sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,014
WCB lebo ya Diamond imegeuka kuwa kiwanda cha kutoa mastaa katika levo za juu mno,
Kuna waliofata nyayo za kijana lakini hali hairidhishi, kuna lebo kama kings music ya alikiba na konde gang ya harmonize hizi lebo wasanii wake wamekuwa wakipata wakati mgumu kutoboa ikafika kipindi hadi wasanii wa lebo ya kings music wakakata tamaa wakaondoka.
kwa sasa huko wcb, mwanadada zuchu ni fire, moto wa kuotea mbali kabisa, kazi zake zina hit ile ile.
kwa sasa hata boss wake naona amekubali tu kwamba ni wakati wake
Diamond kwa hili wazo la lebo kaulamba, kama ni pesa tu ataingiza sana tu hata akiacha muziki wasanii wa lebo yake wataendelea kumuingizia mpunga, heshima, nk
Kuna waliofata nyayo za kijana lakini hali hairidhishi, kuna lebo kama kings music ya alikiba na konde gang ya harmonize hizi lebo wasanii wake wamekuwa wakipata wakati mgumu kutoboa ikafika kipindi hadi wasanii wa lebo ya kings music wakakata tamaa wakaondoka.
kwa sasa huko wcb, mwanadada zuchu ni fire, moto wa kuotea mbali kabisa, kazi zake zina hit ile ile.
kwa sasa hata boss wake naona amekubali tu kwamba ni wakati wake
Diamond kwa hili wazo la lebo kaulamba, kama ni pesa tu ataingiza sana tu hata akiacha muziki wasanii wa lebo yake wataendelea kumuingizia mpunga, heshima, nk