fahamu

  1. J

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu ushauri wa kuvaa barakoa mbili

    Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kuwashauri Raia wake kuvaa barakoa mbili ili kuongeza umadhubuti wa kukulinda dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus Je, ni Wakati gani wa kuvaa barakoa mbili Unapotembelea duka, duka la dawa, daktari au hospitali yoyote Katika mkusanyiko kwenye bustani pamoja na...
  2. kali linux

    JamiiForums Tanzania Kwa nini youtube channels kubwa za Tanzania zinaombaomba misaada? Je YouTube hawalipi?

    Kiufupi kabisa kama umetengeneza youtube channel baada ya 2015 na bado haujaanza kuingiza hela kafanye kitu kingine tu coz hela ya YouTube channel ni ngumu mno kwa sasa. Hii imesababishwa na kukazwa kwa terms zao. Wale mnaodhan kina millard wanaingiza hela ndefu kupitia youtube ads nadhan...
  3. MR LINKO

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kama unafahamu mkoa wa Njombe kiundani

    Habari wajumbe natumaini nii wazima wa afya. Nikienda kwenye mada moja kwa moja nilikuwa napenda kuuliza kuhusu mkoa wa Njombe maana mimi sijawahi kufika wala kupawaa ila kwa siku ya leo nimepokea simu na swali nikaitikia sema nikashindwa toa jibu. MASWALI YENYEWE NI: 1. Kweli Njombe ina ardhi...
  4. Transistor

    JamiiForums Tanzania Fahamu namna ya kuuzima Moto unaotokana na shoti ya umeme

    FAHAMU NAMNA YA KUZIMA MOTO WA SHOTI YA UMEME Habari wadau, Happy end of the month (January woyoooo),na happy new year kwa familia yooooote ya Home of Great Thinkers (HGT). Baada ya salaam twende kwenye maada yetu, FAHAMU NAMNA YA KUZIMA MOTO WA SHOTI YA UMEME Kama tunavyojua kuwa nishati ya...
  5. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Fahamu namna nzuri ya Mama Mjamzito kulala ili kulinda uhai wa Mtoto

    Ujauzito ni mtihani mgumu maana anayoyapitia mwanamke ni mazito. Anashindwa wakati mwingine kula, kulala, kutembea yani kwa ujumla kuishi maisha yake ya kawaida kabla ya ujauzito wake ni changamoto na mtihani mkubwa. Kikubwa sasa huwa atalalaje,hasa anapokuwa kileleni mwa ujauzito wake.Namna ya...
  6. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Fahamu maajabu ya Vinasaba vinne vya msingi

    Ni kawaida sana kusikia mama akisifiwa kwa kuzaa photocopy ya mume wake, bila kujua kwamba ile process ya ‘photocopying’ haikufanyika tumboni kwa mama, bali ilianza kwenye ‘Gonads /(Korodani)’ za baba mtu na kwenda kukamilika tumboni kwa mama. Kidijitali taarifa za kielektroniki zinatunzwa na...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kama huwajui hawa, fahamu kuwa bado hujaingia dunia ya kidigitali. Africa must grow again.

    Kumbe imawezekana Afrika tukaanzisha au kupromote vitu vyetu. Chini ni picha 2 za watu 2 tofauti like African comedians zilizo bamba sana.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Lengo namba moja la maendeleo endelevu (Global Goals)

    Lengo hili linahusu kuongeza kipato cha watu waishio kwenye umaskini na kuhakikisha wanapata huduma za msingi na kumlinda kila mtu kuepukana na majanga. Hivyo basi, Serikali za Mitaa zina jukumu la kuhakikisha kwamba, ifikapo 2030:- · Zinatokomeza umasikini uliokithiri kwa watu wote...
  9. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

    Magari ya umeme ndiyo magari yanayotazamiwa kutumika zaidi siku za usoni. Serikali nyingi barani Ulaya zinaahidi kusaidia utengenezaji wa magari yenye kiwango cha chini cha uzalishaji wa hewa sumu, huku makampuni ya Mazda na Maserati yakiwa tayari yametengeneza au kuweka mipango ya kutengeneza...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini: Fahamu kuhusu kusitishwa kwa ajira kusiko kwa haki

    Kusitisha ajira maana yake ni kumalizika kwa mahusiano ya kikazi baina ya mwajiri na mwajiriwa au mfanyakazi, kusitisha ajira kihalali, kuachisha kazi isivyo halali, kusitisha kazi kwa makubaliano, mwajiri kusitisha kazi, kuachishwa kazi, kuacha kazi, kustaafu, kuritaya, mwenendo mbaya wa kazi...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu mgawanyo wa madaraka

    Mgawanyo wa madaraka ni mgawanyo wa majukumu ya serikali katika matawi tofauti ili kuzuia tawi moja kutekeleza majukumu ya msingi ya lingine. Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imeeleza Mafundisho (Doctrine) ya mgawanyo wa madaraka kwa kugawanya mihimili mitatu kwenye mamlaka na...
  12. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Fahamu leo

    Fahamu leo.
  13. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania SoC01 Chanjo ya COVID-19: Yote unayohitaji kufahamu

    Kampuni ya Kitabibu ya Moderna imetangaza nia yake ya kuomba kibali cha kuthibitishwa kwa chanjo yake ya COVID-19 kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani. Moderna sasa inaungana na kampuni nyingine mbili za kitabibu zinazosubiri kuthibitishwa kwa chanjo zao na Mamlaka ya Chakula na Dawa...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Mwalimu ajira mpya, fahamu haya yatakusaidia

    Mambo muhimu yatakayokufanya udumu kwenye ajira 1. Kamwe usile miwa ya shule (usitembee na wanafunzi). Miwa ya shule ni mitamu ila nakuasa usijaribu kwa usalama wako. 2. Usihoji kila kitu kwa mkuu wa shule hasa MAPATO na MATUMIZI. Wakuu hawapendi watu wanaohoji. 3. Kopa kwa kiasi. Baada ya...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Fahamu maana, umuhimu wa kodi na taratibu za ulipaji

    Kodi ni malipo yanayotozwa na Serikali kwa wananchi, kampuni, au taasisi zilizopo ndani ya nchi au zilizopo nje ya nchi lakini zimesajiliwa ndani ya nchi. Lengo kubwa la kutoza kodi ni kuitengenezea mapato serikali iliyopo kwa ajili ya kufikia malengo yake katika kutoa huduma za Jamii na maslahi...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu msongo wa mawazo na visababishi vyake

    Ripoti ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam kitengo cha Afya inaeleza kuwa, Msongo wa Mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha. Ripoti inabainisha mgawanyiko wa sababu za Msongo wa Mawazo kuwa ni sababu za...
  17. Mau Mau

    JamiiForums Tanzania Fahamu Alama ya jicho lenye maana ya siri kubwa likihusishwa na Ushetani

    Dhana ya uwepo wa kitu cha siri imeghubika nembo za kwenye sarafu na kufanywa kuwa ishara au alama inayoonekana. Alama ya 'Jicho' - hili ni jicho ndani ya umbo la pembe tatu - ni moja ya alama inayohusishwa na masuala ya ushetani ambayo pia imeonekana kuwa na uhusiano wa karibu na Iluminati...
  18. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Fahamu hili kutoka nchini Korea kaskazini

    Nchini Korea kaskazini, watu walo zaliwa tarehe 8 mwezi wa 7 na tarehe 17 mwezi wa 12 hawaruhusiwi kusherehekea siku yao ya kuzaliwa kwa sababu viongozi wao Kim jong I na Kim II_sun walikufa.
  19. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Ugonjwa wa 'K Syndrome' uliozushwa ili kuwaokoa Waisraeli dhidi ya maafisa katili wa Utawala wa Nazi

    Safe haven: Fatebenefratelli Hospital, Tiber Island, Rome, 2019. Hospitali ya Fatebenefratelli Hospital, iliyopo katika Kisiwa cha Tiber huko Roma, nchini Italia ilikuwa na Wodi maalumu iliyojawa Wagonjwa ambao ilielezwa kuwa wanasumbuliwa na ugonjwa mbaya wa Koch Syndrome ambao ni sawa na...
  20. Braza POPO

    JamiiForums Tanzania Fahamu mambo ma 3 Kabla ya kuprint mifuko ya kuweka unga

    Katika kuhakikisha kazi yako inakuwa safi na nadhifu kabisa. #watusmartpackaging tunajuza leo mambo muhimu kabla ya kuchapisha mifuko toka kwetu au sehemu nyingine. 1. Artwork /picha Kabla ya kuchapisha mifuko ya kuwekea unga ile ya viroba au ya salfeti ni muhimu kuwa na mchoro au picha ambayo...
Back
Top Bottom