Kampuni ya Google imetoa orodha ya maneno yaliyotafutwa zaidi katika nchi mbalimbali duniani mwaka 2020 ikiwemo Kenya.
Orodha hiyo sio tu imeonesha mwelekeo unaopendelewa zaidi katika miezi 12 iliyopita, bali pia imeweka bayana matukio makubwa zaidi katika habari, siasa, michezo, burudani na...
‘Hi Google, based on everything you know about cars, and based on everything you know about me (including my needs, my habits, my views on global warming, and even my opinions about Middle Eastern politics) – what is the best car for me?’
Kampuni maarufu duniani inayojishulisha na masuala ya TEHAMA ‘Google’ itaanza kulipisha watumiaji wake wa mtandao wao wa kuhifadhi picha mtandaoni (Google Photos) ifikapo Juni 2021.
Mtandao huo ambao upo wazi kwa kila mwenye akaunti ya Google, umekuwa ukitoa huduma ya uhifadhi picha bure huku...
Mara nyingi uwa naweza kuwa nafanya kazi nikasahau kusave nijikuta mara softare imefreeze, nimepoteza kazi kubwa niliyokuwa nimefanya. Ila mara kibao nikiwa nafanya kazi na wenzetu mara nyingi wana prefer tutumie google docs/sheets ili waweze kutrack progress ya kazi. Uzuri ni cloud service...
Just pretend FamiiForums is google and search for anything you wish to know. Someone will definetly reply you in seconds or minute.
Some people are natural encyclopedia or a genius.
Let the enquiry begin.
Call app bora kabisa ya kwenye simu ya Google Phone App sasa inapatikana kwa karibu simu zote za Android kwenye Google Play Store kwa ajili ya kupakuliwa.
Hii Google Phone App ilikua maalum na mahususi kwa ajili ya simu za Google, Pixel ila sasa inaweza kutumika kwa simu nyingine za Android...
Agnes Gathaiya
Agnes Gathaiya has been appointed the new Country Director for East Africa at Google.
Agnes, who boasts a 21-year experience in organizational transformation, focused on developing strategy, will manage the regional operations for East Africa.
She will be responsible for...
Afrika Kusini wanasechi sana ishu za Zimbabwe
Zimbabwe wanawasechi sana Afrika Kusini
Congo wanawasechi sana Nigeria
Tanzania na Uganda tunawafatilia mno majirani zetu Kenya
Burundi wanawasech sana Rwanda
Nikisema nilikua mpizani kindaki ndaki watu mnaona masihara.
Kwanzia leo nitakuwa natupia picha mpaka kampeni ziishe
Hakuna sehem kulikua na mkutano maandamano nikaacha kwenda kwa hapa Dar. Ila Lowassa alituangusha sana mana tulikua tayari kwa lolote.
Picha zote zilipigwa tarehe kama ya...
Kampuni ya GOOGLE upande wa matangazo imesitisha malipo yake ya matangazo yanayopatikana kwenye application za simu (admob) na blog au website (AdSense), Google wamenitumia E-mail kufikia mapema mwa mwaka kesho (2021) watasitisha rasmi malipo kwa njia ya Western Union.
SWALI : Western Union...
Amazon CEO Jeff Bezos, Apple CEO Tim Cook, Facebook CEO Mark Zuckerberg and Sundar Pichai, CEO of Google parent Alphabet, are set to testify before the House Antitrust Subcommittee on Wednesday.
The testimony will give an indication of how the companies are quietly fighting antitrust arguments...
Google na kampuni yake Mama iitwayo Alphabet Inc wameshitakiwa kwa kuingilia kinyume cha utaratibu falagha za mamilioni ya watumiaji wake ambapo wanatakiwa kulipa fidia ya dola bilioni 5 kwa kosa hilo.
Google hadi sasa bado Google hajatoa maelezo yoyote kufuatia tuhuma hizo. inaelezwa kuwa...
Sio maneno yangu ni maneno ya huyu Kaka anaeongea Sana 🙆🙆
Anasema Eti vijana Mapenzi jifunzeni Kwa wakubwa waliowatangulia Umri, sio mnaenda Google au Porn Hub
Ila huyu Kaka anaongea balaa, kiru 🏃🏃🏃
The 21st century is indeed a digital era where people around the globe can sit in the comfort of their homes to access the world with a simple click from their phones.
It's no longer news that there are millions of people around the globe who are into watching adult movies. Unfortunately all...
Habarini wanajukwaa, Mimi ni blogger na nahitaji Msaada wenu mablogers wenzang wenye ujuz zaidi na Google search console. Ninapokea ujumbe unaosema URL is on Google, but has issues Kila ninapofanya URL inspection. Na toka tatzo hili lianze traffic ya blog yangu imeshuka kwa Zaid ya asilimia 50%...
Baadhi ya kampuni za teknolojia na habari zimewaambia watumishi wake kuwa wataendelea kufanyia kazi nyumbani muda wote, makampuni mengine yamepanga kuendelea na kazi katika ofisi zao hivi karibuni
Moja kati ya kampuni litakalofungua ofisi zake ni Google. Mkurugenzi Mtendaji wa Google amesema...
Leo nataka nikujuze kwanini kuna wakati baadhi yetu tuna watuhumu kimakosa JF wana mtu anayetoa siri za watumiaji wake waliojisajiri kumbe hawahusiki .
Unakumbuka wakati flani kuna account ya mwana JF mwenye jina la jamaa mmoja maarufu mtandao wa twitter iliwekwa wazi account yake kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.