mpya ya Nairobi

    Mda si mrefu uliopita Google walitangaza kufungua ofisi yao ya kwanza ya product development Africa jijini Nairobi, kazi ndo hizo engineers, UX experts, researchers mnaweza mkakamata! Google to set up first Africa product development centre in Nairobi Build for Everyone - Google Careers
  9. S

    Google Doodle wameuweka Mlima Kilimanjaro leo

    Leo kama ilivyokatika miaka yote ni siku ya Dunia. Huwa siku hii inaadhimishwa kwa kujadiliana namna gani tunaweza kuifanya dunia iendelee kuwa sehemu salama ya kuishi. Changamoto zote na namna ya kuzitatua kufuatia mabadiliko ya tabia nchi. Nimefarijika kuona mlima Kilimanjaro leo utafahamiaka...
  10. Influenza

    Kenya inatuzidi wapi Tanzania? Baada ya Microsoft na Visa kufungua vituo vyao Nairobi, Google nayo yasema inafungua kituo chake nchini humo

    Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1...
  11. Lycaon pictus

    App za Mange Kimambi na Yerricko Nyerere zinawezaje kuvuka vikwazo vya google?

    Google wanataka kama una app inayofanya in app purchases, kama kulipia subscription au digital goods zingine basi ni lazima kulipa kulipia kwa google play billing system. Walitoa deadline mwezi wa 9 2021. Hawaruhusu malipo kufanyika nje ya app. Kwenye huu mfumo wao wanakata 30% Huu mfumo siyo...
  12. Flowerpot

    Jinsi gani naweza kulipia developer fee google play console?

    NImejaribu na NMB debit card lakini napata "Your card’s issuer declined this request. Contact your bank or use a different payment method. Learn more [OR-CCSEH-26]". Nimeenda bank wananiambia tayari card imewezeshwa kufanya malipo mtandaoni. NIme-google naona wahindi pia linawasumbua hili...
  13. Kasomi

    Google Adsence Special Thread: Tupeane Maoni, ushauri na Ujanja

    Hello mates kwenye jukwaa hili la Tech, Kwa wale wenye uhitaji wa kujua au kushea ideas Juu ya Google Google Adsence Tukutane hapa. Je, unamiliki Blogu, tovuti au Channel ya YouTube ungependa kujua mengi kuhusu Google Adsence au una Google Adsence account tayari ungependa kushea ushauri au...
  14. Kasomi

    Share experience yako; kati ya YouTube na Blogu ipi ni nzuri kwa Google Adsence?

    Wakuu salama? Mimi ningependa kufahamu kwa wajuzi kuwa kati ya Blogu au tovuti na YouTube ipi ukiunganiswa na Google Adsence inalipa vizuri? Yaani wapi unaweza earn Pesa kubwa kati ya YouTube na Blogu yaani YouTuber na Blogger nani anaweza faidika zaidi na Matangazo ya Google. Pia unaweza...
  15. X

    Google adsense, search engine optimization and seo trick for beginner in Tanzania

    Wadau nimeona mada nyingi zilianzishwa kwenye jukwaa hili zikihusisha google adsense ila wadau walioanzisha mada hizo hawakuongelea kwa upana kuhusu google adsense pamoja na dependencies zake: kwenye uzi huu naomba mdau kama una shauku ya kuijua vizuri google adsense basi kaa mkao wa kula...
  16. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale Google pixel 3

    Google pixel 3 Gb 128 Ram 4 4k video shot Best camera phones imported from korea used for two weeks 380,000.. In Dar es alaam, kimara mwisho 0713096076
  17. The Sheriff

    Epuka kujitibu mwenyewe kwa taarifa za mtandaoni. Muone mtaalam wa afya kila unapopata dalili mbaya za kiafya

    (Picha: The Sheriff) Umewahi kupata dalili ya afya ambayo haijawahi kutokea hapo awali na ukaanza kujiuliza ni nini kinachoweza kuwa tatizo? Of course, huenda jibu lako ni kama langu pia, "Kabisa!" Sasa basi, inapotokea hivi hatua ya kwanza inayopaswa kufanyika ni kuwasiliana na mtoa huduma wa...
  18. Kichuguu

    Google Map Street View Africa na Tanzania kwa Jumla

    UKwa kutumia google Map unaweza kuona hali hali halisi ya sehemu mbalimbali za dunia na kuzifahamau hata bila kufika. Hii imekuwa pia inasaidia watalii kutembelea sehemu fulani za dunia kujihakikishia wanyaoona huko Google maps. Ukiangalia ramani ya dunia, utaona kuwa Amerika ya Kusini, Amerika...
  19. I

    Hivi vyeti vinavyotolewa online na mashirika kama google na etc vina soko kwa waajiri?

    Kama kichwa cha habari hapo kinavouliza. Je hizi online course zinasaidia kwenye kupata ajira kweli? Maana kama ni skills kweli mtu unajifunza ila je vyeti vinavyopatikana kwa njia hii viko marketable?
  20. E

    Zipo baadhi ya nchi zilizouza maeneo yao

    ukiingia google ukasearch kwa heading List of territory purchased by a sovereign nation from another sovereign nation Utaletewa nchi nyingi sana zimefanya biashara hii na wanakuletea mpaka bei walinunua Mifano michache Louisiana - Marekani ilinunuliwa kutoka France kwa USD 15,000,000 Florida...
Back
Top Bottom