gari

  1. Mafian cartel

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki, Toys na Baiskeli za Watoto zinauzwa

    Nauza piki piki ya watoto Electric quadbike 4×4 Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v) Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales) Inafaa watoto wenye umri miaka 3-10 Price 400,000/= Kama unahitaji tuwasiliane 0764108259 Tunafanya delivery popote
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Masasi Mjini Geofrey Mwambe anusurika kifo akiwa na familia yake. Gari alilokuwa akisafiria lateketea kwa moto

    Mbunge wa jimbo la Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa leo Machi 27, 2022. Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
  3. simplemind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku Baba Moi aliomba lift gari ya mchanga

    Baada ya msafara wake kukwama kwenye tope baba Moi na mawaziri wake walipanda tipper kuendelea na safari.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la Gari Kutetemeka na Kuzima

    Kwema Wakuu, Za Weekend? Gari yangu nilibadilisha Gasket last week, Sasa toka hapo imekua inatetemeka napokua nimesimama kwenye Mataa labda. Pia asubuhi nikiiwasha inawaka na kuzima. Mpaka nirudie rudie mara kadhaa ndio mwishoni litakubali. Yaan nikiwasha linatetemeka na nikitia Gia labda ndo...
  5. Teremaro

    JamiiForums Tanzania Kuhusu gari aina ya Nissan Dualis

    Ndugu wanaJamiiiForums, habari za wakati huu Naomba mwenye kujua kuhusu gari aina ya Nissan Dualis kuanzia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa Spare na changamoto zingine. Na vipi kununua used kwa mtu maana nyingi zinauzwa sana mtaani. Je, zinakuwa kuna changamoto inayopelekea hizi gari kuuzwa...
  6. BigTall

    JamiiForums Tanzania Staa wa Bongo Muvi, Pastor Myamba apata ajali ya gari

    Emmanuel Myamba almaarufu Pastor Myamba; ni staa mkongwe wa Bongo Movies ambaye alikuwa muigizaji mwenza katika filamu nyingi za marehemu Steven Kanumba. Pastor Myamba amedhibitisha kupata ajali mbaya wikiendi iliyopita ila wakapona bila majeraha mabaya. Pastor Myamba ambaye wengi wanamfahamu...
  7. dalalimhenga

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari inauzwa

    Gari imenyoka haina tatizo lolote. Bei Milioni 4 Lilipo dar es salaam. Call 0742141467 au 0686648630
  8. nnaleke3

    JamiiForums Tanzania Je hili ni tatizo kwa injini ya gari yangu?

    Habari za weekend wakubwa,,,moja kwa moja niende ktk mada hapo juu Mimi ni mgeni kidogo ktk kumiliki vyombo vya moto yaani gari,kwa hiyo ningeomba kujuzwa juu ya hali ninayoiona kila siku asubuhi pindi ninapowasha hiyo gari Natumia gari aina ya chaser GX100 ila kila siku asubuhi nikiwasha gari...
  9. 666 chata

    JamiiForums Tanzania Namna nilivyonusurika kufa kwenye ajali ya gari, Bongo unakufa huku unajiona

    Kwema wadau? Mwaka huu mwanzoni nikiwa nimetoka kusheherekea sikukuu ya mwaka mpya na nikiwa nimefanya maombi ya mipango yangu mingi kwa mwaka huu na kumsihi sana Mungu wangu aliye hai anijalie afya, uhai, furaha na amani tu mengine nayaweza hayanisumbui kabisa, basi sikuwa najua siku chache...
  10. JituMirabaMinne

    JamiiForums Tanzania Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

    Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE] AZ engines[1AZ, 2AZ] na ZZ engines [1ZZ sanasana] Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu...
  11. Waziri wa madini

    JamiiForums Tanzania Tupeane uzoefu: Siku yako ya kwanza kununua gari ilikuwaje?

    Wana jf ushamba mzigo mwenzenu Msukuma Mimi wa Maganzo siku ya kwanza kununua gari langu binafsi nlikuwa nachungulia nje kila wakati Yani usingizi hauji naangalia crown yangu(ndege ya ardhini). Mtaani misele walikoma nlipita mitaa ya ma x zangu wote sinza, keko,buguruni kwamnyamani hadi...
  12. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Nataka kubadili Tairi kwenye gari la Toyota IST Size 195/60R16 kwenda size kubwa inayofaa

    Wakuu nina Toyota IST nataka nibadilishe tairi kitoka 195/60R16 kwenda kwenye size kubwa kidogo ambayo itafiti kwenye gari. Nimeona baadhi ya IST wameweka tairi ya size tofauti na zinazokuja nazo zinapendeza sana. Ni size gani itafaa? Sitaki tairi za Kichina.
  13. Ederra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

    Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu. "Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha. "Haina shida." Nikajibu. "Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza. Nikamjibu...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kuzindika gari

    Samahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako? Maana nasikiaga watu wanaongea ongea kuwa barabara ina malue lue mengi kwa hiyo unatakiwa kuzindika vyombo vya moto
  15. K

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari aina ya Nissan linauzwa

    Gari aina ya Nissan spirit type two (2), serious buyers only, gari nzima na inatembea bei ni 8 Millions, Kwa maelezo zaidi piga 0757340880
  16. Kichwamoto

    JamiiForums Tanzania Usiogope tambua heshima Pesa ionekane kwenye wallet yako: Fuatilia mkasa wote

    Habari JF family! Gawiza? Story hii inamixer zote uwe mvumilivu. Way back mwaka 2012-2013, hii miaka sikuwa na gari kabisa ila already nilikuwa na viwanja si haba kimara bonyokwa 40x50, Mapinga bagamoyo eka moja na nusu eka, Mpiji magoe sio mbali na Dr. Mvungi R.I.P mwamba, eka moja, CCM chama...
  17. Nkoka

    JamiiForums Tanzania Uber driver natafuta gari

    Mimi ni dereva nina uzoefu mkubwa wa kutosha natafuta gari nifanyie kazi ya Uber/bolt Gari ndogo. Hesabu au mkataba vyote sawa Kwa yeyote Alie nayo Napatikana Temeke Mawasiliano: 0717285828
  18. Wa kusoma

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

    Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk. Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani...
  19. NYUNDO YA MOTO

    JamiiForums Tanzania HOT THREAD: (wamaliza visaani)tutume picha au video fupi zinazoonyesha umefikisha speed ya gari mpaka mwisho

  20. kufaana

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza gari aina ya IST

    Manufacturer: TOYOTA Model: IST Year - 2002 Engine Size: CC 1490 Mileage: 154991 Transmission: Automatic Colour: Grey Fuel: Petrol PRICE / BEI: Tsh.8.8 Mil ( Milioni 8 na laki 8 ) MAWASILIANO : ᴄᴀʟʟ ı ᴡʜᴀᴛsᴀᴘᴘ ı ѕмѕ: +255658090789
Back
Top Bottom