Hahahahaha!Sawa mkuu,unatak kusema safari hi mnasajili wakali zaidi ya Molinga?
Hivi Utopolo ndiyo Yanga?Kwani utopolo inasajil ili iweje???
Hahaha hapana ni Young Africa mkuuHivi Utopolo ndiyo Yanga?
Hapa mtu anapigwa sasa hivi, haijulikani anatambulishwa vita au utoHiyo namba 22 so jezi ya as vita jameni,utopolo kudadeki walahi
Hujaelewa nini hapo nikuelekeze dogo ?Hapa mtu anapigwa sasa hivi, haijulikani anatambulishwa vita au uto
Tuelekeze boss jezi ya vita ya mini sasaHujaelewa nini hapo nikuelekeze dogo ?
Huo usajili wa utopolo 🐸 🐸 hauwezi kuiumiza klabu kubwa kama Simba.Hahaaa mpira kama siasa sasa, simba wameumia kusikia usajili huu wa yanga
Kwa nini hauhoji kwanini amevaa jezi ya Yanga ?Tuelekeze boss jezi ya vita ya mini sasa
Huna lolote, elezaHujaelewa nini hapo nikuelekeze dogo ?
Kweli ndio maana mkaitwa nyani, jamaa hakukosea kabisaKwa nini hauhoji kwanini amevaa jezi ya Yanga ?
Umejuaje huo ni jezi ya As Vita !? Mimi hapo nimeona jezi yenye namba 22 jina Mukoko (labda lengo ni kutangaza aliyesajiliwa anaitwa fulani na anavaa jezi namba fulani)