gari

  1. WENYELE

    Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

    Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu. Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri. Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8...
  2. Kipenzi Changu

    Huyu dereva wa gari sio Rais Samia kweli?

    Tafasiri yangu inasema huyu ni Rais Samia. Amechonga barabara inayompeleka shimoni. Naye katika kuendesha gari lake anataka kulitumbukiza gari shimoni.
  3. Amina68

    Nauza gari mtsubishi m4.5

    Aina shida yoyote ile,njoo tuyajenge
  4. Kiume3000

    Nina miaka 43 na nimeshajenga, tatizo ni gari

    Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari. Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu...
  5. Francis fares Maro

    Passo inauzwa

    Passo 2005 YOM 3 piston Engine problems 3.6 millions TSH Makumbusho Dar es salaam +255714908121
  6. R

    Nataka kununua gari kwa mara ya kwanza kutoka Sbt japan. Msaada wa procedures.

    Habari za kazi wanandugu. Kazi iendelee ila irekebishwe kidogo maana tozo na ugaidi vimezidi. Twende kwenye mada. Mimi nina uzoefu kidogo kununua magari kutoka Beforward, kwa mara ya kwnza nilitumia wakala, ya pili nikazama mwenyewe mtandaoni nikachagua ninayotaka process zote za malipo hadi...
  7. L

    Msaada: Gari yangu inashtuka napoachia accelerator na napokanyaga

    Habari Gari inapokuwa kwenye mwendo nikaachia accelerator bila kufunga brake halafu nikikanyaga tena gari inastuka. tatizo ni nini. hali hyo haionekani ikiwa gari inaanzia kwenye kusimama. Asante
  8. mshale21

    Ukiwa na pesa, gari au mtanashati wanawake hawakatai ukiwatongoza

    Sijui Wana tamaa, ukipendeza wanajileta, Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa. Ukimfata na gari hata kama la kuazima, ujue amekwisha huyo. Akikupa namba we tuma salio, mwambie njoo gheto. Mmekutana Leo. Unamuomba namba Leo na anakupa Leo! Wale members wa kiume msiojua kutongoza, Mr Nay...
  9. simon baker

    Natafuta gari ndogo Dar budget 4mil

    Tafathali rejea hapo juu, Binafsi natafuta gari ya mishe za hapa mjini. budget 4mil Namba kuanzia B..japo hata Kama una A unaamin Ina thaman tupia haina shida maana mi fundi ntaikagua mwenyew Vits RS /ist/gx110 ndo huwa mpenz Dondosha picha na namba nichambue
  10. Ndikwega

    Nitajuaje gari inachemsha?

    Habari ya Majukumu humu Ndani. Naomba kusaidiwa hiyo hoja. Je, nitajuaje gari yangu inachemsha? Gari yangu nimeona haya, Je ndiyo Kuchemsha au mwanzo wa Kuchemsha? 1.Maji nikiweka yemejaa Mpaka Juu, nikiwasha gari baada ya muda nikazima nakufungua Radiotor naona maji hayaonekani...
  11. S

    Gari ya push to start kugoma kuwaka

    habari za jioni wakuu, niliazima gari ya rafiki yangu kwenda nayo sehemu flani, wakati wa kuondoka sehemu hiyo nilijaribu sana kukanyaga brake ili ni push the button kuwasha gari ila ikagoma kabisa, Pembeni kulikua na bodaboda wengi nkajaribu kuomba msaada wakaniambia eneo hilo kuna minara...
  12. aka2030

    Kumbe gari ya kampuni?

  13. Pascal_TZA

    Bilionea wa mpunga mkulima aliyeitwa na Bill Gate, gari za kifahari, jumba kiwanda

    Karibu nikukutanishe na mkulima kutoka Jijini Mbeya Rafael Saimon Ndelwa, Mmiliki wa Kampuni ya Rapha Group iliyo Uyole Mkoani hapo. Rapha ni miongoni mwa Mabilionea wa Mkoa wa Mbeya na utajiri wake unatokana na Kilimo cha mpunga, kilimo ambacho kilimfanya Bilionea Bill Gate amuite ili waweze...
  14. Jile79

    TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

    Ni Mjasiriamali maarufu Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikuwa anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro. Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
  15. Lycaon pictus

    Hivi gari la umeme haliwezi kutumia umeme wa jua?

    Eti wakuu. Huku kwenye jua la kutosha, gari ya umeme haiwezi kutumia umeme wa jua? Inatembea na panels za solar juu.
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

    Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha. Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550. Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo. Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo...
  17. Extrovert

    Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

    Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this...
  18. K

    Hivi inakuaje unanunua gari halafu unalifungia kibandani badala ya kulitumia?

    Kuna jamaa yangu amestaafu hivi karibuni. Kanunua Harrier, hajui kuendesha, kuendeshwa Mara moja kwa wiki akienda kanisani, kwenda sokoni kwa mguu! Hivi jamani ni salama kweli hapo?
  19. C

    USHAURI: Kufanya Polish au Waxing kwenye gari

    Msaada kwenye tuta Nina kagari kangu naona rangi kama inafifia ila bado si mbaya sana. Napenda kujuzwa yafuatayo hasa kutoka kwa mtu ambae ameshafanya polishing au waxing kwenye gari yake 1. Polishing na waxing ni kitu kimoja au tofauti, 2. Je, mtu akifanya waxing au polishing kwenye gari...
  20. K

    Je, kuna uimara katika gari iliyofufuliwa?

    Habar wanajamvi, Je, Kutengeneza gari ambayo haijatumika miaka takribani mitano. Kufix injini mpya na vipuri vingine ambavyo ni chakavu..HIYO GARI ITAKUA DURABLE?..haitasumbua kila siku matengenezo? Gari ni range rover 4.6HSE.. Msaada kwa wataalam na wazoefu
Back
Top Bottom