CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
"Katika kipindi Cha miaka mitano, mzunguko wa fedha umekuwa mdogo, biashara haitoki, hakuna mzunguko wa fedha unaokidhi mahitaji, tunahitaji kuibadilisha hali hiyo".Prof. Lipumba-Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
RAIS MAKINI
SERIKALI MAKINI