gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikiweka ''lamination'' kwenye cheti changu ?

    Moja kwa moja.. Siku za nyuma nilienda Veta kuchukua cheti changu , niliistaajabu baada ya kupewa yule Dada aliyenipa aliniambia nisiweke lamination bila kuniambia sababu. Naomba kujua wajuzi je , ipi inawezekana kuwa sababu ya kuniambia hivyo na je , Kuna madhara yeyote niliweka ? maana...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Sina cha kuandika JF msaada nihudhurie shule gani?

    Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani? 1. SHULE YA BUNGE 2. SHULE YA MAHAKAMA 3. SHULE YA MTAANI 4. SHULE YA JAMII 5. SHULE YA MUZIKI 6. SHULE YA RANGI
  3. S

    JamiiForums Tanzania Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani?

    Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani? 1. SHULE YA BUNGE 2. SHULE YA MAHAKAMA 3. SHULE YA MTAANI 4. SHULE YA JAMII 5. SHULE YA MUZIKI 6. SHULE YA RANGI
  4. JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada, hii ndoto ina maana gani?

    Wakuu salaam! Naota nakutana sana na huyu rafiki yangu aliyefariki mwaka 2018 ,si mara moja Wala mara mbili ni mara ya nne sasa na yote ni huu mwaka tu. Naota shule imefungua tumekutana tena namuuliza 'mbona ulikua hunitafuti likizo ? na yeye aniuliza mbona na wewe ulikua hunitafuti?' basi...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una muda gani mpaka sasa?

    Una mda gani kikojolea chako hakijakutana na kikojoleo chenzie Siku moja? Wiki moja? mwezi mmoja? Mwaka mmoja ? Siku ukipewa unapewa yote au unapewa nusu nusu [unapunjwa🤪] au hakijawahi kutumika kabisa? Kazi yake ni kupitisha haja ndogo tu? Hata mambo yaende kombo vipi tusiache kulombana🍑🍆😋
  6. JamiiForums Tanzania Kuna tatizo gani TANESCO? Nchi nzima umeme umekatika

    Mbona hamtoi taarifa? Megawati 2000 na ushee za ziada Alafu mnakata umeme ?
  7. JamiiForums Tanzania Unapenda kuvaa Kofia? Style gani Unayoipendelea?

    Kofia kama accessory, wanaume kwa wanawake wanavaa. Nyingi ni unisex. Me napenda sana cap, kichwa kama boga lakini still napenda sana. Challenge kubwa ni joto, jasho linajaa sana nikiwa misele Dar. Kuna hizi za kibabe kama Peaky Blinders ila ukivaa unaonekana dalali, wanavaaga watoto wa...
  8. JamiiForums Tanzania Fun fact: Watanzania wengi hawajui 'Dam' ni kitu gani

    Watanzania wengi wanadhani kiswahili cha neno Dam ni bwawa. Wakisikia Mtera Dam basi wanajua kuwa kiswahili chake ni bwawa la Mtera. Ukweli ni kuwa dam ni ule ukuta unaojengwa kuzuia maji. Baadhi ya tafsiri za kiswahili zinaita ukuta huo Lambo. Huo ukuta hapo juu ndiyo unaitwa dam. Sehemu...
  9. JamiiForums Tanzania Ni wakati gani hasa utakua muafaka zaidi kwa Joseph Selasini kuanza kupewa heshima na kutambuliwa kama mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa?

    Tusibiri vikao vya Chama vya kumsimika rasmi au tusibiri mapinduzi tukufu halafu tukutane mahakamani? Kuna haja ya kukumbushana kidogo juu ya katiba ya chadema kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa taifa au baada ya nafasi kujazwa? haiwezekani mtu awekeze pesa, muda wake meingi na maisha yake yote...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Kwa waliomsikia Godbless Lema akihutubia mkutano wa hadhara mkoani Dodoma leo hii, bila shaka watakubaliana na mimi kwa jinsi Lema alivyomshukia Mwigulu kwa kauli yake kuhusu watu kutekwa kuwa ni michezo. Binafsi, siamini kama Mwigulu anaweza kusikiliza hiyo clip mpaka mwisho na akabaki sawa...
  11. JamiiForums Tanzania Best option yangu kwenye odds 1.3+ ni First Goal Scoring By Kicking, hainiangushi sana , Je wewe ni special option gani imekuchomesha sana.

    Watu wengi kwenye betting wanaogopa odds kubwa lakini ukweli ni kwamba kuna baadhi ya special options zina odds ndogo kabisa kama 1.2–1.4 ila ndio zina mitego ya ajabu sana Zinaonekana rahisi mbele ya macho lakini football ni mchezo wa matukio yasiyotabirika. Unaweza ukaona option “hii lazima...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wadada ni nguo gani ya mpenzi wako unapenda kuivaa?

    Moja ya kitu wanapenda kufanya wanawake wengi ni kuvaa nguo za wenza zao, moja ya nguo huvaliwa zaidi ni Tisheti, japo wapo wanaokwenda mbali zaidi na kuvaa boksa, vesti, soksi, suruali nk ili mradi tu ajisikie raha kuwa amevaa ngo ya mtu anayempenda. Japo wapo baadhi ya Wanaume hawapendi nguo...
  13. JamiiForums Tanzania Namna gani tunaweza kumpata Rachel Dangwa ili ashtakiwe?

    Habari za hasubuhi? Huyu binti anaitwa Rachel dangwa anatakiwa apatikane na arejeshwe nchini ashitakiwe. Sote tunaona nchi yetu kwa sasa inavyoendeshwa ,Maisha ni magumu ,Wananchi hasa wa hali ya chini wamekosa kabisa msaada ,Matajiri wanajimilikisha maeneo ,Vitu vimepanda bei na mambo mengi...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kitu gani umejaribu kuacha umeshindwa kabisa

    Wakuu kutekwa sasa basi kila mtu ajilinde anavyojua tutakwishaaaaa..... Hivi ni vitu nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa 1. Kutosalimia salimia watu 2. Kutongoza mwanamke akizingua mara moja tu sihangaiki naye tena. 3. Kutamani na kuwala wake za watu 4. Kupenda sn muziki nipo tayari...
  15. JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Habarini ndugu. Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri . Natanguliza shukran.
  16. JamiiForums Tanzania Tufurahi kidogo:Je una historia gani na kuberi?

    Leo tufurahi kidogo ndugu zanguni wa JF ,em tupia kisa chako ulichowahi kukumbana nacho au kushuhudia hata kwa rafiki yako kutokana na matumizi ya kuberi 😂.
  17. JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Habarini wakuu Katika Harakati za hapa na pale nimepata milion 3 nifanye biashara gani?ili niweze kupata Kwa siku faida ata 30k.
  18. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Salaam wakuu Mtu wangu wa karibu (ke) ana changamoto ya kutokwa na vitundu vidogo vidogo (pores) kama inavoonekana hapo kwenye picha...hiyo ni sehemu ya uso shavuni Akivikamua/akiviminya izo pores zinatoa kitu kama mafuta mgando mweupe Anaomba ushauri kwa wataalam wa ngozi na wengine waliowahi...
  19. JamiiForums Tanzania Hivi nitumie dawa gani?

    Oya nye watu mliopo humu... Jana kuna demu nimemzingua kisa kasema sura yangu imeharibika. Hebu mnambie nitumie dawa gani ili niondoe chunusi huku usoni.
  20. JamiiForums Tanzania Methali gani unaona imepitwa na wakati?

    Methali gani unaona imepitwa na wakati na ipi ilikuwa mbele ya muda yaani inafaa hata sasa? Mfano mie naona aliye Juu mngoje chini kama imepitwa na wakati maana asiposhuka itakula kwako,
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…