Huku gharama za maisha zikizidi kupanda, serikali haramu yaipa serengeti boys Tsh Milioni 500.

Huku gharama za maisha zikizidi kupanda, serikali haramu yaipa serengeti boys Tsh Milioni 500.

Colnell Nangaa

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2025
Posts
537
Reaction score
1,100
Kuna vitu vinasikitisha sana.

Watanzania tulifanya makosa sana kuwaacha hawa manyangau wawe wazima 29 Oktoba. Hakuna wanalojali kuhusu wananchi zaidi ya kujiamulia na kuila nchi yetu tu.

Fikiria, pamoja na gharama za mafuta kupanda kunakopelekea maisha kuwa magumu, hakuna jitihada zozote zinazofanyika kushusha bei ya mafuta na kupunguza gharama za maisha kwetu wananchi wa chini ila inatolewa Milioni 500 kwa ajili ya timu ya mpira ya vijana chini ya miaka 17.

Shime vijana wa Tanzania, tuingieni tena barabarani kuwaambia hawa wapuuzi kuwa tunataka gharama za maisha na bei ya mafuta ipunguzwe kama ambavyo wamefanya vijana wa Kenya.

Haya manyani ya kijani hayatakiwi kuendekezwa kwani yamevimbirwa na kodi zetu sasa yanajiamulia yatakavyo.

Pumbavu zao.
1779577204441.jpg
 
Kuna vitu vinasikitisha sana.

Watanzania tulifanya makosa sana kuwaacha hawa manyangau wawe wazima 29 Oktoba. Hakuna wanalojali kuhusu wananchi zaidi ya kujiamulia na kuila nchi yetu tu.

Fikiria, pamoja na gharama za mafuta kupanda kunakopelekea maisha kuwa magumu, hakuna jitihada zozote zinazofanyika kushusha bei ya mafuta na kupunguza gharama za maisha kwetu wananchi wa chini ila inatolewa Milioni 500 kwa ajili ya timu ya mpira ya vijana chini ya miaka 17.

Shime vijana wa Tanzania, tuingieni tena barabarani kuwaambia hawa wapuuzi kuwa tunataka gharama za maisha na bei ya mafuta ipunguzwe kama ambavyo wamefanya vijana wa Kenya.

Haya manyani ya kijani hayatakiwi kuendekezwa kwani yamevimbirwa na kodi zetu sasa yanajiamulia yatakavyo.

Pumbavu zao.
View attachment 3597308
🤣🤣
 
Hizo milioni 500 zitafyekwa na mafisadi hao vijana wanaweza kuambulia 1/10 ya hiyo pesa.
 
Sijuwi kama hao watoto na kocha,benching la ufundi
Wataambulia kitu hapo 😄

Ova
 
Watapewa pesa zao Vijana wamevuja jasho kwa heshima ya Bendera yetu

Wameitangaza Tanzania kupitia mpira!!!

Wkt CHADEMA wanawanga usiku na mchana
Tanzania itajwe vijaya 😜😜😜

lkn Mungu yupo na Wananchi wa Tanzania milioni 60+

Tunaendelea kupendeza kimataifa
 
Back
Top Bottom