Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Kila mahali ni hofu!!
Someni hii tweet hapa chini ya DarmpyaBlog:
"MASAHIHISHO
Kufuatia taarifa ya mgombea ubunge jimbo la Bunda Mjini Esther Bulaya, iliyoripotiwa na vyombo vya habari ikiwemo DARMPYA ikionesha jimbo hilo hakuna diwani wa CHADEMA aliyewekewa pingamizi, tunapenda kusahihisha kwani Bulaya si msimamizi wa uchaguzi hadi atoe taarifa"
Someni hii tweet hapa chini ya DarmpyaBlog:
"MASAHIHISHO
Kufuatia taarifa ya mgombea ubunge jimbo la Bunda Mjini Esther Bulaya, iliyoripotiwa na vyombo vya habari ikiwemo DARMPYA ikionesha jimbo hilo hakuna diwani wa CHADEMA aliyewekewa pingamizi, tunapenda kusahihisha kwani Bulaya si msimamizi wa uchaguzi hadi atoe taarifa"