dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Sokoine drive Dar es salaam

    Plot For Sale. Plot details: Prime area, along tarmac road near new SGR train station and Dar port. •Perfect for; Yard, Garage, container’s storage, godown. Location: Gerezani street/Sokoine drive. Size: 903sqms. Permit: Residential & Commercial. Document: Title Deed. Price: Tsh 1.5B. For more...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyekuwa Sheikh wa mkoa wa Dar: Kama hakuna amani na haki pia haipo. Kikishanuka kwelikweli unaweza kwenda mahakamani kutafuta haki yako?

    Wakuu, Kwenye huu mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 ambao umeandaliwa na JMAT - Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania kuna point imeibuliwa na huyu Sheikh Anasema pamoja kwamba kuna ukweli kwenye kauli ya kwamba hakuna amani bila haki lakini pia ni...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijana wa kazi wa kuuza bidhaa barabarani kwenye foleni Dar

    Habari wana JF natafuta vijana wa kuuza bidhaa kwenye foleni za Dar kwa aliye tayari anicheki kwa 0626333300
  4. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu sehemu nzuri Dar ya kuchill, kuangalìa mpira na chakula

    wakuu niko dar ni mgeni wa jiji naombeni mnambie sehemu nzuri kuchill kula na kuangalia mpira asanteni
  5. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Dar ukijichanganya utajikuta unaenda kazini kutafuta hela ya nauli ya kwenda kazini tena

    Dar ukijichanganya utajikuta unaenda kazini kutafuta hela ya nauli ya kwenda kazini tena Mungu atusaidie sisi wapambanaji
  6. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Fuso/Lori DAR kwenda Tanga

    Wakuu, Kuna jamaa yangu ana mzigo wake unaohitaji kubebwa na lori leo au kesho. Mzigo upo Chalinze. Mwenye connection ya malori ya kwenda Tanga mjini naomba msaada wa namba. Pesa ipo mfuko wa shati. Asanteni wote.
  7. funaku

    JamiiForums Tanzania Battle la singeli: Morogoro vs Dar na Malima vs Chalamila

    Hili ndio battle la Singeli lipo viral kwa sasa. Nani ameicheza vizuri? Origin ya Singeli ni mkoa upi?
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Watu wawili Mbaroni kwa wizi wa Tsh. milioni 105 Dar es Salaam

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne, wakiwemo wawili wanaodaiwa kuhusika na wizi wa Shilingi milioni 105 na wawili waliokutwa na pikipiki za wizi, katika msako uliofanyika mwishoni mwa Julai na mapema Agosti 2025. Tukio la kwanza lilitokea Julai 27, 2025...
  9. Keagan Paul

    JamiiForums Tanzania Accountant mwenye CPA, Aliyepo Dar anahitajika

    Habari zenu Wakuu, Accountant mwenye CPA anahitajika, Usahili ni Jumatatu tar 11 August 2025. Tuma CV yako hrfbde@gmail.com
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Huyu kijana tapeli ana digrii ngapi, kutoka chuo gani na ni namba ngapi kwa utajiri kwa Dar tu?

    Maswali mengine Utajiri wake unatokana na nini? Generals gani anaokaa nao mezani na wanazungumza nini?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nasimamia miradi na ujenzi wa nyumba, Majengo na n.k, mkoa wa dar es salaam

    Kama unahitaji msimamizi wa miradi au nyumba inajegwa kwa mkoa wa dar es salaam nafanya kwa bei ya 300,000 Tsh kwa mwezi, elimu yangu ni fundi mitambo ngazi ya stashahada, mawasiliano - 0756704145, dar es salaam, Mbezi.
  12. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jimbo la Segerea Dar es salaam tunaelekea kudanganywa tena Oktoba 2025 kwenye Ubunge

    Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi. Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya jimbo la Segerea, sasa nikauliza, mbona huu ubovu wa kutisha wa barabara huku Tabata, tena Dar es...
  13. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Mnaotamani kuja Dar es salaam hii ndio dar yenyewe je! Mtaiweza?

    Ndugu zetu wa Mikoani hii ndio dar es salaam sasa, huku usafiri wa umma hasa nyakati za asubuhi na jioni bila kuwa mbabe haupandi. Nimewahi kushuhudia dada mmjoa akiwa katika purukushani za kuingia kwenye usafiri ile vuta ni kuvute, akajikuta maziwa yote yapo wazi, na yeye hakujali wala nini...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo rekodi zinazoshikiliwa na majiji nje ya Dar-Es-Salaam

    Muonekano mzuri city center - Mwanza Barabara - Dodoma Maji - Mbeya Huduma za Serikali - Dodoma Utalii - Arusha Vyuo - Mbeya Malls na supermarket - Mwanza Usalama - Dodoma Huduma za Afya - Mbeya Hali ya Hewa - Arusha Mzunguko wa pesa - Mwanza Unafuu wa maisha - Mbeya Ukarimu wa watu - Tanga...
  15. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Mhe. Manara anafaa kuwa Meya wa Kiji la Dar

    Kwa kofia yake kama Diwani. Anafaa kuongoza Dar kama Mstahiki Meya . Asanteni
  16. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Kwa baridi hii Dar, ni kiwinter!

    Wandugu asiye na mwana sasa hivi Dar, basi ajibandike blanketi, chapa mtu! Baridi hii si poa kabisa,
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Dar, Mgombea Diwani Rajabu Shabani Manyinya wa Kivule Akitoa Rushwa hadharani. TAKUKURU Kazi kwenu

    TAKUKURU, pokeeni kazi hii. Mshindi wa kura za udiwani Kata ya Kivule ndungu Rajabu Shabani Manyinya akitoa rushwa waziwazi siku moja kabla ya uchanguzi kufanyika. Kata ya Kivule ipo Jimbo jipya la Kivule Jijini Dar es Salaam. Nategemea kupoka majibu sahihi kutoka kwenuo Hii rushwa yeye...
  18. Bueno

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini baadhi ya Maeneo Dar Maji hayajafika na kuna maeneo huko ndanindani wametandaziwa Mabomba km yote? Nini Shida?

    Wakuu, kwa wasioijua Dar wakafikiria Dar labda kila sehemu kuna umeme kila sehemu kuna Maji, aisee kuna maeneo mjini Dar-es-Salaam hakuna maji mpaka leo watu wanafukua maji Chini wanachota maji ya tope wanaoga fungus maji ya chumvi maji yasiyo na virutubisho wengine ndio maji yao ya kunywa hayo...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Kwa Mahitaji ya Nyumba, Vyumba Frem Dar es salaam

    Nimerudia Kazi Yangu Jasiri haachi asili! Nimerudi rasmi kwenye kazi yangu ya udalali kwa nguvu mpya na uaminifu ule ule. Karibuni sana kwa huduma bora na zenye uhakika. Ninapangisha: Nyumba Vyumba Fremu za Biashara Eneo: Jiji zima la Dar es Salaam (kwa haraka zaidi maeneo ya Mbezi...
  20. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Miji ya Chalinze na Msata kama lango la jiji la Dar es Salaam haipaswi kuwa vile kama ilivyo

    Kama unakaribia Dar es Salaam kama umetokea morogoro ni wazi kwamba ukifia chalinze ni kama unaanza pata picha jiji la dar es salaam, same kwa msata kama unatokea njia ya Tanga ukifika msata ni kama umeanza kupata picha ya Dar es Salaam Ila cha ajabu unapofika chalinze au msata haya maeneo sio...
Back
Top Bottom