Rais Dk. Samia afungua
fursa kwa vijana EACOP
Na Mwandishi Wetu, Geita
Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imezidi kuwajali vijana, baada ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko kuzindua Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana (YEE), ambao unagusa maeneo...