NALO LITAPITA
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 333
- 90
Wakuu, habari ya majukumu wanajukwaa,. Nakuja kwenu,Mimi nina kibanda cha MPESA eneo fulani lenye mzunguko kiasi ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Nilimekuwa nikifanya uwakala wa mitandao ya simu (Tigopesa,Airtel money na M-Pesa), kwa muda wa mwaka mmoja, nikiwa na Lengo la kuongeza uwakala wa mabenk hasa NMB na CRDB.
Katikati hapa,nilipata changamoto fulani kubwa nikajikuta nimetumia sehemu ya fedha iliyokuwa ninaendelea kuiandaa kushughulikia kupata uwakala wa mabenki.
Nakuja kwenu,Kama kuna yeyote anamashine ya uwakala wa CRDB au NMB ambayo kwa sasa amesimama kuitumia kwa muda,Naomba anisaidie niwenaitumia huku nikijiandaa kushughulikia kupata ya kwangu.
Asanteni sana.
Nilimekuwa nikifanya uwakala wa mitandao ya simu (Tigopesa,Airtel money na M-Pesa), kwa muda wa mwaka mmoja, nikiwa na Lengo la kuongeza uwakala wa mabenk hasa NMB na CRDB.
Katikati hapa,nilipata changamoto fulani kubwa nikajikuta nimetumia sehemu ya fedha iliyokuwa ninaendelea kuiandaa kushughulikia kupata uwakala wa mabenki.
Nakuja kwenu,Kama kuna yeyote anamashine ya uwakala wa CRDB au NMB ambayo kwa sasa amesimama kuitumia kwa muda,Naomba anisaidie niwenaitumia huku nikijiandaa kushughulikia kupata ya kwangu.
Asanteni sana.