Slim
Senior Member
- Nov 12, 2008
- 103
- 119
Habari Wakuu!
Leo katika harakati za kuweka mambo sawa nilienda Bank CRDB Bank main customer service desk pale nikakuta kuna mteja anataka kufanya account activation coz ilikuwa dormant sasa akawa hana kitambulisho ila ana copy tu ya kitambulisho cha Taifa.
Ikabidi wale wadada wamwambie ni lazima wafanye verification ya hiyo namba yake ya NIDA kama ni yeye kweli.
Sasa kilichonishangaza ilibidi jamaa aanze kuulizwa maswali pale mbele za watu na kujibu hayo mswali ambayo mtoa huduma alikuwa anaamuliza kwa sauti na watu wanasikia hizo details za huyo jamaa kwa mfano "jina la kati la mama yako? jamaa anataja.. Shule ya msingi uliosoma inaitwaje? ...
Maswali mengi kama hayo basi jamaa alikuwa anakosea mara kwa mara na yule mtoa huduma alipoteza muda mrefu sana kumhudumia mteja mmoja mpaka alipopatia maswali yote.
Kwa mtazamo wangu mimi binafsi naona utaratibu ule sio mzuri kabisa kumuuliza mtu his personal details mbele za watu na pia kupoteza muda mrefu kuhudumia mteja mmoja labda ungetengenezwa utaratibu mwingine mzuri wakuhudumia wateja kama hao ili kuokoa muda na usiri wa taarifa binafsi za wateja.
Utaratibu wa kuchukua namba ni mzuri lakini watu bado wanarundikana pale main customer service desk.
Nawakilisha.
Leo katika harakati za kuweka mambo sawa nilienda Bank CRDB Bank main customer service desk pale nikakuta kuna mteja anataka kufanya account activation coz ilikuwa dormant sasa akawa hana kitambulisho ila ana copy tu ya kitambulisho cha Taifa.
Ikabidi wale wadada wamwambie ni lazima wafanye verification ya hiyo namba yake ya NIDA kama ni yeye kweli.
Sasa kilichonishangaza ilibidi jamaa aanze kuulizwa maswali pale mbele za watu na kujibu hayo mswali ambayo mtoa huduma alikuwa anaamuliza kwa sauti na watu wanasikia hizo details za huyo jamaa kwa mfano "jina la kati la mama yako? jamaa anataja.. Shule ya msingi uliosoma inaitwaje? ...
Maswali mengi kama hayo basi jamaa alikuwa anakosea mara kwa mara na yule mtoa huduma alipoteza muda mrefu sana kumhudumia mteja mmoja mpaka alipopatia maswali yote.
Kwa mtazamo wangu mimi binafsi naona utaratibu ule sio mzuri kabisa kumuuliza mtu his personal details mbele za watu na pia kupoteza muda mrefu kuhudumia mteja mmoja labda ungetengenezwa utaratibu mwingine mzuri wakuhudumia wateja kama hao ili kuokoa muda na usiri wa taarifa binafsi za wateja.
Utaratibu wa kuchukua namba ni mzuri lakini watu bado wanarundikana pale main customer service desk.
Nawakilisha.