fursa

  1. Pdidy

    Watu wanajua kutumia fursa ukifika afrikana kama unashuka juliana kutana na pacome liquer, pacome design

    Mji mtamu huuuu Nasema kama sio pacomw of Basi mhusika congs nimependa sana kuina hilii Ukifika afrikana shuka ukienda juliana club Unakuta kushoto duka la vinywaji la Pacome Na mambo ya design.... B blsd mmiliki
  2. M

    USIKURUPUKIE SITI ILIYOKO WAZI UKAJUA NI FURSA YA KUKAA JUA KWANZA KWANINI IKO WAZI ILIHALI KUNA WATU WAMESIMAMA NA WANAIONA

    Yawezekana kweli hawataki kuikailia ila pia yawezekana yenyewe ndio haitaki kukaliwa hivyo ukiona siti iko wazi usikurupukie . Mganga anakwambia atakupa utajiri wa mabilioni jiulize kwanza kwanini yeye hayataki hayo mabilioni na kwanini ndugu zake hajawapa hayo mabilioni ikiwa yeye hayataki je...
  3. youngkato

    Fursa za Uwekezaji Zinazoibuliwa na Takwimu za Mauzo ya Nje ya Mazao ya Kilimo Tanzania (2023/24)

    Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Kilimo Tanzania Mei 22, 2025, zinaonyesha mwelekeo muhimu wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2023/24. Kwa ujumla, mazao ya kilimo yamechangia zaidi ya trilioni 2 katika mapato ya kigeni, yakionyesha ukuaji thabiti wa sekta hii na kutoa mwanga...
  4. Pascal Mayalla

    Policy Forum Breakfast Debate: Bomba la Mafuta la Uganda, EACOP,Ndio Mradi Mkubwa Kuliko yote Tanzania kwa Sana, Una Fursa Kibao!, WaTZ Tuuchangamkie

    Wanabodi, Leo niko hapa Four Points by Sheraton, Dar es Salaam, kuwaletea live mjadala wa hili Bomba la mafuta la Uganda, ambao ukiondoa mradi wa LNG ambao bado haujaanza, huu ndio mradi mkubwa Tanzania wa uwekezaji kuliko miradi yote wenye fursa kibao kwa Watanzania...
  5. jannelle

    Bunge linamalizika, je Samani huwa zinabadilishwa, naona fursa ya Viti vile😌

    Mwenzenu nawaza fursa tu, si unajua pesa ya kutegemea mbaya.. haya tuachane na hiyo😊 Bunge hiloo linaenda zake, je huwa wanautaratibu wa kutoa zile Samani zake? Maana ni almost 5 years nadhani wanatumia, kama wanauza tupeni network jamani tukapambanie, hata pcs 100 tu. Kwanza tunapunguza nuksi...
  6. Prof_Adventure_guide

    Nikupeana fursa tunazoona zinatufaa na zitatupeleka jwenye njia ya mafanikio

    📦🌸 Fursa ya Biashara kwa Wauzaji wa Sanitary Pads – “Fly Free” kutoka China! 🌸📦 Tunawaletea bidhaa mpya ya sanitary pads za ubora wa hali ya juu zinazofahamika kwa jina la Fly Free, zikiwa na teknolojia ya kisasa na viwango vya kimataifa. Kwa bei ya jumla ya Tsh 500 tu kwa pakiti, hii ni bidhaa...
  7. Ojuolegbha

    Waziri kombo awasisitiza diaspora kuchangamkia fursa

    WAZIRI KOMBO AWASISITIZA DIASPORA KUCHANGAMKIA FURSA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasisitiza Watanzania waishio nchini China (Dispora) kuchangamkia fursa ikiwa ni pamoja na kuongeza mauzo ya bidhaa na huduma za Tanzania...
  8. ELI COHEN

    USHAURI: Dogo kawa offered kazi private mshahara tsh 650,000. Ana degree kamaliza chuo mwaka jana. Vp achukue hio fursa au mshahara unafinya?

    Kwa sasa amejishikiza sehemu kam intern wanamlipa 300,000 Degree yake ni ya finance/banking
  9. Webabu

    Hamas watumia fursa ya vita vya Israel na Iran kuwakimbiza askari wa IDF huko kusini mwa Gaza

    Wapiganaji wa Hamas ambao kwa sasa wanapigana kwa mbinu mbadala baada ya viongozi wao wakuu kuuliwa wameonekana kuja juu katika wiki kadhaa zilizopita na kufanikiwa kuwauwa askari kadhaa wa Israel hasa maeneo ya kusini mwa jimbo la Gaza. Katika matukio ya hivi karibuni ni kuwakimbiza askari wa...
  10. Samia atosha tukutane2030

    Kumbe ukiishi kijijini unafikiri waliopo mjini wametoboa. Vijana njoeni mjini tugombanie fursa

    Watu wa kijijini au wilayani zaidi ya 4 nimekosana nao kwasababu ya issue za pesa. Mtu wa kijijini unaweza kumuahidi may be Jumatatu takutumia. Utatumia kauli zile ambazo possibility yake si 100% lakini yeye Jumatatu mapema anakutext akitarajia pesa. Hivi mtu unashindwa kufikiri kama...
  11. kiredio Jr

    Nahitaji Msaada: Kuunganishwa na Fursa za Kazi za Kusafiri na Mabasi ya Mikoani

    .
  12. Prof_Adventure_guide

    Hii ni kwaajili ya Watanzania wote waliopo, hii ni fursa ya kipekee, maelezo yote yapo kwenye Tangazo

    🗻✨ Unasikia wito wa Uhuru Peak? ✨🗻 Safari ya maisha yako inakusubiri… Mlima Kilimanjaro kwa siku 6 tu! Kwa gharama ya Tsh 900,000 tu, Mtanzania unapata nafasi ya: ✅ Kupanda mlima mrefu zaidi Afrika 🌍 ✅ Kuweka historia yako mwenyewe 📸 ✅ Kukutana na marafiki wapya wa roho ya adventure 🤝 ✅ Kuonja...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Fursa hazidumu; Wewe ni Asset! Jitumie!

    FURSA HAZIDUMU; WEWE NI ASSET. JITUMIE! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Wahenga walisema, liwezekanalo Leo lisingoje Kesho. Wahenga hao! Wakaendelea kusema bahati haiji mara mbili! Unaona mambo hayo! Neno bahati huweza kutafsiriwa kama nafasi au fursa ya kipekee. Katika mapigano yoyote...
  14. Dr leader

    Fursa kwa wenye mchele

    Fursa kwa Wenye Mchele Una mchele lakini huna soko la kuuza? Au labda una mchele uliopata hitilafu kidogo na hujui wapi pa kuupeleka? Usihangaike tena! Tunakaribisha wakulima, wauzaji, na wasambazaji wa mchele — hata ule usio na soko kwa sasa. Tunatoa fursa salama na ya uhakika kuuza mchele...
  15. Fateema

    Kama unafanana kimuonekano na celebrities wafuatao, fursa hiyo hapo chini.

    Maduskodusko Entertainment( Dar Es Salaam, Tanzania) ni kampuni inayo jihusisha na uzalishaji wa maudhui ya mtandaoni. Kampuni ina tayarisha documentary kuhusu kitabu kinacho itwa " SPIRITUAL ASPECT OF THE SONG HIT EM UP" ambayo itaanza kurushwa kupitia You Tube kuanzia tarehe 16 June 2025...
  16. W

    Tanzania yanadi fursa za uwekezaji mnyororo wa madini muhimu London

    Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha maendeleo ya Sekta ya Madini barani Afrika, kwa kuelezea mikakati madhubuti ya kuendeleza madini muhimu na mkakati yanayopatikana nchini. Hayo yalielezwa Mei 20, 2025 na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo wakati akihutubia...
  17. Tanzanian kid

    “Je, AI ni tishio au fursa kwa ajira za vijana barani Afrika?”

    "AI (Artificial Intelligence) inachukua nafasi kubwa duniani – kutoka kwenye kazi za uandishi hadi huduma kwa wateja. Lakini je, kwa Afrika na hasa kwa vijana wetu, hii ni FURSA au TISHIO kwa AJIRA?" Kuna wanaosema AI inasaidia kurahisisha kazi, kuongeza tija na kuleta fursa mpya… Lakini wapo...
  18. Brain Kingdom

    Tunamuombea Ambaye alisema Yupo mpaka Yesu atakaporudi apate fursa ya kwenda kumsalimia kukidhi matarajio yake

    Maombi rasmi ni kwamba aendelee na dharau na kufuru wao wapo hadi siku ya ujio wa Yesu kristo.
  19. ELI COHEN

    Maisha ni tight sana watu wangu! Kama una fursa inayokupendelea angalau kwa kidogo ishikilie kwa nguvu zote na kwa unyenyekevu

    Sio kwamba ni wavivu, wajinga au sio wajanja, ni basi tu fursa kama yako haijawafikia.
  20. Just Pray

    Fursa: Wanahitajika madereva 800 watanzania nchini Qatar

    Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, kwa kushirikiana na Mawakala mbalimbali wakiwemo kampuni tanzu ya Mkapa Foundation (Imara Horizon), Connect General Supplies Co. Ltd, Sassy Solutions Co. Ltd, pamoja na Larali Global Solutions, inawatangazia Watanzania wenye sifa kutuma...
Back
Top Bottom