EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Wakuu mmebarikiwà Sana na Mungu WA Mbinguni.
Nilikwenda kujaza fomu za UTT Benki CRDB Kwa lengo kutoa pesa yaani re purchase units.
Baada ya kumaliza kujaza fomu nikaambiwa nilipie elfu 23 kwa madai kwamba ni gharama ya kumtuma fomu.
Nikaelekezwa niende kwenye dirisha la teller nilipe nilipofika pale nashangaa teller ananiambia huyo aliyekutuma amekupa akunti namba NENDA umwambie akupe akaunti namba.
Nikarudi Kwa aliyenielekeza niende Kwa teller nikamueleza akaanza kuzugazuga pale kisha akanipa akaunti namba nikalipa.
Sasa jUZi Tena NimEkwenda kujaza fomu ili nitoe pesa UTT nilipomaliza kujaza nikapeleka Kwa wahusika Benki crdb wakawa kama hawajari vile yaani wako busy na Mambo mengine. Nilichokifanya nikaitelekeza kwenye meza moja ya wahusika nikaondoka zangu sasa jioni nikapigiwa simu na Mtu WA Benki akaniulza je fomu yangu waitume au waiache.
Nikamjibu ñdiyo itumwe kwani si ndo maana nimeijaza akanambia Sawa anaituma.
Mkumbuke sikuwa nmelipia kama Ile ya mwanzo.
Sasa hoja yangu au swali langu je tunapokwenda kujaza fomu za UTT Kwa lengo la kutoa pesa ni kweli inatakiwa ulipie fomu gharama ya kumtuma ambayo ni elfu 23 au ni free maana kuna SIku nililipia ikaenda na jUZi sikulipia na imetumwa.
Asanteni.
Karibuni kwa majibu, kejeri, povu, matusi, dharau NK.
Nilikwenda kujaza fomu za UTT Benki CRDB Kwa lengo kutoa pesa yaani re purchase units.
Baada ya kumaliza kujaza fomu nikaambiwa nilipie elfu 23 kwa madai kwamba ni gharama ya kumtuma fomu.
Nikaelekezwa niende kwenye dirisha la teller nilipe nilipofika pale nashangaa teller ananiambia huyo aliyekutuma amekupa akunti namba NENDA umwambie akupe akaunti namba.
Nikarudi Kwa aliyenielekeza niende Kwa teller nikamueleza akaanza kuzugazuga pale kisha akanipa akaunti namba nikalipa.
Sasa jUZi Tena NimEkwenda kujaza fomu ili nitoe pesa UTT nilipomaliza kujaza nikapeleka Kwa wahusika Benki crdb wakawa kama hawajari vile yaani wako busy na Mambo mengine. Nilichokifanya nikaitelekeza kwenye meza moja ya wahusika nikaondoka zangu sasa jioni nikapigiwa simu na Mtu WA Benki akaniulza je fomu yangu waitume au waiache.
Nikamjibu ñdiyo itumwe kwani si ndo maana nimeijaza akanambia Sawa anaituma.
Mkumbuke sikuwa nmelipia kama Ile ya mwanzo.
Sasa hoja yangu au swali langu je tunapokwenda kujaza fomu za UTT Kwa lengo la kutoa pesa ni kweli inatakiwa ulipie fomu gharama ya kumtuma ambayo ni elfu 23 au ni free maana kuna SIku nililipia ikaenda na jUZi sikulipia na imetumwa.
Asanteni.
Karibuni kwa majibu, kejeri, povu, matusi, dharau NK.