Major shatta
New Member
- May 30, 2020
- 2
- 1
Habari wanajamvi,
Ninataka kuhama chuo nikimaliza certificate (nipo certificate Diploma nataka niende chuo kingine) course ya accountancy chuo cha government.
Je, hii inawezekana na kama inawezekana taratibu zikoje?
Natanguliza shukrani zangu🙏
Ninataka kuhama chuo nikimaliza certificate (nipo certificate Diploma nataka niende chuo kingine) course ya accountancy chuo cha government.
Je, hii inawezekana na kama inawezekana taratibu zikoje?
Natanguliza shukrani zangu🙏