Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,548
- 217,814
Hii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa, ambapo baada ya lori hilo kubwa kupata ajali wananchi wa eneo hilo badala ya kuokoa majeruhi wamejisombea mifuko ya cement, huku wengine wakirejea tena na tena bila kipingamizi chochote.
Chanzo : Millard Ayo TV
MYTAKE : Hivi ndio vitu ambavyo Polisi wanapaswa kuvishughulikia badala ya kupambana kuzuia Jogging za BAWACHA
Pia soma;
Thread 'Mbagala, Dar: Polisi yawanyakua watu 27 Walioiba Saruji kwenye ajali' Mbagala, Dar: Polisi yawanyakua watu 27 Walioiba Saruji kwenye ajali
Chanzo : Millard Ayo TV
MYTAKE : Hivi ndio vitu ambavyo Polisi wanapaswa kuvishughulikia badala ya kupambana kuzuia Jogging za BAWACHA
Pia soma;
Thread 'Mbagala, Dar: Polisi yawanyakua watu 27 Walioiba Saruji kwenye ajali' Mbagala, Dar: Polisi yawanyakua watu 27 Walioiba Saruji kwenye ajali