A
Anonymous
Guest
Ni ukweli kwamba gharama zinazotajwa ili uweze kuonana na daktari hazijawahi kuwa za daktari na waala daktari hajawahi kuzipokea ila ni gharama ambazo zimewekwa ili kusaidia uendeshaji wa huduma za afya na vitu vingine kwenye kituo husika.
Na kama serikali inamaanisha kuwa ni gharama za kumuona daktari basi ziende moja kwa moja kwa mhusika aweze kunufaika nazo maana kwanza analipa pesa ya leseni kila mwaka halafu pesa inayoitwa ya daktari ni anaikusanya tu lakini hanufaiki nayo.
Kuliko kuleta taharuki kwenye jamii kuwa kumuona daktari ni mpaka pesa ilihali pesa yenyewe hajawahi ipata nashauri yawekwe maneno mengine mfano: MEDICAL FEE (ADA YA TIBA) ili kumtoa daktari kwenye hiyo taharuki ya kuwa anapaswa kulipwa hela ndo uweze kuonana naye.
Na kama serikali inamaanisha kuwa ni gharama za kumuona daktari basi ziende moja kwa moja kwa mhusika aweze kunufaika nazo maana kwanza analipa pesa ya leseni kila mwaka halafu pesa inayoitwa ya daktari ni anaikusanya tu lakini hanufaiki nayo.
Kuliko kuleta taharuki kwenye jamii kuwa kumuona daktari ni mpaka pesa ilihali pesa yenyewe hajawahi ipata nashauri yawekwe maneno mengine mfano: MEDICAL FEE (ADA YA TIBA) ili kumtoa daktari kwenye hiyo taharuki ya kuwa anapaswa kulipwa hela ndo uweze kuonana naye.