dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi

    Kama unatafuta Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi - nasimamia mitandao ya kijamii pia naweza kusimamia tovuti (website) Mawasiliano: 0756704145
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Ni Hoteli gani nzuri Dar yenye vitanda virefu?

    Wakuu kama unajua hotel au Lodge nzuri sana yenye vitanda virefu kuelekea juu tafadhali nijuze. Na jambo langu makini sana na mrembo mmoja hivi toka Rock city. Kiwe na urefu angalau wa futi 3.7 mpaka 4 kutokea chini hadi godoro lilipo.
  3. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa Dar es salaam

    Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa dar es salaam, naomba kazi saidia fundi elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  4. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi Dar es salaam

    Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa dar es salaam, naomba kazi saidia fundi elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  5. H

    JamiiForums Tanzania Elite home tuitions teaching vacancies in Dar es salaam will be available here

    ATTENTION ATTENTION ATTENTION ATTENTION Mwalimu aliye tyri kufundisha Cambridge curriculum year6. Mwanafunzi yuko dar seabreeze apartment. Kwa wiki sikutano sawa na siku20 kwa mwezi na kama upo tyri kulipwa kwa siku20.za mwezi 160,000 basi njoo inbox.
  6. Parabolic

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wadai kada wao amefichwa polisi Dar

    Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikidai kuwa kada wake Leonard Magere amefichwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda wa kanda hiyo, Jumanne Muliro ametaka suala hilo waulizwe Idara ya Uhamiaji. Magere ambaye ni mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji wa CHADEMA...
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Piki piki used dar es salaam

    ..
  8. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Maisha magumu, vijana wengi Dar es salaam wanavaa pete za majini.

    Ukiona mtu kavaa lipete likubwa especially waumini wa dini fulani maarufu jua kuwa hilo ni jini la ulinzi au mvuto. Kwenye dini ile kumiliki jini it's like a fashion. Mipete ya kijani, blue, silver and so. Unapewa kulingana na nyota yako au uhitaji wako. Mimi hawa wafugaji wa majini hata salamu...
  9. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania House4Rent Kariakoo: 4th Floor 3 Bedrooms Apartment For Rent - Dar

    . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ni maeneo gani mazuri Kwa wageni kutembelea jijini dar?

    Wapendwa wana jf mara yangu ya mwisho kutembelea jijini dar ilikuwa 2013, baada ya kustaafu ningependa kwenda kuosha macho na kurelax kidogo baada ya ajira kukoma. Je nitembelee maeneo yapi na niandae bajeti ipi? Ningependa kukaa wiki nzima
  11. M

    JamiiForums Tanzania NAFASI YA KAZI: Kusimamia Akaunti kwa Kutumia Robot (Kazi ya Ofisini - Dar es Salaam)

    Natafuta vijana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 28 kwa ajili ya kusimamia akaunti za biashara kwa kutumia mfumo wa roboti (robot) katika mazingira ya ofisi iliyopo Kinyerezi Mwisho, Dar es Salaam. ✅ Robot tayari ipo, kazi yako ni kuingia kwenye akaunti, kufuatilia maagizo ya robot, na...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Epson L3210 onauzwa dar

    Epson hata nimeitumia kidogo sana kwa matumizi ya ndani ina wino ndani haujatumika hata asilimia 90 na bado chupa nyeusi nyingine imejaa. Bei 350000 tunazungumza.
  13. H

    JamiiForums Tanzania Tunatoa huduma za kumfundisha mtoto wako nyumbani

    Unahitaji mwalimu wa kumfundisha mtoto wako nyumbani? Dar Elite Home Tuition inakuletea walimu wenye uzoefu, mwenendo mzuri, na uwezo wa kufundisha kwa mtindo unaoeleweka. Tunaandaa wanafunzi wa: – KG 1 hadi Advance Level – NECTA, Cambridge & International Curriculum – Home Schooling, Special...
  14. Risk manager

    JamiiForums Tanzania Nahitaji chumba cha kulala siku 15-20 kwa Dar ninayo laki moja mfukoni

    Habari zenu wanajukwaa Kuna mdau anahitaji chumba cha kulala kwa hizo siku. Dar es salaam mabibo pawe karibu na chuo cha Nit itapendeza. Siku kuanzia 13/14 July mpaka 25/26 july Namba ya mhusika ni pm Kama unapo mahala pa kulala. Kulala ,kuoga na kujisaidia basi hakuna kingine. Yupo...
  15. Tman900

    JamiiForums Tanzania Bus gani ni zuri kwa safari ya Dar kuelekea Tunduru

    Habari ndugu Wana Jamii Foram. Kwa wale Wenye uelewa wa safari za Kutoka Dar Kuelekea Tunduru. Ni Bus Gani ziko Vizuri kwa Safari Kuelekea huko naomba Mnifahamishe.
  16. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Hivi paka Dar wana shida gani? Yaani paka anakimbizwa na panya?

    Hii ni maajabu, yaani paka anapigwa na panya hadi ana kimbizwa 🤣, niko hapa kariakoo naona paka kapigwa na panya na kukimbizwa juu,hasa najiuliza panya akimkamata paka atamla au? siamini nachokiona. Hii ni kwa paka wa Dar tu au hata wamikoani wameanza tabia hii ya kuchekesha?
  17. Think2

    JamiiForums Tanzania Haya ndio niliyoyaona Chanika - Dar es Salaam

    Eti Chanika kule napo ni Dar aisee, haya ndiyo niliyoyaona ● Kule huwezi kutofautisha kijana na mzee, maana wote wamevaa vibaragashia chini, wamefunga nguo sijui ni kitenge ● Ukipita macho yote kwako, utasindikizwa na macho hadi utakapoishia ● Mashamba ya mihogo kama mikoa tu ● Maduka...
  18. smarte_r

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Jiji la Dar, Malori ni mengi Barabarani kuliko Watu

    Kwa sasa kila mkazi wa dar awe mwana ccm, mwanachadema, awe wa no reform no election, awe wa october tuta-tick ana kipata cha mtema kuni kuhusu foleni ya barabarani inayosababishwa na utitiri wa malori, mengi yakiwa made in china. Kila barabara mpaka zile za mitaani ambazo alizijenga Magufuli...
  19. Kyenju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wa Dar bana!

    Jamaa yangu wa Dar aniniambia kwa sasa Dar kuna baridi sana kiasi kwamba kama huna water heater inabidi upange foleni ya kuchemsha maji na watoto. Binafsi sidhani kama Dar es salaam kuna baridi ya namna hiyo.
  20. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania House4Rent Kariakoo: 1st Floor 2 Bedrooms Apartment For Rent - Dar

    . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
Back
Top Bottom