Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,110
- 1,475
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambacho ndicho chama kikuu cha upinzani hapa nchini na mabingwa wa demokrasia kwa kuiiishi, leo kupitia Karibu Mkuu Vincent Mashinji, kimetangaza rasmi kufungua mchakato wa kupata wagombea watakaochuana kwa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho kitaifa.
Fomu za wagombea wa nafasi hizo ikiwemo Mwenyekiti wa chama, zimeanza rasmi kutolewa siku ya leo ambapo uchaguzi mkuu huo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na wafuatiliaji wa masuala ya siasa za ukanda huu wa Africa Mashariki unatazamiwa kufanyika tarehe 18 December, ukiwa ni takribani mwezi mmoja kamili tangu zoezi la kuchukua fomu na kurudishwa lilipotangazwa.
Tunawatakia kila jema kuonesha ukomavu mkubwa wa demokrasia
Fomu za wagombea wa nafasi hizo ikiwemo Mwenyekiti wa chama, zimeanza rasmi kutolewa siku ya leo ambapo uchaguzi mkuu huo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na wafuatiliaji wa masuala ya siasa za ukanda huu wa Africa Mashariki unatazamiwa kufanyika tarehe 18 December, ukiwa ni takribani mwezi mmoja kamili tangu zoezi la kuchukua fomu na kurudishwa lilipotangazwa.
Tunawatakia kila jema kuonesha ukomavu mkubwa wa demokrasia