dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Heparin

    Askari Polisi waweka ulinzi mkali Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo, Dar es Salaam

    Nimepita maeneo ya Ubungo nikiwa naelekea kwenye harakati zangu, naona Polisi wamejaa kanisani kwa Gwajima baada ya yeye kutangaza atashiriki ibada ya Jumapili ya leo. Wengi wapo barabarani wanafunga utepe. Kwakuwa speed ya gari ilikuwa kubwa sijafanikiwa kuchukua picha ya haraka. Pia...
  2. Pfizer

    Dar: Taasisi ya Child Eye & Vision Organization (CEVO) yafanya Kampeni ya Upimaji Macho

    Watu mbalimbali wakiwa kwenye foleni ya matibabu ya macho katika kampeni iliyoendeshwa na taasisi ya Child Eye & Vision Organization (CEVO) katika Hospitali ya wilaya Mabwepande jijini Dar es Salaam. Mwisho wa Kampeni ni tarehe 17/06/2025
  3. ufalmedigital

    kijue chuo zaidi Chuo cha Bahari Dar es Salaam (Dar es Salaam Maritime Institute – DMI)

    Chuo cha Bahari Dar es Salaam (Dar es Salaam Maritime Institute – DMI) – kinachojulikana kwa jina la Chuo cha Ubaharia Mahali & Mawasiliano Eneo: 19 Sokoine Drive, Dar es Salaam, Tanzania nactvet.go.tz+13dmi.ac.tz+13tasac.go.tz+13. Barua Pepe: info@dmi.ac.tz Simu...
  4. Dalali wa Mjini

    Kwa mahitaji ya kununua nyumba au kiwanja Dar Es Salaam

    Salamu matajiri. Namba zangu hizo hapo dalali ambaye Sina mkuu lakini Kazi zangu zimenyooka. Ukitaka nyumba ya kununua au kiwanja basi nahakikisha kila kitu Kipo Sawa. Hakuna mgogoro wa kiserikali au kifamilia. sikutozi Hela ya kukupeleka kuona eneo Ila utalipia usafiri WA kukupeleka sehemu...
  5. DuaZaMama

    Haji Manara anashikiliwa na Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam

    wakuu ====== Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central. Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
  6. BLACK MOVEMENT

    Dar ilipaswa kuwa jiji linalotoa Wabunge vichwa sana ila hali ni tofauti na Majiji mengine ilimwenguni

    Majiji makuu mengi hasa Africa huwa yana Wabunge moto sana na hii ni kwa sababu huwa ndio kitovu cha upinzani na pia ndio kumejaa Wasomi na watu waelewa wenye information zote. Ila sasa njoo Dar ambako Jiji lina Wabunge Vilaza sana kuzidi hata huko mikoani, mtu kama Talimba eti ni Mbunge...
  7. Melki Wamatukio

    Tatizo la vijana wadogo kuwalea watu wazima limeanza kukithiri Dar

    Sio ushuani, sio uswahilini, kila kijana anacheza namba yake. Inasikitisha sana! Unakuta binti mdogo wa miaka kama 20 hivi analea jibaba la miaka 45 mpaka unabaki unajiuliza hili jibaba lenye miraba minne nyumbufu linampa nini huyu binti? Same applied to Boys wa miaka kama 20, unakuta ana...
  8. Scared

    Hizi fulana zinapatika wapi Kwa hapa Dar?

    Naombeni msaada wenu hizi t shirt hapa dar nazipata wapi na zinauzwa Bei Gani
  9. C

    Vijana tukemee uasherati wa hadharani ni aibu

    1. Vijana hawana aibu tena ya kufanya uasherati hadharan (sehemu za starehe-Kitambaa cheupe Sinza) 2. Makahaba hadi mtaani na mitandaoni (Ubungo Riverside, GRINDR, Badoo na Tinder). 3. Madanguro rasmi na Polisi wanaona (Manzese Mferejini, Uwanja wa fisi, Mwananyamala Hospitali, Msasani, Temeke...
  10. GENTAMYCINE

    Mliopo Dar tafadhali tuambieni 'Mtume Mwamposa' kanisa lake sasa lipo wapi baada ya kuhama pale lilipokuwa Kawe?

    Je, kahamia pale jirani na Shule ya Feza / nyuma ya Shule ya Upili (Secondary) ya Ukwamani ambapo alipewa eneo au?
  11. Mohamed Said

    Usiku wa Ngugi Dar es Salaam

    https://www.youtube.com/watch?v=kAmm4ucvBDM
  12. radhiya

    Invest in SKY ROYAL Apartment at Mikocheni Ursino street Dar es Salaam

    Commercial and residential units for sale. Experience a luxury Seaview city living in our stylish and modern project located at Mikocheni Ursino st. Our prime location offers easy access to restaurants, shops and entertainment venues. Prices starting from 1 bedroom: USD 84,169. 2 bedrooms: USD...
  13. Parabolic

    Wazazi waeleza adha watoto 865 wakikikaa chini Mtambani Dar

    DAR. Baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma shule ya Msiungi Mtambani jijini Dar es Salaam, wameeleza adha ya watoto wao kukaa chini kwa kukosa madawati. Dar es Salaam. Kukosekana kwa madawati ya kutosha Shule ya Msingi Mtambani Bunju jijini hapa imefanya baadhi ya wanafunzi kusoma wakiwa...
  14. S

    Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe?

    Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe (Windows OS peke yake) Napatikana mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Kwa mahitaji ya kuweka Windows 10 OS Genuine gharama yake ni 20,000 Tsh
  15. 42774277

    Naomba kufahamu kilipo kiwanda cha maloba(magunia) kwa hapa Dar

    Waungwana habari ya jioni Naomba kufahamu kilipo kiwanda cha haya maloba kwa hapa Dar. Natanguliza shukrani.
  16. Dalali_wa_kimataifa

    4BEDROOM FOR RENT,LOCATED AT MBEZI BEACH 🇹🇿

    #rent #STAND_ALONE HOUSE IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1300$/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
  17. W

    Dar ni sehemu pekee Tanzania kila mtu hupambana na hali yake, hakuna presha ya matarajio ya jamii

    Ndio jiji pekee ambalo linakupa uhuru wa kupambana bila kelele nyingi na matarajio ya jamii za mikoani. Hakuna pressure ya kuwa na watoto au mke/mume, “focus zako” ni zako mwenyewe. Utaendelea kuishi geto huku unazikusanya hata ufike 45 hakuna mwenye time na wewe Mambo ya misiba ya kuhudhuria...
  18. M

    Msaada Garage na Fundi mzuri wa Volkswagen Dar es Salaam

    Wanajamvi Msaada kwenye tuta Nahitaji fundi mzuri kwa ajili ya gari aina ya VW(Volkswagen) Napokea recommendation nitashukuru nikipata namba ya simu na location ya garage Natanguliza shukrani.
  19. Just Pray

    PreGE2025 Ally Hapi: Miaka mitano ijayo tutajenga treni za mijini Dar na Dodoma

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo chama hicho kimedhamiria kujenga treni katikati ya miji kwa mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma, ili kukabiliana na foleni za magari. "Naomba nichombeze, tumejenga SGR Dar es...
  20. D

    Kwa hiyo Dar hakuna pisi Kali?

    Kwaio Dar hakuna pisi Kali🧐🧐🧐 Hii ni wiki ya pili sasa nipo hapa jijinina sijaona uhalisia WA dar wanayoisimuliaga kwenye stori🤣🤣 Nyie pisi Kali za dar mpo wapi??🧐🧐 Wiki inakata wakuu bila hata amsha amsha 🤣🤣🙏
Back
Top Bottom