Leo asubuhi naona ATM nyingi huku maeneo ya Ukonga hazina hela. Zingine zimekata network. Au ndiyo mnatatusaidia tusije tukala hela ya ada za watoto ndani ya pasaka.
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais...
ccm
charles kimei
crdb
hekima
historia
jamhuri
lukuvi
maamuzi
magufuli
makamu
mkuu
moto
muungano
mwakyembe
mwanamke
ndugai
rais
raisi
sahihi
serikali
sifa
speaker
taifa
uchumi
waziri
waziri mkuu
Kupitia mtandao huu, napenda nitoe wazo/ushauri kwa Benki za kibiashara, hasa Benki za NMB na CRDB, benki ambazo zinaonekana kushindana kuvutia watumishi wa umma kupitishia mishahara yao katika benki hizo.
Kwa mfano,hizi benki mbili kwa sasa zote zimeanzisha huduma ya salary advance, huduma...
Chonde chonde CRDB msitufanyie hivyo. Mnatuaibisha tulishaanza kunywa bia toka jana sasa leo kuondoa salary advance ndio nini?
Fanyeni mambo basi tunawaaminia.
Nimebahatika kusoma ripoti ya mabenki ya CRDB na NMB kuwa mwaka huu wamepata faida ya zaidi ya 200bn/- kila mmoja.
Itakuwa ni vema sana kama sehemu ya faida hiyo ielekezwe kwenye gawio la wana hisa. Ninaishauri CRDB itoe gawio linaloendana na faida na iige NMB inayotoa gawio inayoridhisha.
Nimenunua LUKU 50,000/= kupitia ebanking toka Jumapili saa 10 jioni hadi leo Jumanne nawasiliana nao kupitia ukurasa wao wa facebook wanasema niwe mvumilivu.
Huu ni upumbavu, dharau kwa mteja, kukosa weledi. Kwa sababu wanajua wateja hawana haki, hawawezi kushitaki popote, wanatuona mapimbi tu...
Habari wana JF
@ Soko la hisa, UTT AMIS na Hatifungani
CRDB Bank PLC ni kampuni mojawapo iliyoorodheshwa hisa zake katika soko la hisa la DSE.
Hisa za CRDB zimekuwa zikifanya vizuri katika soko la hisa la DSE kwa urahisi wa kuuza au kununua, mabadiliko ya bei na kutoa gawio wa wanahisa wake...
Toka nimeomba mkopo CRDB zimepita siku15 bila kuingiziwa mkopo wangu. Taratibu zote nimefuata ikiwemo makato kuingizwa hadi muda huu sielewi hii bank ina shida gani.
Mbaya zaidi afisa mkopo hapokei simu yangu.
Mliopo mjinj niambieni kuna nini uko maana niko shamba nalima na nilitegemea pesa...
Kwa mara nyingine tena CRDB wameendelea na tabia yao ya ku draw hela kwenye akaunti za wateja bila idhini yao. Mimi ni mmojawapo niliyepokea ujumbe unaosema "Dear customer, TZS 10,446.43 has been drawn from account 0212 for queries call 0755197700, popote inatiki. Hii ni akaunti ya USD na mpaka...
Habari wakuu,
Kwa wazoefu au wenye umelewa wa hili jambo, na ni kawaida kwenye baadhi ya mikoa. Nilichokikuta mkoa huu ni ajabu.
Niliwasili Morogoro usiku wa saa nne. Nikawa na uhitaji WA pesa. Kitu cha Kwanza kufikiria ni kwenda ATM.
Nilichoshuhudia ilikuwa ajabu sana kwangu. Nimezunguka...
Tangu asubuhi leo huduma za CRDB kuanzia ATM, App mpaka bank hakuna watu wameshindwa kufanya transfer kutokana na upuuzi wenu mnadai network hakuna hii inatuhusu nini wateja?
Hivi mnajua ni kiasi gani mpaka sasa mmeingiza watu hasara kwa kukosa kufanya transfer mbalimbali? Mpaka sasa saa 7...
Habari wakuu,
Mimi kama mdau wa bank hii ya CRDB naomba nitoe dukuduku langu na kama yupo mfanyakazi au mtendaji wao tafadhari rekebisheni matatizo yenu, haiwezekani process ya mkopo ikachukua wiki tatu mpaka mwezi na Bado fedha/mkopo hamtoi, hivi hamjui mkopo ni kitu cha dharura?
Naombeni...
1. Kijitanua: kwa East Africa Equity nafikiri ni bank inayoongoza kwa kujitanua. ipo nchi zote za EAC na imeingia kwa nguvu kubwa DRC na inanyemelea kuingia Ethiopia. Hizi zetu zipozipo tu. Nilisikia CRDB wana tawi Burundi, bado lipo.
2. Ufasta wa huduma: Equity ukiwa na namba au kitambulisho...
Tanzania’s CRDB renews plan to get pan-African bank status
By JAMES ANYANZWA
Tanzania’s CRDB Bank Plc is planning an ambitious programme that could see it expand into seven countries in East and Central Africa.
The largest bank by assets and market share in Tanzania, CRDB had started its...
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Charles Kimei amefika katika ofisi za CCM Kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi-CCM kupeperusha bendera Jimbo la Vunjo.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo
Bank ya CRDB inaweza kukulaza njaa huku una hela, jirekebisheni. Huduma zetu zimeisha kuwa za mazoea kutokana na mfumo wa maisha ya watanzania.
Kwamba hata mkizingua wanavumilia, ila watu wanapungua kidogo kidogo.. mnafanya kazi kwa mazoa sana.
Siamini kama crdb wamekuwa wababaishaji kiasi hiki...
Miezi miwili iliyo pita nilijaza fomu ya kujiunga na online purchasing...
Nikaambiwa nitatumiwa Temporary Access code ndani ya masaa 24. Zikapita siku mbili sijatumiwa hiyo namba, nikamwambia kuulizia kulikoni. Kama kawaida Yao wakaomba...
Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu ijulikanayo kama “Jiachie Utakavyo” ambapo wafanyakazi wa sekta ya umma na binafsi sasa kufurahia riba ya hadi asilimia 14. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati, Boma Raballa alisema benki imefanya...
Habari wakuu, Mimi ni mteja wa CRDB wa kipindi kirefu na nimekuwa nikitumia huduma za SimBanking kama zinavyotangazwa kwenye vyombo mbali mbali vya habari.
Lakini, kwa bahati mbaya au kwa makusudi CRDB wamekuwa wazito kuweka wazi gharama ziambatanazo na hizi huduma na imekuwa vigumu kuzipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.