Kwa Wakazi wa Kibaha na Dar

Kwa Wakazi wa Kibaha na Dar

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
5,742
Reaction score
4,288
Hamjambo tafadhali? Msaada tafadhali.
1. Shule ya Kibaha Sekondari (boys, ile special) ipo mtaa gani, kata gani na tarafa gani?!!!
2. Chuo Cha st. John, tawi la st marks (pale buguruni malapa) kipo mtaa gani, kata gani na tarafa gani wakuu?!!!
 
IMG_4957.jpeg
 
1. KSS ipo Tumbi jirani na hospitali ya Tumbi au ofisi ya RMO Pwani.
Kata Tumbi, Tarafa Tumbi, Mtaa Mwanalugali A.

2. St John Kipo Buguruni Malapa, jirani na Shule ya Msingi ya Viziwi.
Kata Buguruni, Kata Buguruni, Mtaa Malapa.
 
Back
Top Bottom