Reporting line- Manager, Card System
Job Summary
Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.
Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time...
Reporting line- Manager, Card System
Job Summary
Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
Benki ya CRDB ni moja kati ya benki kubwa hapa nchini. Kitu nisichoelewa kutoka benki hii ni sababu zinazoifanya benki kutangaza gawio kiduchu mara inapoatangaza ukifananisha na banki za ukubwa wake kama NMB?
Je inaweza kuwa ni sababu ya benki kuwa na expenses kubwa ambazo zikipunguzwa...
CRDB mnatoaje Futari ya bure kwa Wabunge ambao tayari wana Posho ya zaidi ya Shilingi 350,000/= kwa Siku badala ya Kusaidia Makundi ya Watu wengi wenye Mahitaji hasa kwa Kipindi hiki na hata katika Maisha yao ya Kiujumla?
Kilichonishangaza zaidi ni Kitendo cha Wabunge kutangaziwa na Spika wa...
BOARD MEMBERS VACANCIES
CRDB Bank PLC is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
Job Reporting To: Head of Business Excellence
Job Purpose
To facilitate the adoption of various unconventional ways of building long-lasting efficiency capabilities and creation of several dynamics that will trigger the bank to adjust its traditional approach and work with grains of these...
Reporting line- Manager; Financial Reporting
Job Summary
Responsible for Bank’s financial reports preparations in accordance with financial standards; such as International Financial Reporting Standards (IFRS), Regulators guidelines/ regulations, Bank policies and other procedures of the Bank...
Siku ya leo haikuwa siku nzuri kwa CRDB. Wateja wengi tulikosa huma na wengine tulikaa ndani ya Benki kwa muda mrefu sana kwa Benki kukosa mtandao. Mpaka sasa Benki haijatuomba radhi licha ya kupata adha kubwa.
Job Summary
Reporting line- Senior Manager, ICT Security
Job Summary
Responsible for the Security Operation Center to Plan, direct and control the SOC functions and operations, ensure the monitoring and analysis of incidents to protect People, Technology and Process addressing all security...
Job Summary
To achieve business growth through selling, promoting and guide CRDB Islamic Banking products and services for specified zone/s or focal areas or regions of concentration. Responsible to work closely with RMs across the branches and zones to acquire profitable customers and sell...
Hii imekaaje wadau naona imekaa kibaguzi sana,ina maana sisi Tanzania bara hatuna uhitaji na hiyo mikopo au? Zanzibar ni wa muhimu sana kwenu kuliko sisi? Au Zanzibar ni masikini sana mmeamua kuwapa upendeleo?
Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio.
Kama swala...
Job Purpose:
Responsible for implementation of new & enhancements and Second level day by day support of all channels systems; Internet Banking, Mobile Banking, Agent Banking, SMS Service, Enterprise Service
Bus (ESB) integrations with internal & external systems and All Self-service...
Habari?
Leo kwa nyakati tofauti nimeambiwa na watu wawili kuwa CRDB wamerejesha kiasi cha fedha kwa wateja walio na mikopo,na wamefanya hivyo baada ya kukokotoa mahesabu upya.Mwenye habari iliyokamilika kuhusu hili naomba anijuze.
Hivi karibuni Bw. Nsekela wa CRDB alisema mabenki yatashusha riba na kweli ameishi kwenye maneno yake.
Leo CRDB wametangaza kushusha riba kutoka 20% hadi 9% kwa wakulima na kutoka 16% hadi 13% kwa wafanyakazi.
Ingawa riba bado ni kubwa sana ila kiukweli hii ni neema kwa wafanyakazi...
Habari wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kisemavyo kumekuwa na kero sana katika maeneo ya Lamadi yaani kila ukienda bank ya CRDB pale Lamadi unakuta bank ipo wazi ila ndani hakuna watoa huduma yaani unamkuta mlinzi tu na kama ukibahatika kumkuta mtoa huduma wa pale CRDB basi ukitaka kufanya...
Ndugu wanabodi,
Heshima sana kwenu. Naomba nijielekeze kwenye mada mohja kwa moja. Tangu niifahamu sekta ya fedha niliiona CRDB kama moja ya benki zenye kasi, ubunifu na hata umakini kiutendaji. Kutokana na hayo niliamua kwa hiyari yangu pamoja na wenzangu kujiunga na benki hii miaka kadhaa...
JOB REPORTING TO: Senior Manager Business Performance & Revenue Assurance
JOB PURPOSE
Responsible to ensure that revenue collection mechanisms are reviewed and monitored to help businesses identify system loopholes, errors, transaction errors, process weaknesses that could affect income...
Ndugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT...
Kwakweli naomba niseme tu SIMBANKIG Mobile Application ya CRDB,imekosa mvuto kulinganisha na ya washindani wao wakubwa wa kibiashara ingawa mtu unapata huduma unayohitaji kupitia hiyo App.
Kwa mtazamo wangu, tatizo ninaloliona linatokana na rangi wanazotumia CRDB ambazo ni nyeupe na kijani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.