diamond

  1. U

    NEW Video: Rosa Ree - Kupoa {Official Video}

    Rapper wa Kike Tanzania Rosa Ree Ameachia Video ya nyimbo mpya inayoitwa - Kupoa Nimekuwekea hapa chini uitazame mtu wangu.
  2. sky soldier

    Ni msanii yupi unadhani atamrithi ustaa Diamond kwa hivi vigezo nilivyotaja?

    kuwa staa ni mtaji mkubwa sana kwa msanii, unaweza kufanya kitu cha kawaida tu ila kikapewa sapoti mno na kuonekana kikubwa, mbali na kazi za sanaa kuwa staa ni kuwa na sifa kama za huyu kijana wetu mtanzania anaetuwakikisha vilivyo nje ya mipaka: *Fashion, namna anavyovaa. *Mwonekano...
  3. Mkogoti

    Homa ya TV E: Lini Diamond platnumz atatumbuiza Jukwaani

    Habari za Usiku huu Wakuu Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima, Now nimeshaona show za Wasanii mbalimbali Kupitia Show ya Homa kupitia channel ya TV E!, Katika kuona kwangu sijamuona Diamond je? Zamu yake haijafika au ndo vile kuna kabifu hapo katikati ama vipi? Wakuu mkimwona siku mnitag...
  4. Jamii Opportunities

    Underground Diamond Driller at Geita Gold Mine

    Position: Underground Diamond Driller- Geita Gold Mine, Geita African Underground Mining Services (AUMS) Job Summary To ensure the safe and efficient operation of drill rigs in the day to day operations, through the provision of manual tasks inclusive of monitoring & adherence to safety...
  5. B

    JEJE na Diamond

    Kuna mistari inasema "Nimwage Wese,Unesenese Kwenye Rungu la komredi kipepepe" Wazee hapa jamaa alilenga maudhui gani? Nyimbo za siku izi bwana!
  6. A

    Nahisi Diamond Platnumz sio Mtanzania, body language presence anayoonesha kwenye video zake, sio style za kitanzania ni style za ki-west Africa hivi

    Diamond anajua sana aisee, kwamfano kwenye ile official video ya nyimbo ya gere (tanasha x platnumz) kuanzia ile dakika ya 1:57 mpaka dakika ya 2:15 jamaa kaonesha body language presence ya hali ya juu sana, pale anapoanza kuimba "Eeh mama kasema mwali mwana, umepata ntuliee simba, ntuliee...
  7. sky soldier

    Sio Afrika Mashariki tu. Diamond aweka rekodi ya views bilioni na subscribers kwa waafrika

    Ikiwa leo tarehe 10 - 6 - 2020 saa kumi kasorobo hizi ndio views za baadhi ya wasanii maarufu afrika, (Tukiachana na Waarabu wa Misri, Morocco, Tunisia, n.k) Diamond - 1,000,391,358 views, subscribers milioni 3.68 Burna Boy - 505,608,298 views, subscribers milioni 1.14 Davido - 617,179,994...
  8. Sele Mkonje

    Hongera Diamond kwa kuwa msanii wa Kwanza Afrika mashariki Kufikisha 1Bilion Views on Youtube

    Leo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja. Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita. Diamond anafuatiwa na Millard ayo ambaye kwa sasa ana viewers M933 na huku King wa bongo Fuleva ana...
  9. Expensive life

    Kwako Diamond Platnumz...

    Sisi wananchi wa hali ya chini tulifarijika sana na maneno yako pale ulipotangaza kuwa, upo tayari kutusaidia japo kulipia pango la nyumba kwa miezi mitatu kwa wananchi wa hali ya chini 500. Tunaona siku zinazidi kukatika na hatujapata mrejesho wowote kama msaada huo upo au laa.
  10. P

    Diamond Platinumz

    Tukubali kwamba Diamond Platinumz kwa sasa ni zaidi ya Wizkid na Davido.....Au???
Back
Top Bottom