filamu

  1. Titicomb

    Kelele na hofu kubwa ya COVID-19 ni filamu ya Mission Impossible 2 (2000) kwa vitendo?

    Are the Pharmaceutical industries running the show? Hii kelele na hofu kubwa ya COVID-19 ni kama filamu la Mission Impossible 2 (2000) kwa vitendo?. Mataifa yote duniani tuna chezeshwa mchezo kama wa kampuni ya kusadikika iitwayo Biocyte Pharmaceuticals wa kutengeneza Chimera Virus na tiba...
  2. Analogia Malenga

    Unaikumbuka filamu gani iliyokaribia kukutoa machozi

    Waandishi wa filamu walikuwa na vionjo vyao katika maisha ya mateso ambayo mtazamaji anaweza jikuta anamwaga machozi wakati anaangalia filamu. Hali hii ilikuwepo hata Tanzania kipindi filamu zinafanya vizuri kuliko sasa, filamu kama Dunia Hadaa, Safari, nk zilikuwa na vionjo vya kuteka hisia za...
  3. Influenza

    TANZIA Muigizaji wa Kihindi aliyeigiza filamu ya Slumdog Millionaire, Irrfan Khan afariki dunia

    Muigizaji huyo maarufu kutoka tasnia ya filamu za Kihindi (Bollywood) aliyetamba katika filamu za 'Slumdog Millionaire' na 'Jurassic World' amefariki mapema leo akiwa na miaka 53 Alikuwa muigizaji anayependwa na kuheshimika sana, wengi wakisema ni mwigizaji wenye kipaji kikubwa. Mwongoza filamu...
  4. Analogia Malenga

    Slumdog Millionaire: Filamu ya kihindi inayoonyesha maisha ya masikini wa India

    Ni filamu ya kihindi iliyotengenezwa mwaka 2008 inayoonyesha maisha ya kijana aliyekulia mtaani na kuwa tajiri kwa bahati tu Filamu ilianza kwa kumuonyesha muhusika Jamal, akiwa kwenye kipindi cha ‘who wants to be a millionaire’ kipindi kilikuwa kinauliza maswali mengi tofauti na atakaye patia...
  5. Good Guy

    Tanzanian made clean animations

    Hello wana Tech wote out there!! Below is a 2D animation i've been working with for sometime! Lakini I RAN INTO MAJOR PROBLEM, software ilicrush violently nlipokua na save project!! The whole project is now destroyed, nimejaribu my best ku recover na nimepata most of it ila hii scene nimepata ni...
  6. Askarimtu

    Filamu zetu zifikie kiwango cha juu Kimataifa

    Nimechoka sana na nasikia aibu jumlisha wivu , kuangalia filamu za wenzetu zikiendelea kukosha nyoyo zetu hasa kipindi hiki cha Mzee barakoa. Inabidi watu waibuke wasapoti kazi za sanaa yetu kama tulivofanikiwa katika nyanja ya uongozi bora (nitabishiwa hapa), vipaji kichwani (kiakili), na sasa...
  7. Johnny Sins

    Filamu ya DONT BREATHE

    Ni Rock, Alex, na Money. Wanaishi kwa kutumia wizi. Wwanavunja usiku na kuingia kwenye nyumba watayoona inafaa na kuchukua kila kinachowafaa, wanaishi hivo. Walipopata taarifa kutoka kwa mtu anaewapa dili za nyumba za kwenda kuiba,aliwaelekeza kuhusu dola laki tatu,alizopewa mzee mmoja kama...
  8. Johnny Sins

    Filamu ya COUNTDOWN

    Kifo? Ndio, ipo app kwenye simu kwa ajili hiyo. Ilianza kama utani, baada ya kujua kuna application inayotabiri binadamu umebakiza muda gani wa kuishi duniani. Marafiki wakaamua kuitumia kama mchezo ili ataebakiza muda mchache awanunulie wenzie pombe, hawakujua. Walivotaka iwe mchezo na uishie...
  9. Johnny Sins

    Uchambuzi wa filamu ya Bhoom

    .Ndio roho yake...kila kitu chake..furaha yake imelala kwenye mikono ya binti yake..hakuna anachopenda hapa duniani kuliko kumona mwanae akiwa anacheka...ni kama waliungana mwili,akaipa maana ile kauli kuwa binti jasiri rafiki yake baba...wakaishi hivo... ...Uzuri wake ulisababisha apate mtu wa...
  10. Johnny Sins

    Filamu ya DETECTIVE

    Kwenye nyumba moja ya familia inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu panatokea mauaji ya kutisha na familia kuchomwa moto uliotokana na umeme, kwanini? Muda hayo yanatokea upande mwingine kuna mtu anachinjwa hadharani na watu wasiojulikana,mbele ya umati wa watu,akiwa na begi mkononi, kwanini...
  11. Johnny Sins

    Filamu ya BLOODSHOT

    U.S Marine Ray Garrison anapoamua kwenda mapumzikoni baada ya kumaliza mission ya ukombozi jijini Mombasa. Watu wanaohitaji maelezo ya kijasusi kuhusu mission ile wanakatisha vacation yake na kuamua kumsurubisha mkewe mbele ya macho yake. Hata alipoamua kuwaambia ukweli kuwa hana analojua...
  12. Johnny Sins

    Uchambuzi wa filamu ya Commuter

    Ni ratiba yake ya kila siku..kupanda treni ya jamii,kutoka nyumbani kwenda kazini na kurudi ni hivo hivo,alishazoea,ndo maisha yake ndani ya miaka 10.. ...Alishawajua kwa majina na sura abiria wenzie wazoefu..ni maisha nje ya treni na ndani ya treni alijiona yuko nyumbani...mpaka ilipokuja siku...
  13. Johnny Sins

    Uchambuzi wa filamu ya Cube

    Haikuwa bahati mbaya...wala sio ajali kwao...ilitokea kama wamelala na ikatokea wameamka tofauti na walipolala..ni rahisi hivo tu..wakajikuta wapo kwenye chumba kimoja,chenye vyumba vingi..ni complete cube... ......Engineer designer wa majengo..daktari anaeujua nje ndani mwili wa...
  14. Johnny Sins

    Filamu ya Read or Not

    Walimaliza kupendana kwa simu, wakawashirikisha wazee mapenzi yao. Kupanga tarehe haikuwa kazi, misingi ya harusi ikaandaliwa, ioni moja tulivu wawili hawa wakafunga ndoa, ikawa rahisi tu. Grace msichana asieamini kwenye pesa aliwekeza moyo wake kwenye mapenzi zaidi. Alimpenda kijana wa nyumba...
  15. cantona55

    Jinsi ya kuandika miswada ya filamu (Script) ya filamu

    Unapoandika mswada [script] kuna vitu vitatu vya msingi kuzingatia: • Muhusika (character) • Muundo (plot) • Dhamira (theme) 1. TUKIMZUNGUMZIE MUHUSIKA KWANZA Mswada wa filamu una sehemu kuu nne ambazo kila mwandishi lazima azipitie ili mswada wake uwe nzuri, kwanza kabisa ni hadithi yenyewe...
  16. H

    Kwenye filamu za fight hakuna kama Scott Adkins

    Kiukwel kwenye filamu za kizungu sijaona mtu anayetisha Kama Scott Adkins kwenye mapigano.Huyu jamaa namkubali ile mbaya, ukitaka kumjua vizuri mwangalie kwenye avengement, incident man.Ninja: shadow of a tear na nyingine nyingi.
  17. Analogia Malenga

    Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia

    Muigizaji wa kike aliyekuwa mmoja wa wahusika katika filamu ya Queen of Katwe, iliyoangazia mtu mwerevu kutoka maeneo ya makazi duni ya Uganda, aliekuwa anacheza chess, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 15, kulingana na chombo cha habari cha Uganda. Nikita Pearl Waligwa alikuwa amepatikana na...
  18. Makanyaga

    Filamu za kutangaza utalii wa Tanzania kuonyeshwa kwenye ndege 300 duniani

    Dar es Salaam.Balozi wa Indonesia nchini Malaysia, Rusdi Kirana amekubali kuonyesha filamu za kutangaza za utalii wa Tanzania kwenye ndege 300 zinazofanya safari kwenye zaidi ya nchi 50 duniani. Balozi Kirana ambaye pia ni mfanyabiashara mkubwa anayemiliki mashirika ya ndege ya Lions Group...
  19. Chachasteven

    Uchambuzi wa filamu ya You Again

    You again (2019). Cast: Mimi mars, Nick Mutuma, Amalie Chopetta, Moriss Mwangi, na wengine wengi. Director: Nick Mutuma & Natasha Likiman Uchambuzi: Hizi ni moja kati ya zile wanaita romantic comedy movies. Zina u serious f'lani hivi lakini lazima zikuache mbavu zikiwa hoi na mafundisho juu...
  20. Sky Eclat

    Elizabeth Michael (Lulu) abeba ujauzito wa Majizzo

    ELIZEBERT MICHAEL (LULU) ABEBA UJAUZITO WA MAJIZO Mwigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Elizebert Michael ambaye pia ni maarufu kwa jina la Lulu hatimaye ni mjamzito na hivi karibuni atajifungua mtoto wake wa kwanza. Lulu ametumia ukurasa wake wa Instagram kupost picha hiyo kitu ambacho kila mtu...
Back
Top Bottom