CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Cuf-chama cha wananchi
Usilalamike, chukua hatua.
Changia CUF, changia ushindi
Uzinduzi wa michango ya wananchi kwa chama chao utafanyika jumamosi ya tarehe 29/08/2020 ofisi kuu buguruni kuanzia saa 4.00 asubuhi
Mgeni rasmi: mgombea urais wa tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
Akaunti ya kuchangia iko benki ya nmb, tawi la temeke: jina la akaunti: CUF michango, namba ya akaunti ni 20710050166
Unaweza pia kuchangia kupitia simu
Kama mwanachama kiongozi wa CUF unaombwa kufika bila kukosa katika tukio hilo.
1. Voda: 0762469342
2. Tigo: 0658111925
3. Zantel: 0777760490
4. Airtel: 0699533883