crdb

  1. M

    Wabunge Kushangilia Bungeni kupewa Futari ya bure na CRDB je, kwa wenye Akili Watanzania wote tunaonekana vipi?

    CRDB mnatoaje Futari ya bure kwa Wabunge ambao tayari wana Posho ya zaidi ya Shilingi 350,000/= kwa Siku badala ya Kusaidia Makundi ya Watu wengi wenye Mahitaji hasa kwa Kipindi hiki na hata katika Maisha yao ya Kiujumla? Kilichonishangaza zaidi ni Kitendo cha Wabunge kutangaziwa na Spika wa...
  2. Jamii Opportunities

    Board Members Vacancies at CRDB

    BOARD MEMBERS VACANCIES CRDB Bank PLC is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
  3. Jamii Opportunities

    Specialist Result Management at CRDB Bank

    Job Reporting To: Head of Business Excellence Job Purpose To facilitate the adoption of various unconventional ways of building long-lasting efficiency capabilities and creation of several dynamics that will trigger the bank to adjust its traditional approach and work with grains of these...
  4. Jamii Opportunities

    Specialist; Financial Reporting at CRDB Bank

    Reporting line- Manager; Financial Reporting Job Summary Responsible for Bank’s financial reports preparations in accordance with financial standards; such as International Financial Reporting Standards (IFRS), Regulators guidelines/ regulations, Bank policies and other procedures of the Bank...
  5. K

    Siku nzima ya leo benki ya CRDB haikufanya kazi kwa ukosefu wa mtandao

    Siku ya leo haikuwa siku nzuri kwa CRDB. Wateja wengi tulikosa huma na wengine tulikaa ndani ya Benki kwa muda mrefu sana kwa Benki kukosa mtandao. Mpaka sasa Benki haijatuomba radhi licha ya kupata adha kubwa.
  6. Jamii Opportunities

    Manager; Security Operations Center (SOC) at CRDB

    Job Summary Reporting line- Senior Manager, ICT Security Job Summary Responsible for the Security Operation Center to Plan, direct and control the SOC functions and operations, ensure the monitoring and analysis of incidents to protect People, Technology and Process addressing all security...
  7. Jamii Opportunities

    Business Manager; Islamic Banking - HQ at CRDB

    Job Summary To achieve business growth through selling, promoting and guide CRDB Islamic Banking products and services for specified zone/s or focal areas or regions of concentration. Responsible to work closely with RMs across the branches and zones to acquire profitable customers and sell...
  8. Dr Msweden

    CRDB mmefanya kibaguzi haiwezekani Zanzibar mtoa mikopo isiyo na riba,Tz bara mikopo iwe na riba

    Hii imekaaje wadau naona imekaa kibaguzi sana,ina maana sisi Tanzania bara hatuna uhitaji na hiyo mikopo au? Zanzibar ni wa muhimu sana kwenu kuliko sisi? Au Zanzibar ni masikini sana mmeamua kuwapa upendeleo? Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio. Kama swala...
  9. Jamii Opportunities

    Specialist, Digital Channels Systems at CRDB

    Job Purpose: Responsible for implementation of new & enhancements and Second level day by day support of all channels systems; Internet Banking, Mobile Banking, Agent Banking, SMS Service, Enterprise Service Bus (ESB) integrations with internal & external systems and All Self-service...
  10. CEYLON

    Hii habari ya CRDB kuwarejeshea fedha wateja wenye mikopo ni ya kweli?

    Habari? Leo kwa nyakati tofauti nimeambiwa na watu wawili kuwa CRDB wamerejesha kiasi cha fedha kwa wateja walio na mikopo,na wamefanya hivyo baada ya kukokotoa mahesabu upya.Mwenye habari iliyokamilika kuhusu hili naomba anijuze.
  11. The Assassin

    Neema kwa wafanyakazi, CRDB imeshusha riba hadi 13% kwa wafanyakazi na 9% kwa wakulima

    Hivi karibuni Bw. Nsekela wa CRDB alisema mabenki yatashusha riba na kweli ameishi kwenye maneno yake. Leo CRDB wametangaza kushusha riba kutoka 20% hadi 9% kwa wakulima na kutoka 16% hadi 13% kwa wafanyakazi. Ingawa riba bado ni kubwa sana ila kiukweli hii ni neema kwa wafanyakazi...
  12. Schoolface

    CRDB Lamadi bora mfunge ofisi

    Habari wanajukwaa, Kama kichwa cha habari kisemavyo kumekuwa na kero sana katika maeneo ya Lamadi yaani kila ukienda bank ya CRDB pale Lamadi unakuta bank ipo wazi ila ndani hakuna watoa huduma yaani unamkuta mlinzi tu na kama ukibahatika kumkuta mtoa huduma wa pale CRDB basi ukitaka kufanya...
  13. Mzee Wa Republican

    CRDB badilikeni mapema, tutawakimbia sana msipoangalia

    Ndugu wanabodi, Heshima sana kwenu. Naomba nijielekeze kwenye mada mohja kwa moja. Tangu niifahamu sekta ya fedha niliiona CRDB kama moja ya benki zenye kasi, ubunifu na hata umakini kiutendaji. Kutokana na hayo niliamua kwa hiyari yangu pamoja na wenzangu kujiunga na benki hii miaka kadhaa...
  14. Jamii Opportunities

    Senior Business Analyst at CRDB

    JOB REPORTING TO: Senior Manager Business Performance & Revenue Assurance JOB PURPOSE Responsible to ensure that revenue collection mechanisms are reviewed and monitored to help businesses identify system loopholes, errors, transaction errors, process weaknesses that could affect income...
  15. U

    Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

    Ndugu wasomaji, Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti? Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk. Nadhani ni wakati wa BoT...
  16. S

    Benki ya CRDB boresheni muonekano wa Mobile App yenu

    Kwakweli naomba niseme tu SIMBANKIG Mobile Application ya CRDB,imekosa mvuto kulinganisha na ya washindani wao wakubwa wa kibiashara ingawa mtu unapata huduma unayohitaji kupitia hiyo App. Kwa mtazamo wangu, tatizo ninaloliona linatokana na rangi wanazotumia CRDB ambazo ni nyeupe na kijani...
  17. seedfarm

    Mahakama kanda ya Arusha yakubali kupokea taarifa ya CCTV camera toka Benki ya CRDB kwenye kesi ya uhujumu Uchumi ya Ole Sabaya

    Mahakama kanda ya Arusha jumatano oktoba 27, 2021 imekubali kupokea kielelezo namba 4 kama ushahidi toka kwa Afisa tehema wa CRDB tawi la kwa Mrombo bwana Geoffrey Abimiel Nko ambaye ni shahidi namba saba wa Jamuhuri Katika kesi ya uhujumu Uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya. Francis Mrosso...
  18. Jamii Opportunities

    Head, Finance & Administration at CRDB Bank

    Job Title - Head, Finance & Administration Reporting Line - General Manager Job Summary Oversee the development and execution of an effective financial strategy to achieve optimal return on investment and to safeguard bank assets by ensuring correctness and completeness of banking transactions...
  19. Greatest Of All Time

    Tetesi: Iliyokuwa CRDB bank sasa yageuzwa kuwa Chato Club

    Hii ni tetesi mpya kutoka huko Chato, iliyokuwa benki ya CRDB sasa imegeuzwa kuwa Chato club, baada ya kifo cha hayati Magufuli. Mlioko huko ukweli ni upi?
  20. Selwa

    CRDB MLIMANI CITU MMEKUWA KERO

    Hivi Jamani ni mimi mwenyewe napata shida crdb hii ya mlimani city, nimefanya hapa biasha zangu kuanzia 2011 ila naona mwaka huu kama service ni mbaya mnooooo mnooo. kutoa hela kwenye account nashindwa kufunga account ni procedure yani ni tafrani. customer service desk ni mbovu mteja unasubiri...
Back
Top Bottom