Mkurugenzi wa Halmashauri adaiwa kujiuzia Toyota Hilux mpya ya Halmashauri kwa Tsh Milioni 4

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
13,577
22,515
Soma hapa:-

B33C6595-8FCB-4EC1-A908-DCD6EB49D2BB.jpeg
 
Daaah hii nchi ngumu kila mtu anapiga dili
Hii tabia isipo komeshwa naona vijana wanairidhi kutoka kwa viongoz waliopita

Wakiamin hawatafanywa chochote
Haki ya nani bila kutunga Sheria kali hawa wahuni watachezea sana hii nchi

Tena anatakiwa mmoja awe mfano piga shaba hadharani wahuni hawa mpaka wajifunze mali ya UMMA haiichezewi
 
Daaah hii nchi ngumu kila mtu anapiga dili
Hii tabia isipo komeshwa naona vijana wanairidhi kutoka kwa viongoz waliopita

Wakiamin hawatafanywa chochote
Haki ya nani bila kutunga Sheria kali hawa wahuni watachezea sana hii nchi

Tena anatakiwa mmoja awe mfano piga shaba hadharani wahuni hawa mpaka wajifunze mali ya UMMA haiichezewi
Hebu angalia Hawa walioko serikalini Sasa na umtaje msafi hata mmoja anaeweza kutunga Sheria hio mkuu.
 
Huyu bwana anaitwa Haji Mnasi, rafiki mkubwa wa Waziri Mkuu Majaliwa. Anajifanya chawa sana wa Mama Samia ili kuficha ufisadi wake. Amefanya wizi wa kutisha akiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Ileje.

Bado anatakiwa ashtakiwe kwa wizi aliyofanya katika miradi ya maji na ujenzi wa shule na hospitali!
 
Ukweli ni kwamba wanaopanga bei ya magari chakavu ya serikali wanayouziwa watumishi ni Hazina. Mtumishi hawezi kujipangia bei
Kwa uelewa wangu kuna udanganyifu unafanyika Kwa ofisi yenye Gari wakishirikiana na tamesa kupeleka ripoti ya uongo kuhusu depreciation ya hiyo Gari .
Nakumbuka kuna jamaa yangu akishirikiana na temesa walidanganya ripoti ya Gari Kwa kusema Gari ipo grounded na imepata accident wakatuma hadi picha za Gari kama hiyo ( land rover defender) iliyopinduka haijatengenezwa.
Jamaa wa hazina wakamkadiria hiyo Gari ainunue Kwa sh laki 7 wakati Gari ilikuwa nzima na inatembea
 
Back
Top Bottom