Mojawapo ya taasisi nchini inayofanya vizuri kutokana na uongozi ni CRDB tokea ilipoanzishwa imekuwa na mafanikio makubwa na haswa kipindi ikiwa chini ya uongozi wa ndg kimei hadi Sasa ikiwa chini ya ndg Nsekeka.
Hii ni changamoto kwa taasisi nyingine katika sekta za kuhudumia wananchi ziige hii ya CRDB. Sina haja ya kutaja hizo taasisi wengi tunazijua na wenyewe wanajijua.
Hongera CRDB
Hii ni changamoto kwa taasisi nyingine katika sekta za kuhudumia wananchi ziige hii ya CRDB. Sina haja ya kutaja hizo taasisi wengi tunazijua na wenyewe wanajijua.
Hongera CRDB