Mtoto mwenye umri wa miaka minne amenusurika kuumia baada ya kupata ajali ya gari alilokuwa akiendesha mtaani bila ruhusa kutoka kwa wazazi wake Nchini Uholanzi.
Polisi wa Kituo cha Utrecht wamesema mtoto huyo akikwangua gari hilo katika maeneo mawili ya kuegesha magari baada ya hapo akaondoka...
Moja kwa moja kwenye mada.
Ni matukio gani yanatakiwa kusimama wakati wa adhana?
Mwenye kujua Ilmu ya dini vizuri atueleweshe hapa.
Mfano imenikuta barabarani naendesha au hospitali natibu mgonjwa au chooni au rubani niko narusha ndege au vitani Niko front kwenye fire line na adui.
Wekeni neno...
Hii gari haina complications kabisa kwa maelezo ya mtaalamu mmoja mwenye uzoefu wa hii gari kwa miaka mingi.
Anasema hii gari akienda kufanya service ya engine oil. Huwa hahangaiki kuulizia oil gani n.k. anasema ni oil ambayo kwa siku hiyo itapatikana hapo garage ndo itawekwa na kagari wala...
KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU
**************
♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️
***************
🔅VEHICLE DESCRIPTION
Make : TOYOTA
Model ...
bank of tanzania
bmw
canter
dodoma jiji
dualis
gari
hiace
honda
japan
kuagiza
kuagiza gari
landcruiser
mitsubishi
mkopo
music producers
nissan
nissan dualis
premio
series
starlet
subaru
subaru forester
toyota
toyota premio
van
vitz
Wakuu naomba kuuliza Mimi ninaishi Mbeya.
Je, utaratibu upoje kama nataka kutumia gari kutoka Malawi au Zambia ikiwa na usajili wa Malawi, kuna namna ya kulipia iwapo nataka kutumia kwa miezi kadhaa then narudisha.
Msaada tafadhali
Magari ambazo wenzetu hawajawahi kusikia zinakuja Kenya. Grenadier nj British car ambayo inauzwa South Africa pekee sasa itafungua dealership Kenya.
British car Grenadier enters Kenya market
British billionaire Sir James Ratcliffe has entered the Kenyan car market with the appointment of a...
Jamaa yangu alinipitia tuende somewhere kusherehekea sikukuu yetu ya Muunganisho wa Tanganyika na Tangapwani.
Alikuja na gari yake mpya Toyota Rumion mwaka 2008 engine ya 1.8 actually hizi gari huwa naziona tu sikuwahi panda au dhania zingekuwa nzuri.
Ndani mambo si mengi saaaana. Ila imetulia...
Habari,
Juzi kuna mdau kasimamishwa na Traffic police anataka amwandikie fine kisa ubovu wa gari yaani bumper la mbele limeharibika,
Tulikua tunawaza, huu ujasiri wanautoa wapi? Bumper la gari limeharibika kutokana na ubovu wa barabara, kwa nini fine wasitozwe wajenzi wa barabara kwani wao ndo...
Mbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: Nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga
Wanajamvi Salaam.
Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi.
Natanguliza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri.
Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka.
Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa.
Tupigie kwa simu namba 0621 846107 (call/WhatsApp).
Huna haja ya kutembelea taa isiyomulika vizuri kwa...
Wadau kwemaa!
Katika pita pita zangu youtube nimekutana na videoz zinaonyesha uwezo wa colgate kufuta mikwaruzo katika body ya gari
Nikaona nilete hapa JF ilikujua kama je ni kweli ichi kitu kipo applicable?
Wiki hii kumeanza tena ule usumbufu wa kijinga na wa kila mwaka wa kusimamisha watu barabarani ili kuwakagua sticker za wiki ya nenda kwa usalama barabarani.
Sasa kama ilivyo kawaida yetu hapa jukwaani, pakitokea kero basi tunatoa mawazo walau ya kuondoa au kupunguza kero hiyo. Sasa basi...
Kitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi.
Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza.
Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho...
Nikupongeze kwa hatua hii ya kuzindua gari uliyoitengeneza wewe mwenyewe kama ulivyotuaminisha ila naomba basi utusaidie yafuatayo ili utuvutie zaidi kuweza kununua gari yako
1. Je, ukichaji gari ikajaa unaweza kutembea kwa umbali wa kilomita ngapi?
2. Je, vipuri vya gari vikiharibika...
Habari wakuu,
Baada ya kupitia threads kadhaa zilizojaribu kuonyesha gharama halisi za kutoa gari bandarini, nimepata 'mawili-matatu' lakini bado kuna vitu vinanitatiza.
Mchangiaji wa kwanza ameorodhesha;
Shipping lines=150,000
Wharfage =115,000
Port charges =250,000
Plate number =30,000...
Nauza piki piki ya watoto Electric quadbike 4×4
Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v)
Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales)
Inafaa watoto wenye umri miaka 3-10
Price 400,000/=
Kama unahitaji tuwasiliane 0764108259
Tunafanya delivery popote
Mbunge wa jimbo la Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa leo Machi 27, 2022.
Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.