Je, mtu anapokaribia kufa huhisi chochote?

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,542
3,451
Licha ya suala hili kubaki kuwa la muhanga na tukio lenyewe la kifo bado zipo tafiti za kitabibu zilizofanyika miaka ya karibuni zinazotoa majibu changamani ya wahanga yanayoweza angalau kudokeza kiasi juu ya nini kinachoendelea.

Upo utafiti ulifanywa kwa manusura wa shambulio la moyo 140 katika Nchi za Uingereza, Amerika na Austria kwa kuwauliza uzoefu wa wa karibu na kifo. Ikumbukwe wagonjwa wote hao ni wale amba shambulio la moyo lilisababisha kusimama kwa mapigo ya moyo na upumuaji.

Asilimia 39% ya manusura walisema waliendelea kuwa na fahamu kwa kiasi fulani katika kipindi hicho na wajijisikia vizuri kipindi mapigo ya moyo alipokuwa yanashuka na yalipokuwa yakirejia katika hali yake tena.

Asilimia 13% ya manusura walisema wao walihisi hali ya kutengana na miili yao .Asilimia 2% wao walisema alikuwa nakuelewa kabisa nilichokuwa ukiendelea.
 
Hakuna kitu mtu alinusurika kifo, ni either umekufa au upo mzima.
Kufa sio chaguo kwamba ufe au usife
Mkuu sidhani kama umeelewa
Hoja ni kwamba walikaribia kufa ( soma thread ukiwa na nafasi nzuri).
 
Mkuu sidhani kama umeelewa
Hoja ni kwamba walikaribia kufa ( soma thread ukiwa na nafasi nzuri).
Sasa huoni kama unatuonea hivi kwa hili swali lako? Sasa sisi tutajuaje namna wanavyo jisikia! Nadhani hayo majibu yako ya kutoka huko Uingereza, yanajitosheleza.

Au usubiri na wewe siku yako ikifika utakuwa na majibu sahihi kabla hujahifadhiwa kwenye nyumba yako ya milele. 😇
 
Mkuu naogopa woga ila siyo kuogopa kifo ninaamini uhai na kifo ni kitu kimoja ( kilekile).
Unaogo paopgoogaonaSasa huoni kama unatuonea hivi kwa hili swali lako? Sasa sisi tutajuaje namna wanavyo jisikia! Nadhani hayo majibu yako ya kutoka huko Uingereza, yanajitosheleza.

Au usubiri na wewe siku yako ikifika utakuwa na majibu sahihi kabla hujahifadhiwa kwenye nyumba yako ya milele. 😇
 
Utafiti umeonesha hayo niliyoyandika au unao utafiti mwingine Kaka?
Kuna ndugu yetu mmoja alifariki kwa ugonjwa wa cancer ambao ulifikia Terminal stage na kushambulia mapafu na organs mbalimbali. Nilipata wasaa wa kumuuguza mpaka umauti ulipomfika, kiukweli niseme tu kwamba alikufa kwa mateso makali sanaa. Yaani kuna kipindi maumivu ya ule ugonjwa yalikuwa makali mpaka analia, na unamuona kabisa jinsi anavyoteseka mpaka akakata roho. Kwa kweli mpaka kimoyo moyo nikasema bora amefariki na kuepukana na mateso aliyokuwa akiyapata, ambayo hakuna dawa za kumsaidia.
 
Kuna ndugu yetu mmoja alifariki kwa ugonjwa wa cancer ambao ulifikia Terminal stage na kushambulia mapafu na organs mbalimbali. Nilipata wasaa wa kumuuguza mpaka umauti ulipomfika, kiukweli niseme tu kwamba alikufa kwa mateso makali sanaa. Yaani kuna kipindi maumivu ya ule ugonjwa yalikuwa makali mpaka analia, na unamuona kabisa jinsi anavyoteseka mpaka akakata roho. Kwa kweli mpaka kimoyo moyo nikasema bora amefariki na kuepukana na mateso aliyokuwa akiyapata, ambayo hakuna dawa za kumsaidia.
Pole sana Mkuu kwa upendo umeandika kwa hisia sana imeonesha namna ulivyoweza kuzibeba hisia za ndugu yetu aliyetangulia mbele ya haki.
 
Kuna Uzi humu wa Near Death Experience, nadhani kule Jamii intelligence. Niliusoma zamani sana, unaeleza mengi na shuhuda za baadhi ya wana jf humuhumu walioexperience Near Death wakarudia njiani.
Aliuandika jamaa anatumia ID ya #Education Mentor
 
Back
Top Bottom