crdb

  1. Blasio Kachuchu

    CRDB Bank Taifa Cup 2022 yafunguliwa Tanga

    Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (wanne kulia) wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza leo kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na...
  2. Rangooo

    Kwa huduma ya CRDB cardless endapo hujatoa pesa atm, transaction itaexpire kwa mda gani pesa irudi kwenye account?

    Habari ndugu zangu, niliokosea kutoa pesa kwa njia ya crdb cardless kwa kutaka kutoa 137000, kumbe ni lazma uweke katika figures za 10000, je ili pesa irudi itatumia muda gani kufika.
  3. Blasio Kachuchu

    Benki ya CRDB yatwaa tuzo ya Benki Bora Tanzania kutoka jarida la Global Finance

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akipokea cheti cha tuzo ya "Benki Bora Tanzania" kutoka kwa Mwanzili na Mhariri Mtendaji wa Global Finance, Joseph Giarraputo, katika hafla ya kukabidhi tuzo kwa Benki Bora Duniani iliyofanyika kwenye ukumbi wa ‘National Press...
  4. L

    Dar es Salaam-based multimillionaire Hans Macha gains $1.5 million from stake in CRDB Bank

    Hans Macha. Tanzania’s leading banking group, CRDB Bank Plc, has returned impressive gains to shareholders and proved to be one of the best performing stocks on the Dar es Salaam Stock Exchange. Among these fortunate shareholders are the renowned Rajabali brothers and Hans Macha, a reclusive...
  5. I

    Nichukue hatua gani za kisheria dhidi ya benki ya CRDB?

    Habari zenu wadau. Nimesikitishwa na huduma mbovu za benki ya CRDB. Ukweli siku ya juzi nikiwa safarini kuna mtu alinipigia simu alikuwa na uhitaji wa haraka wa fedha kiasi. Na wakati huo huyo mtu alikuwa ananidai kiasi fulani cha pesa. Sasa kwa uhitaji wake wa haraka akaniomba kama niko...
  6. Jamii Opportunities

    Relationship Manager; Digital at CRDB Bank

    Job Title: Relationship Manager; Digital (2 Post) Reporting to: Senior Manager-Transanctional Banking Location: Head Office Job Description Responsible for business growth and sales of digital solutions to clients including Government, Corporate, Institutions, and other business segments in...
  7. Jamii Opportunities

    Senior Specialist; IT Infrastructure at CRDB Bank

    Reporting line- Manager; Server & Storage Location- Head Office Job Summary To ensure smooth day-to-day operations of all servers, storage and systems by being a subject matter expert in the Server and Storage area and driving the evolution of technologies including but not limited to server...
  8. Justine Marack

    Kwenda benki CRDB ni mateso, nimekoma

    Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure. Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi. Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso...
  9. Mr_Plan

    Naomba kujuzwa saa za kazi CRDB siku ya Jumamosi

    Msaada wa kufahamishwa masaa ya kazi ya bank ya CRDB siku ya Jumamosi, wanafungua saa ngapi?
  10. Sifi Leo

    Hongera Abdulmajid Nsekela kwa kuteuliwa na Rais Samia kuingia Tume ya Maendeleo ya Ushirika, ila nakujuza haya...

    Ni tarehe 26/08/2022 Andiko langu la pongezi na onto kwa kijana wetu mpendwa ambae binafis ni kijana mwenzake lakini lazima nimwoneshe yakuwa aliko teuliwa kwenda Kuna vichaka vya wachawi kwa masilai Yao awe makini. Lazima nikili yakuwa uteuzi wa Huyu kijana kuwa mkurugenzi wa CRDB...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tofauti ya gharama kati ya CRDB vs NMB

    PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)? a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au...
  12. Kipenzi Changu

    Mpira Pesa: CRDB ni Official Simba Day partner

    CRDB ni official Simba Day partner "CRDB wameona ni muhimu kuwekeza kwenye michezo na wamechagua Simba sababu wanaona ukubwa wa Simba." "Tunawashukuru CRBD kuwekeza kwenye Simba Day, najua huu ni mwanzo. Tunatamani siku moja kuwaona hata kwenye jezi. Baada ya Simba Day kuna CRDB Marathon na...
  13. Jamii Opportunities

    Digital Delivery Manager at CRDB Bank

    ROLE SUMMARY The role holder will drive forward and deliver outcome-focused digital and systems change across the organisation. The Delivery Manager will lead on the delivery of all digital development as well as technical systems development to support CRDBs business objectives. They will work...
  14. REJESHO HURU

    CRDB Bank badilikeni

    Niende moja kwa moja kwenye mada utaratibu mpya mliouleta kwa wakopaji ambao ni watumishi wa umma unakera kumbukeni mtu anakuja kukopa kwa sababu mbalimbali ikiwemo na maradhi mfamo leo hii miye mtu ana mgonjwa inaitajika pesa anaona ngoja nikakope CRDB niweze msaidia mgonjwa wangu anakuja kwenu...
  15. stephot

    Kuna shida gani CRDB salary advance

    Nimeingia kwenye simbanking app nikiangalia kwenye menu sioni icon ya salary advance,imetolewa au kuna marekebisho wamefanya...?
  16. Slim

    CRDB Bank hili suala halijakaa sawa

    Habari Wakuu! Leo katika harakati za kuweka mambo sawa nilienda Bank CRDB Bank main customer service desk pale nikakuta kuna mteja anataka kufanya account activation coz ilikuwa dormant sasa akawa hana kitambulisho ila ana copy tu ya kitambulisho cha Taifa. Ikabidi wale wadada wamwambie ni...
  17. Rutunga M

    Kuna shida gani CRDB Bukoba?

    Wakuu. nipo huku mkoa wa BUKOBA hakika nimesikitika kupata taarifa kutoka kwa wajasiriamali wa hapa juu ya benki hiyo tawi la Bukoba kusitisha utoaji mikopo na kufunga matawi yake yote ndani ya mji. tawi la Zamzam limefungwa na yale yote yaliyoko pemmbezoni mwa mji. Wajasiriamali wanasema kuwa...
  18. Jamii Opportunities

    Specialist; Cyber Security at CRDB Bank

    Reporting line- Manager; CyberSecurity Job Summary Responsible for daily monitoring of the IT Infrastructure using security technical expertise and looking for patterns and potential issues, this includes working in close connection with Senior ICT Management. Focal point for the provision of...
  19. NostradamusEstrademe

    CRDB hii siyo sawa, rekebisheni hili

    Mko vizuri sana kwenye slogan yenu ULIPO TUPO. Mtu anakopa hela kwenu kwa makubaliano kuwa mtakuwa mnamkata kwenye mshahara wake kila ukiingia mwisho wa mwezi. Mme muingizia mtu mkopo jumatatu hii mshahara haujaingia bado lakini leo hii alhamisi mmeanza kukata kwenye ule ule mkopo mnakiuka...
  20. K

    Gawio la Hisa CRDB

    Kama mwanahisa napenda nielemishwe kwa yafuatayo:- (1) Ni kigezo gani kinachotumika (Directors fees)mathalani Wakurugenzi 10 kulipwa Tshs.965,000,000 kwa mwaka na hii ina maana ya Tshs 96,500,000 kwa Mkurugenzi moja kwa mwaka na Tshs 8,041,666 kwa mwezi kwa mkurugenzi moja na kwa siku...
Back
Top Bottom